Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuvute bangi kiasi au sio sehemu ya mambo yote?
maana kuacha kabisa napo si sawa.
Hizi assumption tuwe tunazipima kabla ya kuzicheua kama tulivyomezeshwa.
Wanawake mnaoneana wivu eti I dont careI don't care
ushoga ambao umekubaliwa ulaya nao kiasi inaruhusiwa,Wewe waandika,
Nilichoandika nimenukuu toka katika Maandiko Takatifu.
Kwa mtu aliyetimamu anajua kabisa kuwa kuna vitu ambavyo vimekatazwa kabisa kwenye maaandiko Matakatifu na hata kwenye sheria ya nchi yetu matharani hiyo bange ulotaja imekatazwa kabisa kutumika.
Kwa hiyo haina haja ya kuanza kuorodhosha exceptions hapa kwa level hii.
Yani ni sawa mfanyakazi anatakiwa kujua kuwahi kazini halafu ambiwe uwe unaoga na kupiga Mswaki asubuhi kabla ya kuja kazini.?!
Hiyo huwa inafundishwa kindergarten level.
Ukame wa miaka 6 si mchezo.Vijana wamejenga mno watu wataanza kurogama kule PSU tutegemee misiba ya kutosha mule ndani…
Aongozane na wabunge Polepole na Bashiru na wao wakaone miji ya watu maana kwa miaka mitano walifungiwa ndani kama mabobi.
This time around she should not go alone, she has to be accompanied with the Big Boyoo, our First Gentleman.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 10 Novemba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Cairo nchini Misri kwa Ziara ya Kiserikali ya siku tatu.
Ziara hiyo ya Kiserikali ya siku tatu inafuatia mwaliko wa Rais wa nchi hiyo, Mhe. Abdel Fattah Al Sisi.
Katika ziara hiyo, Mhe. Rais Samia pamoja na mambo mengine anatarajiwa kufanya mazungumzo na mwenyeji wake katika maeneo kadhaa ya ushirikiano kati ya Tanzania na Misri ikiwemo nyanja za
diplomasia, uchumi, siasa, elimu, utalii na huduma za kijamii
Mhe. Rais Samia na mwenyeji wake pia wanatarajiwa kushuhudia utiaji saini mkataba mmoja (]) na hati saba (7) za makubaliano kati ya Tanzania na Misri.
View attachment 2004534
View attachment 2004542
Huyo bibi ni mpumbavu sana,nimependa mchangiaji mmoja aliyesema "Mwanamke mchawi asiishiRaisi Samia anatakiwa ajitathmini kwanini anachukiwa hivi.
Unajidanganya mimi ni shabiki kindaki ndaki wa Magufuli na ninamchukia haswa,yaani kiasi kwamba ningekuwa na mafunzo ya kijeshi ningejitoa mhanga😂😂😂😂halafu cha kushangaza wanaomchukia ni wale waliomponda jpm,,na kumpogeza ssh, pale tu alipoapishwa!!
Mkuu ukiona anasafiri ujue ni njia mojawapo ya kumpunguzia stress. Nafsi yake inamkosesha amani.Anajisikiaje kusingizia watu UGAIDI watu wasio na hatia.
Hakika mkuu mkuu hapo umenenaAongozane na wabunge Polepole na Bashiru na wao wakaone miji ya watu maana kwa miaka mitano walifungiwa ndani kama mabobi.
Wakati wa mwendazake mlisema dua la kuku halimpati mwewe. Sasa sijui lilimpata kunguru??Akili za kichadema ni laana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] .....mtanikumbuka kwa mazuri ..na msisubiri kumsfia mtu mpaka afe...in jpm voiceNawaona sukuma gang wakiteseka.
Wataje kwa majina kama upo huru kama id inavyosemaNawaona sukuma gang wakiteseka.