Rais Samia Suluhu Hassan kulihutubia taifa leo Desemba 31, 2021

Rais Samia Suluhu Hassan kulihutubia taifa leo Desemba 31, 2021

Akitaka hotuna yake iwe na maana kwa watanzania aguse mambo ya msingi yanayolihusu taifa kwa sasa.

1. Katiba Mpya.

2. Uhuru wa vyombo vya habari.

3. Kubambikia wapinzani kesi za uongo.

4. Ajira.

Mambo mengine kama;

- SGR

- Ujenzi wa vyumba vya madarasa.

- Vituo vya afya na barabara nayo ni muhimu lakini tumeshazoea kuyasikia.
Katiba mpya

Ajira kwa vijana

Umeme na maji

Afya

Bei ya mafuta

Haya ndio mambo yanayomgusa mwananchi kwa upande wangu.
 
Kuna mambo muhimu ya kuyazungumzia na kuyatolea maamuzi.

1. Kuondolewa isivyo halali kwa wafanyabiashara wadogo.

2. Kupanda kusikohalali kwa bei za bidhaa na huduma.

3. Kukatika hovyo kwa umeme na kukosekana kwa maji.

4. Ajira hakuna.

5. Hali ya uchumi ni mbovu fedha hakuna kwenye mzunguko.

6. Mikopo isiyokuwa na ulazima kuchukuliwa.

__________________

Serikali inapaswa kupunguza deni la ndani ili walau fedha ionekane na ipunguze kushindana na wananchi kukopa fedha za ndani.

Wewe si mwenzetu mikopo lazima ichukuliwe 10% tutaipata wapi ?.
 
Najua tatizo alikuwa msukuma! Haya huyo hapo bibiyenu!
Tangu aingie umesikia Nani katekwa!? Au Nani kapigwa risasi ,au chombo gani Cha habari kimefungiwa? siunaona kutwa mnamtukana lakini Wala polisi hawaangaiki na nyinyi?!, Sasaivi mna Uhuru wakuongea mnavyotaka nyie matahira, hila mnaenda kutiwa adabu muda simrefu, maana imegundulika mshazoea tabu mbwa nyie
 
Kuna mambo muhimu ya kuyazungumzia na kuyatolea maamuzi.

1. Kuondolewa isivyo halali kwa wafanyabiashara wadogo.

2. Kupanda kusikohalali kwa bei za bidhaa na huduma.

3. Kukatika hovyo kwa umeme na kukosekana kwa maji.

4. Ajira hakuna.

5. Hali ya uchumi ni mbovu fedha hakuna kwenye mzunguko.

6. Mikopo isiyokuwa na ulazima kuchukuliwa.

__________________

Serikali inapaswa kupunguza deni la ndani ili walau fedha ionekane na ipunguze kushindana na wananchi kukopa fedha za ndani.
Kwani huyu Rais ni wa chama gani?
 
Kuna mambo muhimu ya kuyazungumzia na kuyatolea maamuzi.

1. Kuondolewa isivyo halali kwa wafanyabiashara wadogo.

2. Kupanda kusikohalali kwa bei za bidhaa na huduma.

3. Kukatika hovyo kwa umeme na kukosekana kwa maji.

4. Ajira hakuna.

5. Hali ya uchumi ni mbovu fedha hakuna kwenye mzunguko.

6. Mikopo isiyokuwa na ulazima kuchukuliwa.

__________________

Serikali inapaswa kupunguza deni la ndani ili walau fedha ionekane na ipunguze kushindana na wananchi kukopa fedha za ndani.
Jiwe aliwahi kuhutubia taifa ?
 
Katika mambo yote uliyaandika hapo ya msingi ni la 2 na la 3 pekee hayo mengine yanayo baki hayana msingi wowote kuyaongelea .
Jambo la muhimu kuliko yote ni katiba mpya.
 
Haya leo baada ya hotuba nzito na makini kutoka kwa Genius Tundu Lissu hatimaye tutakua na kipoozeo kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Naamini itakua hotuba ya kufukia mashimo baada ya ile ya mheshimiwa wa ubelgiji.

Stay tuned.

View attachment 2063552
Atatueleza nia yake ya kuendelea kukopa kukopa kukopa . Tukifika 120 Trilion titaelewana
 
Genius Tundu Lissu
clap.gif
clap.gif
clap.gif
clap.gif
 
Back
Top Bottom