Rais Samia Suluhu: Kusanyeni kodi kwa kutumia akili, sio nguvu

Rais Samia Suluhu: Kusanyeni kodi kwa kutumia akili, sio nguvu

Mheshimiwa Rais Mama Samia amemuonya Waziri wa wizara ya Fedha kuacha kutumia nguvu kwenye kukusanya kodi badala yake watumie akili.

Mama Samia ameonya tabia ya Watendaji wa Serikali kutumia nguvu kukusanya kodi, kufungia biashara zao, kunyang'anya fedha kwenye akaunti kisa Sheria inawaruhusu.

Ameongeza kuwa Kitendo hicho kinasababisha wafanyabiashara kufunga biashara zao na kukimbilia nchi Jirani na hatimaye Serikali kukosa mapato.
Ila uongozi ni mfano, hivyo nategemea naye atafanya hivyo hivyo hususan kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na ule mkuu ujao!
 
Mama amenikosha sana.

Kumbe walikuwa wanatumia mabavu hadi kukwapua hela za watu kwenye account zao za benki.

Kama analoongea ndo alilokusudia kulisimamia basi sekta hii ya biashara na uwekezaji itaanza kustawi tena.
Lakini huyu msaidizi wake anaongea bila kuelewa muelekeo wa Mh. Rais, yeye ana mwagiza Mwigulu wakusanye trilion mbili kwa mwezi wakati yeye zilimshinda na kuanza kuibia watu.
Mpango bado sana kwenye utendaji.
 
''Kwa upande wa mapato naomba mkaongeze walipa kodi, hii 'trend' mnayoenda nayo si nzuri, mnatumia nguvu sana kuliko akili katika kukusanya mapato, mnaowachukulia vifaa vyao na kufunga akaunti wakitoka hapo wanaenda kufunga biashara wanahamia Nchi ya pili'' - Rais Samia Suluhu

Mama anaongea vizuri huyu.
 
Msiwasahau Hawa wote Ni ccm wa a ongea haya na wanafanya vile.

Sasa anataka watu wakusanye kodi kwenye biashara zipi???
 
Mheshimiwa Rais Mama Samia amemuonya Waziri wa wizara ya Fedha kuacha kutumia nguvu kwenye kukusanya kodi badala yake watumie akili.

Mama Samia ameonya tabia ya Watendaji wa Serikali kutumia nguvu kukusanya kodi, kufungia biashara zao, kunyang'anya fedha kwenye akaunti kisa Sheria inawaruhusu.

Ameongeza kuwa Kitendo hicho kinasababisha wafanyabiashara kufunga biashara zao na kukimbilia nchi Jirani na hatimaye Serikali kukosa mapato.
Huyu madam President ataniua kwa furaha!

I am speechless!

Mungu akubariki mama. Wewe ni mkombozi wa sekta ya biashara Tanzania na uchumi wake.

Serikali ya awamu iliyopita imeua sekta ya biashara kwa kodi za ajabu ajabu na ukusanyaji wa kodi usiozingatia weledi.

Asante mama! You made my day!
 
Mheshimiwa Rais Mama Samia amemuonya Waziri wa wizara ya Fedha kuacha kutumia nguvu kwenye kukusanya kodi badala yake watumie akili.

Mama Samia ameonya tabia ya Watendaji wa Serikali kutumia nguvu kukusanya kodi, kufungia biashara zao, kunyang'anya fedha kwenye akaunti kisa Sheria inawaruhusu.

Ameongeza kuwa Kitendo hicho kinasababisha wafanyabiashara kufunga biashara zao na kukimbilia nchi Jirani na hatimaye Serikali kukosa mapato.
Hatukusema haya enzi za ibilisi tukaonekana wachochezi , sio wazalendo , wasaliti , tunatumiwa na mabeberu .
Screenshot_20210401-170126.png
 
Mheshimiwa Rais Mama Samia amemuonya Waziri wa wizara ya Fedha kuacha kutumia nguvu kwenye kukusanya kodi badala yake watumie akili.

Mama Samia ameonya tabia ya Watendaji wa Serikali kutumia nguvu kukusanya kodi, kufungia biashara zao, kunyang'anya fedha kwenye akaunti kisa Sheria inawaruhusu.

Ameongeza kuwa Kitendo hicho kinasababisha wafanyabiashara kufunga biashara zao na kukimbilia nchi Jirani na hatimaye Serikali kukosa mapato.


TRA akili wanayo ,tatizo SUKUMA GANG walishazoea nguvu hata kuua-nzi aliyetua usoni wanatumia nyundo.
 
Sisi wananchi wenyewe kulipa kodi bila kusukumwa ni mtihani!! Ukisema leo waje kwa kulemba kwenye kodi aaah hawapati ata bilion 1 kwa mwezi. Wakwepa kodi wengi wanajua kama wanakwepa kodi na wanafanya hivo ili faida ipige maradufu.
Huna hoja we chawa.

Serikali imeshabadilika wewe bado unawaza kizamani.

Kwanza, haujawahi kumiliki biashara yoyote. Unachojua ni kuropoka tu.
 
Sisi wananchi wenyewe kulipa kodi bila kusukumwa ni mtihani!! Ukisema leo waje kwa kulemba kwenye kodi aaah hawapati ata bilion 1 kwa mwezi. Wakwepa kodi wengi wanajua kama wanakwepa kodi na wanafanya hivo ili faida ipige maradufu.
Mkuu unamaanisha kutumia nguvu ni bora zaid ili tulipe kodi? Kikubwa ni kujenga taasisi imara na mfumo thabiti na wananchi wapewe elimu na uwajibikaji wa kulipa kodi. Akili 75% nguvu 25%
 
Back
Top Bottom