nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
Hivi kesi iliishaje Mkuu!? Nilihama Tz nikaenda kusiko na network.Ila nimecheka na nilicheka mno kipindi kile.Anaweza hata kuwabambikia kesi za ugaidi yule!! Hana maana kabisa yule jamaa! Namkumbuka sana namna alivyo husishwa kwenye ile kesi ya ugaidi ya kutengeneza iliyomhusu Wlifred Lwakatare.