Rais Samia Suluhu Hassan kufanya ziara ya siku 3 Nchini Misri

Rais Samia Suluhu Hassan kufanya ziara ya siku 3 Nchini Misri

Hivi anafahamu kweli kuhusu huu mfumuko wa ghafla wa bei wa bidhaa mbalimbali na hasa zile muhimu? Au ndiyo ameamua tu kuwaachia wafanyabiashara wasio waaminifu kujiamulia vile wapendavyo...
Anafahamu huku yuko angani daily
 
Aende tuu ila sisi tunamuombea Mbowe na familia yake Mungu awape ujasiri na Amani. Ndege yake ikigoma kutoa mataili huko asije kutulaumu maana maandiko yanasema usimuache mwanamke mchawi AISHI.
Akili za kichadema ni laana
 
Vasco Da Gama Hangaya the Second [emoji706][emoji706][emoji706]

Screenshot_20211109-104251_Chrome.jpg
Screenshot_20211109-104344_Chrome.jpg
 
halafu cha kushangaza wanaomchukia ni wale waliomponda jpm,,na kumpogeza ssh, pale tu alipoapishwa!!
Mimi huwa nawaita WAPUMBAVU tu. Huwa hawajui wanataka nini maishani. Alikuwepo JK anasafiri sana wakawa wanamuita Vasco Dagama, akaja JPM haendi popote wakadai anakaa sehemu moja nchi inakosa michongo.

Kaja SSM safari za nje kibao wameanza kulialia. Ndo maana Mkapa aliwaita WAPUMBAVU NA MAKOFA. Na aliyewaita NYUMBU hakukosea.
 
Aende tuu ila sisi tunamuombea Mbowe na familia yake Mungu awape ujasiri na Amani. Ndege yake ikigoma kutoa mataili huko asije kutulaumu maana maandiko yanasema usimuache mwanamke mchawi AISHI.
Cosva.....da....Maga....................................embezzlement
 
Back
Top Bottom