Rais Samia Suluhu Hassan kulihutubia taifa leo Desemba 31, 2021

Lusungo

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
28,259
Reaction score
41,416
Haya leo baada ya hotuba nzito na makini kutoka kwa Genius Tundu Lissu hatimaye tutakua na kipoozeo kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Naamini itakua hotuba ya kufukia mashimo baada ya ile ya mheshimiwa wa ubelgiji.

Stay tuned.

 
Akitaka hotuna yake iwe na maana kwa watanzania aguse mambo ya msingi yanayolihusu taifa kwa sasa.

1. Katiba Mpya.

2. Uhuru wa vyombo vya habari.

3. Kubambikia wapinzani kesi za uongo.

4. Ajira.

Mambo mengine kama;

- SGR

- Ujenzi wa vyumba vya madarasa.

- Vituo vya afya na barabara nayo ni muhimu lakini tumeshazoea kuyasikia.
 
Kuna mambo muhimu ya kuyazungumzia na kuyatolea maamuzi.

1. Kuondolewa isivyo halali kwa wafanyabiashara wadogo.

2. Kupanda kusikohalali kwa bei za bidhaa na huduma.

3. Kukatika hovyo kwa umeme na kukosekana kwa maji.

4. Ajira hakuna.

5. Hali ya uchumi ni mbovu fedha hakuna kwenye mzunguko.

6. Mikopo isiyokuwa na ulazima kuchukuliwa.

__________________

Serikali inapaswa kupunguza deni la ndani ili walau fedha ionekane na ipunguze kushindana na wananchi kukopa fedha za ndani.
 
HOTUBA YA MAMA LAZIMA IGUSE MAMBO MUHIMU YA JAMII LAKINILISSU LAZIMA AANZE KUSIMULIA ALIPONEKAJE KWENYE SHAMBULIO NA WATU KWA NINI HAWAJAKAMATWA SASA ANATAKIWA ATANGAZE SERTA TUMUELEWE YALIYOPITA YAMEPITA
 
...hata kuwa na jipya zaidi yakusema yeye ni Rais mwanamke
 
Thubutuu
 
Hivi nyie mnaolalamikia Uhuru wa vyombo vya habari huwa siwaelewi.vyombo gani vimenyimwa Uhuru acheni upotoshaji nchi yetu sote mbona habari zipo na watu wa habari wanafanya kazi...kwenye KATIBA KWELI TUNAHITAJI KATIBA MPYA
 
Ha ha ha ha Ila wadanganyika wako na matumaini makubwa kwa watawala wao kuliko uhalisia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…