Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wachaga kwa chuki hakuna mfanoNawaona sukuma gang wakiteseka.
Cc VictoireRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 10 Novemba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Cairo nchini Misri kwa Zara ya Kiserikali ya siku tatu.....
Na maneno yako yakabarikiwe sanaAende tuu ila sisi tunamuombea Mbowe na familia yake Mungu awape ujasiri na Amani. Ndege yake ikigoma kutoa mataili huko asije kutulaumu maana maandiko yanasema usimuache mwanamke mchawi AISHI.
Na watu waseme AminaNa maneno yako yakabarikiwe sana
Wote mshindweNa maneno yako yakabarikiwe sana
Anafahamu huku yuko angani dailyHivi anafahamu kweli kuhusu huu mfumuko wa ghafla wa bei wa bidhaa mbalimbali na hasa zile muhimu? Au ndiyo ameamua tu kuwaachia wafanyabiashara wasio waaminifu kujiamulia vile wapendavyo...
Utashindwa wewe
Unauliza makofi bikira wodi ya wazaziHivi Kwa ziara ya kualikwa Kama hii je huo mkataba na hizo hati zinazosainiwa zinakuwa zimeandaliwa na nchi gani?
Akili za kichadema ni laanaAende tuu ila sisi tunamuombea Mbowe na familia yake Mungu awape ujasiri na Amani. Ndege yake ikigoma kutoa mataili huko asije kutulaumu maana maandiko yanasema usimuache mwanamke mchawi AISHI.
Mimi huwa nawaita WAPUMBAVU tu. Huwa hawajui wanataka nini maishani. Alikuwepo JK anasafiri sana wakawa wanamuita Vasco Dagama, akaja JPM haendi popote wakadai anakaa sehemu moja nchi inakosa michongo.halafu cha kushangaza wanaomchukia ni wale waliomponda jpm,,na kumpogeza ssh, pale tu alipoapishwa!!
Cosva.....da....Maga....................................embezzlementAende tuu ila sisi tunamuombea Mbowe na familia yake Mungu awape ujasiri na Amani. Ndege yake ikigoma kutoa mataili huko asije kutulaumu maana maandiko yanasema usimuache mwanamke mchawi AISHI.