ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Si juzi tuu hapa Alitoka Kulihutubia Taifa na Akaongea Alichoongea.! Leo Tena? Anataka Kutu wish Heri ya Mwaka Mpya? Au Umeshakuwa Utaratibu wa Kutusimlia Mambo Yao kila Mwisho wa Mwezi?
Kwanza Nitakuwa Kanisani Kwenye Mkesha wa Mwaka Mpya, Saa Tatu Ibada ndio inaanza
Kwanza Nitakuwa Kanisani Kwenye Mkesha wa Mwaka Mpya, Saa Tatu Ibada ndio inaanza