HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Nitawasikiliza woteNi yeye Tundu Antipas Lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitawasikiliza woteNi yeye Tundu Antipas Lissu
Na upatikanaji wa crane kule Rufiji,huu mradi bi mkubwa kapigwa pini kuuongelea kama haupo nchini mwake vile.Akitaka hotuna yake iwe na maana kwa watanzania aguse mambo ya msingi yanayolihusu taifa kwa sasa.
1. Katiba Mpya.
2. Uhuru wa vyombo vya habari.
3. Kubambikia wapinzani kesi za uongo.
4. Ajira.
Mambo mengine kama;
- SGR
- Ujenzi wa vyumba vya madarasa.
- Vituo vya afya na barabara nayo ni muhimu lakini tumeshazoea kuyasikia.
5.bei mbaya ya mahitaji muhimuAkitaka hotuna yake iwe na maana kwa watanzania aguse mambo ya msingi yanayolihusu taifa kwa sasa.
1. Katiba Mpya.
2. Uhuru wa vyombo vya habari.
3. Kubambikia wapinzani kesi za uongo.
4. Ajira.
Mambo mengine kama;
- SGR
- Ujenzi wa vyumba vya madarasa.
- Vituo vya afya na barabara nayo ni muhimu lakini tumeshazoea kuyasikia.
Na saa ngapi?... hotuba ya TL inapatika kwa link ipi tafadhali?
Basi labda umeamua kujitoa akili mkuu...enzi za Magu akisema leo anahutubia mpaka vibanda umiza vilikuwa vinajaa,maduka ya mangi alikuwa anaacha kuuza kwanza jinsi watu wanavyojaa kuangalia hotuba za mzee JPM.Za dikteta msukuma mwenzenu hotuba zake zilijaa matusi,kejeli na pumba tupu, kichwani alikuwa mweupe
Leo atasema tu tusinywe Sana, tuendeshe magari taratibu na tumuombe Mungu atupe nguvu na afya .Tatizo hotuba zake ziko juu hazizungumzii changamoto za wananchi. Kama ile hotuba yake ya miaka 60 ya uhuru sijui hata alikuwa anazungumzia nini
Ulikua unaishi nchi gani yenye Rais anayeitwa hivyo??Jiwe aliwahi kuhutubia taifa ?
Yatapita siku wale waliompiga risasi watakamatwa na kupelekwa mbele ya mahakama.HOTUBA YA MAMA LAZIMA IGUSE MAMBO MUHIMU YA JAMII LAKINILISSU LAZIMA AANZE KUSIMULIA ALIPONEKAJE KWENYE SHAMBULIO NA WATU KWA NINI HAWAJAKAMATWA SASA ANATAKIWA ATANGAZE SERTA TUMUELEWE YALIYOPITA YAMEPITA
Ndio ulichobakiza huna kingine. Kwa kukusaidia tu, mtu aliyepona kifo kimiujiza utamtukana tusi gani limsononeshe, wakati kifo kimeshindwa.Kwani huyo mke wa Amsterdam amesemaje huko Twitter
Wewe ndio muoga, Lissu alichofanyiwa ingekuwa Ni wewe ungefanyaje?. Umepigwa risasi , ukafukuzwa ubunge na bado ukaibiwa kura. Saa zingine kabla ya kusema Jambo tufikiri Kwanza. Kina mtu alimiattack Magufuri face to face Kama Lissu?. Unaona kilichomtokea mbowe mpaka kapewa ugaidi na hali ilivyo mpango Ni kumfunga moja kwa moja gerzani.Kiongozi muoga hatufai!
MH MKAPA likuwa Rais bwana acha tu.... nadhani angeongoza 20 years Tanzania ingekuwa bora sana.Aliweza mkapa kutuzungumzia kero za watanzania na kuzitatua