Bila shaka atakuwa amefanya vyema kabisa.Mama amenikosha sana.
Kumbe walikuwa wanatumia mabavu hadi kukwapua hela za watu kwenye account zao za benki.
Kama analoongea ndo alilokusudia kulisimamia basi sekta hii ya biashara na uwekezaji itaanza kustawi tena.
Wenda ata hiyo akiri wakawa hawana
Mpango itabidi abadilike....naona hajamuelewa mama. Anataka kuendelea na utaratibu wa kukusanya kodi bila weledi ambao umeua biashara.Lakini huyu msaidizi wake anaongea bila kuelewa muelekeo wa Mh. Rais, yeye ana mwagiza Mwigulu wakusanye trilion mbili kwa mwezi wakati yeye zilimshinda na kuanza kuibia watu.
Mpango bado sana kwenye utendaji.
Naona ule Uwaziri bado haujamtoka tumpe muda.Lakini huyu msaidizi wake anaongea bila kuelewa muelekeo wa Mh. Rais, yeye ana mwagiza Mwigulu wakusanye trilion mbili kwa mwezi wakati yeye zilimshinda na kuanza kuibia watu.
Mpango bado sana kwenye utendaji.
Ila mama unawachanganya sana Mataga, walitudanganya hakuna mfanyabiashara aliyekimbilia nje??Mheshimiwa Rais Mama Samia amemuonya Waziri wa wizara ya Fedha kuacha kutumia nguvu kwenye kukusanya kodi badala yake watumie akili.
Mama Samia ameonya tabia ya Watendaji wa Serikali kutumia nguvu kukusanya kodi, kufungia biashara zao, kunyang'anya fedha kwenye akaunti kisa Sheria inawaruhusu.
Ameongeza kuwa Kitendo hicho kinasababisha wafanyabiashara kufunga biashara zao na kukimbilia nchi Jirani na hatimaye Serikali kukosa mapato.
Bado anajiona Waziri, tumpe muda kwanza azoee kiti kipya na majukumu mapya.Mpango itabidi abadilike....naona hajamuelewa mama. Anataka kuendelea na utaratibu wa kukusanya kodi bila weledi ambao umeua biashara.
Bahati nzuri mama ni very intelligent,ameliweka vizuri suala hili mapema.
Mtu anaambiwa eti hii kodi ilitakiwa uwe umekadiriwa na kuilipa mwaka 2016, hivyo lipa sasa!Sijawahi kupata amani hata moja nikiwa naenda kufanyiwa makadirio yangu au kupeleka hesabu zangu za mwaka TRA ,
Ni kama hawakosi kitu cha kukutuhumu na mbaya sasa watu wengine tunajitahidi kufata sana sheria na kulipa inavyo takiwa shida ni hizo ‘penalty’ zao kama mara hauja file makadirio mara sijui ‘withholding tax’ imefanyaje yaani wanajikuta wanaishi na kukamua watu kwa hizo ‘penalty’ zao ambazo hata elimu ya kodi hawajaitoa vya kutosha kwa walipa kodi ni kama wanakutegea ukwame ili wakukamue kwa maslahi yao na wakiona una msimamo wanajifanya kusimamia sheria ( ambayo hata hawajatoa elimu ya kutosha) ili kukukomoa tu
Meko ni muumini wa nguvu bila akili.Kutumia nguvu bila maarifa ni sawa na kumlazimisha Donkey kudrink wota
Mheshimiwa Rais Mama Samia amemuonya Waziri wa wizara ya Fedha kuacha kutumia nguvu kwenye kukusanya kodi badala yake watumie akili.
Mama Samia ameonya tabia ya Watendaji wa Serikali kutumia nguvu kukusanya kodi, kufungia biashara zao, kunyang'anya fedha kwenye akaunti kisa Sheria inawaruhusu.
Ameongeza kuwa Kitendo hicho kinasababisha wafanyabiashara kufunga biashara zao na kukimbilia nchi Jirani na hatimaye Serikali kukosa mapato.
Hii ni awamu ya 6 mkuu,mambo ni akili zaidi........suni Loni bodi nawao watabadirisha gia anganiMeko ni muumini wa nguvu bila akili.
Mtu anaambiwa eti hii kodi ilitakiwa uwe umekadiriwa na kuilipa mwaka 2016, hivyo lipa sasa!
Usimlishe mama maneno tafadhaliKwahiyo mtangulizi wake alikuwa anatumia nguvu badala ya akili?
Tata hatujafikia huko ila ipo siku tutafika wasipokuwa makiniMura rete panga