Pre GE2025 Rais Samia Suluhu kwenye hili la kuruhusu maandamano anahitaji sana pongezi

Pre GE2025 Rais Samia Suluhu kwenye hili la kuruhusu maandamano anahitaji sana pongezi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kipindi cha Rais samia cha sasa kuna mambo mengi yamekua hayaendi sawa Kupanda kwa vitu bei ila kwenye suala la kuruhusu maandamano ameonyesha busara na hekima ya hali ya juu sana kitu ambacho marais waliotangulia walikosa

Kipindi cha magufuli kuna dada wa kitanzania mpare sahivi ni billionaire kwa habari za umbeya alitishia maandamano nguvu ambazo magufuli alizitumia zilikua ni kubwa sana mixer ndege za kivita zilikua zinapita kwenye makazi ya watu alionyesha kutokua mstaarabu, kukosa busara na hekima kwa kiwango cha juu sana

Maandamano ya 2002 kulikua na matumizi ya nguvu makubwa mpaka lipumba amavunjwa mkono na watu kadhaa kuuliwa baadae mkapa alisema lile tukio analijutia sana ila anasema alishauriwa vibaya

Mnyonge mnyongeni ila kwenye hili Rais samia anahitaji pongezi sana
Kwani we umeona kwenye sheria hipi kuwa maandamano yanahitaji kibari cha Rais?
 
Hayo maadamano yanasaidia nn .
Yamefanya umeme usikatike wananchi tuna shida nyingi mnatuletea ngonjera za maandamano hii nchi inahitaji kutawaliwa upya na mkoloni miaka 60 ya uhuru tunahangaika na umeme na maji safi ya kunywa.
 
We basi utakua ni mdogo sana kiumri
Tanzania Rais ni Mungu mtu
Hayo unaongea wewe,

Na hakuna Mahali kwenye KATIBA kapewa mamlaka hayo.

Rais ni mtumishi wa wananchi. Na mamlaka yake yapo kikatiba, akienda kinyume na hapo, amevunja Katiba.

CHADEMA haijaomba Ruhusa kuandamana,

Bali imetoa taarifa Kwa polisi waje kulinda maandamano,

Rais hahusiki popote hapo.
 
Kipindi cha Rais samia cha sasa kuna mambo mengi yamekua hayaendi sawa Kupanda kwa vitu bei ila kwenye suala la kuruhusu maandamano ameonyesha busara na hekima ya hali ya juu sana kitu ambacho marais waliotangulia walikosa

Kipindi cha magufuli kuna dada wa kitanzania mpare sahivi ni billionaire kwa habari za umbeya alitishia maandamano nguvu ambazo magufuli alizitumia zilikua ni kubwa sana mixer ndege za kivita zilikua zinapita kwenye makazi ya watu alionyesha kutokua mstaarabu, kukosa busara na hekima kwa kiwango cha juu sana

Maandamano ya 2002 kulikua na matumizi ya nguvu makubwa mpaka lipumba amavunjwa mkono na watu kadhaa kuuliwa baadae mkapa alisema lile tukio analijutia sana ila anasema alishauriwa vibaya

Mnyonge mnyongeni ila kwenye hili Rais samia anahitaji pongezi sana
Huyu Samia sasa ndiye Rais wa watu siyo yule marehemu wa Chato. Watu wanamuita Shujaa mtu mwoga na mwongo.

Madikteta wote huwa ni WAOGA sana, endelea kuungua na moto Magufuli
 
Issue ya wanajeshi ni RC tu alikurupuka, unadhani SSH angeamua kukaza asingeweza ?
Kuna jitahada zimefanyika chini kwa chini kwa balozi za mataifa ya magharibi ndugu. Kuhusu Samia kukaza, upo sahihi. Angeweza kabisa kukataa maandamano yasiruhusiwe ila angelipia gharama kubwa sana ambayo hata yeye hataki. Kama ume-note ni kuwa rais Samia tangu aiangie kitu ambacho hataki kabisa ni kuwakasirisha ''mabeberu'' hivyo hata kama anataka kukataa ni ngumu...
 
Tanzania rais yupo juu ya katiba kama ulikua hujui
Ndo maana anaweza akazuia maandamano na hakuna wa kumfanya chochote

Rais ana hiari aifuate katiba au asipoifuate sababu hata asipoifuata huna cha kumfanya katiba ya Tanzania inategemea sana busara za aliyeko madarakani
Umesema ukweli kabisa ambao hata Mwl Nyerere baba wa Taifa alisema kuhusu Katiba.

Yule Mwendazake alikuwa hana busara ndiyo maana alikataza shughuli za vyama vya siasa. Aendele kuungua na moto wa jahanam huko aliko
 
Huyu Samia sasa ndiye Rais wa watu siyo yule marehemu wa Chato. Watu wanamuita Shujaa mtu mwoga na mwongo.

Madikteta wote huwa ni WAOGA sana, endelea kuungua na moto Magufuli
Ona Aibu basi ndugu,

Si ulijuapiza kuwa hapatakuwa na maandamano?

Jiandae kumpongeza pia CCM itakapobidhi Dola Kwa CDM na kuwa chama Cha upinzani 2025.
 
Ona Aibu basi ndugu,

Si ulijuapiza kuwa hapatakuwa na maandamano?

Jiandae kumpongeza pia CCM itakapobidhi Dola Kwa CDM na kuwa chama Cha upinzani 2025.
Kwani shida iko wapi? Mbona maandamano yapo?
 
Tanzania rais yupo juu ya katiba kama ulikua hujui
Ndo maana anaweza akazuia maandamano na hakuna wa kumfanya chochote

Rais ana hiari aifuate katiba au asipoifuate sababu hata asipoifuata huna cha kumfanya katiba ya Tanzania inategemea sana busara za aliyeko madarakani
Uko sahihi. Lakini japo ni mungu mtu bado hana uhuru mkubwa kama ambavyo angetaka. Kuna ''mabeberu'' ambao wanatoa misaada inayofanya nchi itawalike. Kama akijifanya kichwa maji, ''mabeberu'' wakikata misaada wanaweza kuangusha serikali.
 
Inasemwa "mnyonge mnyongeni haki yake mpeni "

Magufuli alizuwia mikutano. Akazuwia maandamano. Akasema yeye hajaribiwi. Sote tulifyata mikia.
Na hao wazungu walikuwepo na balozi zao.
You never lose either you win or you learn.
 
Kauli ya wanajeshi hakutoa Rais
Nitajie Rais aliyeruhusu maandamano ya wapinzani bila bughdha yeyote ile nasubiria jibu
Sasa hapo asifiwe aliyeamua kufuata katiba, au tulaani waliokuwa wanavunja katiba? Yaani kutii katiba imekuwa utashi wa kiongozi, hadi akiitii inakuwa na jambo la kulazimisha asifiwe! Hii inaonyesha ni kwa kiwango gani uadilifu kwa viongozi wetu ni mdogo, Hadi akitii katiba inatakiwa asifiwe.
 
Tanzania rais yupo juu ya katiba kama ulikua hujui
Ndo maana anaweza akazuia maandamano na hakuna wa kumfanya chochote

Rais ana hiari aifuate katiba au asipoifuate sababu hata asipoifuata huna cha kumfanya katiba ya Tanzania inategemea sana busara za aliyeko madarakani
Ni kweli
 
Kipindi cha Rais samia cha sasa kuna mambo mengi yamekua hayaendi sawa Kupanda kwa vitu bei ila kwenye suala la kuruhusu maandamano ameonyesha busara na hekima ya hali ya juu sana kitu ambacho marais waliotangulia walikosa

Kipindi cha magufuli kuna dada wa kitanzania mpare sahivi ni billionaire kwa habari za umbeya alitishia maandamano nguvu ambazo magufuli alizitumia zilikua ni kubwa sana mixer ndege za kivita zilikua zinapita kwenye makazi ya watu alionyesha kutokua mstaarabu, kukosa busara na hekima kwa kiwango cha juu sana

Maandamano ya 2002 kulikua na matumizi ya nguvu makubwa mpaka lipumba amavunjwa mkono na watu kadhaa kuuliwa baadae mkapa alisema lile tukio analijutia sana ila anasema alishauriwa vibaya

Mnyonge mnyongeni ila kwenye hili Rais samia anahitaji pongezi sana
Rais Samia tayari ameingia katika Kitabu Cha KUMBUKUMBU, Marais wa kiume wote waliogopa maandamano, mama ameonyesha moyo wa mama mlezi. Aliyepita alisema uchaguzi ukiisha basi hakuna mikutano mpaka miaka 5 ipite, mama mlezi ameruhusu. Aliyepita alisema mwanafunzi anayezaa akiwa shule asirudi shuleni, Mama mlezi ameruhusu
Aliyepita alisema mkurugenzi ambaye eneo lake atachaguliwa mpinzani Hana kazi, hili Sasa mama mlezi aruhusu sanduku la kura lichague aliyechaguliwa na Wananchi. HONGERA sana mama mlezi umeingia katika Kitabu Cha KUMBUKUMBU.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kipindi cha Rais samia cha sasa kuna mambo mengi yamekua hayaendi sawa Kupanda kwa vitu bei ila kwenye suala la kuruhusu maandamano ameonyesha busara na hekima ya hali ya juu sana kitu ambacho marais waliotangulia walikosa

Kipindi cha magufuli kuna dada wa kitanzania mpare sahivi ni billionaire kwa habari za umbeya alitishia maandamano nguvu ambazo magufuli alizitumia zilikua ni kubwa sana mixer ndege za kivita zilikua zinapita kwenye makazi ya watu alionyesha kutokua mstaarabu, kukosa busara na hekima kwa kiwango cha juu sana

Maandamano ya 2002 kulikua na matumizi ya nguvu makubwa mpaka lipumba amavunjwa mkono na watu kadhaa kuuliwa baadae mkapa alisema lile tukio analijutia sana ila anasema alishauriwa vibaya

Mnyonge mnyongeni ila kwenye hili Rais samia anahitaji pongezi sana
Hata mimi nampongeza Samia kwa hili tuache utani kafanya jambo kubwa ambalo wengi liliwashinda
 
Back
Top Bottom