Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Siasa haina mbinu zenye mipaka mpwa....In politics, mwanamke mliye sawa naye kiumri akianza kujitetea kwa kauli kuwa "hujui Mimi ni mama yako", tambua mara moja kuwa ameshalegea, yuko tayari kutoa chochote........
Hii ni tabia ya "Delilah" yule mwanamke mnafiki wa kwenye biblia aliyejifanya kumpenda Samson, mnadhiri wa Mungu.......!!
Kwenye siasa hakuna kitu kama hicho....Sijawahi kuwa mwerevu kwako dadangu Tusekelege....
Mimi mnyakyusa kama ulivyo wewe....kule kwetu Matema ,dada ana thamani sana....sisi ni MATRILINEAL....
Sikushangaa mh.Rais Samia kupewa uchifu wa Hangaya...
Sitoacha dada zangu kuwaita mama kwani simaanishi mama mzazi aliyenizaa....
Ya mtoto wa MWENZAKO NI MWANAO[emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hupo sahii , kuitwa mama kila mtu anamuona mwanae.Changamoto ilianzia pale tulipo weka umama kwenye nafasi ya uongozi, kila mtu mama mama! Kila kitu mama mama!
Kwa hio wote anatuona kama wanae .
Eeehee wa wapi wee?!!Kwenye siasa hakuna kitu kama hicho....
Kwenye siasa hakuna ishu za "matrilineal"......
Huyu ameshalegezwa na hiyo kauli yake ni ya kujitetea tu lakini in hypocrite manner.....
Huyu mama "Tundulissuphobia syndrome" imeshamlegeza.......
Tayari alishawekwa kwenye angle ya "The fear of the defeat........."
we endelea tu kuleta ujinga ujue Asp Haji keshatoka ngorongoro na ssp fatuma anakupimia tuBi. Samia Suluhu Hassan (Rais wa JMT) ni mwanamke. Alizaliwa tarehe 27/1/1960 Umri wake Sasa ni miaka 64..............
View attachment 3079238
Tundu A. M. Lissu (Makamu M/Kiti CHADEMA Taifa Upande wa Tanganyika na mgombea Urais ktk uchaguzi mkuu wa 2020) ni mwanamume. Alizaliwa tarehe 20/1/1968. Umri wake kwa Sasa ni miaka 56...........
View attachment 3079239
Tofauti yao kiumri kati ya Bi. Samia Suluhu Hassan na Tundu Lissu ni miaka 8 kwa maana kuwa Samia Suluhu Hassan ni mkubwa kiumri kwa TL kwa miaka 8 tu...........
Juzi akiwa kwao Zanzibar, kamwita Tundu Lissu "mwanangu". Sijui kwa kutumia kigezo kipi. Je, kwa kigezo kuwa "kila mwanamke ni mama...?"
Lakini kama ametumia kigezo cha Umri, hapo atakuwa amechemka vibaya. Kwa vyovyote and by default hawezi kumzaa Tundu Lissu ktk Umri wake wa miaka 8........!!
Nadhani there's something wrong with this mama. Binafsi, naitazama na kuitafsiri hii "joke" ya huyu mama dhidi ya TL in a very serious note.....
Bila shaka, Tundu Lissu keshamshanganya kiasi cha yeye na kambi yake huko ikiongozwa na Lucas Mwashambwa kwa mbali akisaidiwa na Tlaatlaah kukabiliwa na tatizo sugu linalojulikana kwa lugha ya malkia wa Uingereza kama "tunduphobia syndrome.........!!"
Hakika kabisa huyu mama kumwita mwanamume aliye karibu kwa 99% kulingana naye kiumri "Mwanangu" ni kupitiwa na kuchanganyikiwa kwa kiwango cha juu sana.......!
Siku zote amekuwa akim - address kama "mdogo wangu". Wewe unafikiri juzi ikawaje aanze kumwita "mwanangu.....???"
Hajawahi kuwepo.....Siasa haina mbinu zenye mipaka mpwa....
Umesahau 10 D's?!! [emoji1787]
Chifu Hangaya hakoseagi [emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hajawahi kuwepo.....Siasa haina mbinu zenye mipaka mpwa....
Umesahau 10 D's?!! [emoji1787]
Chifu Hangaya hakoseagi [emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kiongozi ni baba/mamaBi. Samia Suluhu Hassan (Rais wa JMT) ni mwanamke. Alizaliwa tarehe 27/1/1960 Umri wake Sasa ni miaka 64..............
View attachment 3079238
Tundu A. M. Lissu (Makamu M/Kiti CHADEMA Taifa Upande wa Tanganyika na mgombea Urais ktk uchaguzi mkuu wa 2020) ni mwanamume. Alizaliwa tarehe 20/1/1968. Umri wake kwa Sasa ni miaka 56...........
View attachment 3079239
Tofauti yao kiumri kati ya Bi. Samia Suluhu Hassan na Tundu Lissu ni miaka 8 kwa maana kuwa Samia Suluhu Hassan ni mkubwa kiumri kwa TL kwa miaka 8 tu...........
Juzi akiwa kwao Zanzibar, kamwita Tundu Lissu "mwanangu". Sijui kwa kutumia kigezo kipi. Je, kwa kigezo kuwa "kila mwanamke ni mama...?"
Lakini kama ametumia kigezo cha Umri, hapo atakuwa amechemka vibaya. Kwa vyovyote and by default hawezi kumzaa Tundu Lissu ktk Umri wake wa miaka 8........!!
Nadhani there's something wrong with this mama. Binafsi, naitazama na kuitafsiri hii "joke" ya huyu mama dhidi ya TL in a very serious note.....
Bila shaka, Tundu Lissu keshamshanganya kiasi cha yeye na kambi yake huko ikiongozwa na Lucas Mwashambwa kwa mbali akisaidiwa na Tlaatlaah kukabiliwa na tatizo sugu linalojulikana kwa lugha ya malkia wa Uingereza kama "tunduphobia syndrome.........!!"
Hakika kabisa huyu mama kumwita mwanamume aliye karibu kwa 99% kulingana naye kiumri "Mwanangu" ni kupitiwa na kuchanganyikiwa kwa kiwango cha juu sana.......!
Siku zote amekuwa akim - address kama "mdogo wangu". Wewe unafikiri juzi ikawaje aanze kumwita "mwanangu.....???"
Hajawahi kuwepo.....Siasa haina mbinu zenye mipaka mpwa....
Umesahau 10 D's?!! [emoji1787]
Chifu Hangaya hakoseagi [emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ni kukosa agenda au nini? Vijana wanavyoitana kiongozi, mwana, mkuu huwa ndo iko hivyo? Acheni upuuzi. Ongeleeni hata kilimo cha pareto au alizeti Singida.
Mwanamke ni mama....
Kwa heshima ya ulezi wa akina mama sishangai kumsikia mwanamama akimuita mwanaume aliyemzidi umri kuwa ni MTOTO WAKE....
Hili hutolisikia nchi za ulaya bali kwetu waafrika na mila zetu za heshima za kuutukuza UMAMA NA UBABA.....
Hakika chifu Hangaya ni mama wa wengi ,kiumri ,kimadaraka na kimamlaka......[emoji7][emoji7]
#Ewe Mwenyezi Mungu tutunzie mja wako Rais Samia Suluhu Hassan ,aaamin aaaamin[emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sayari ilipo hiyo Tanganyika ina miezi mingapi ?!!
Huku duniani tuna miezi 12 ,michanga na mipevu ila hakuna mwezi wowote wa nchi iitwayo Tanganyika.....
#Serikali mbili za JMT Milele dumu aaamin[emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Naam ukimuuliza mtu mzima aliyekulia Mahambe wilayani Ikungi atakunong'oneza kuwa ndugu TL ni msumbufu toka utoto wake....sijui ni "ADHD "?!!!
Ni Simba asiyetulia....
ADHD- Attention deficit hyperactive disorder.
#Nchi Kwanza[emoji7]
#Tuko na Simba wetu asiyetulia mh.Tundu Lissu[emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Akina Mkunazi Njiwa hata hawaelewi haya......SSH ni mwanamke. Na mama Kwa wanae.
Ila Rais SSH Hana kabila, dini, Kanda Wala jinsi, ni kiongozi ,ni Cheo. Mtumishi na mwajiriwa wa wananchi.
Yule Si mamaetu,Akina Mkunazi Njiwa hata hawaelewi haya......
Huyu bibie tayari hofu ya kike imeshaanza kumsumbua.........
Huyu mwanamke hakustahili na hapaswi kustahili kupewa jukumu hili la kuongoza nchi. She's absolutely unfit......!
Awesome [emoji7][emoji7]SSH ni mwanamke. Na mama Kwa wanae.
Ila Rais SSH Hana kabila, dini, Kanda Wala jinsi, ni kiongozi ,ni Cheo. Mtumishi na mwajiriwa wa wananchi.