Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Binafsi masuala ya Uviko na chanjo nisingependa kuyasikia kabisa sababu hayako applicable na hali zetu za kutafuta riziki. Au masuala ya ujenzi wa madarasa sijui nadhani ingeoendeza tusikia recruitment na development training kwa walimu wa sayansi.