Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Huyo raisi mwenyewe hata ana habari
basi nini kinaendelea Tanzania, muda huu yupo zake Indonesia huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na wewe, akifanya vizuri tumpe pongezi na akikosea tumseme, kwa hili nampongeza sn Rais SamiaRais wa Tanzania anauwezo wa kutokufuata sheria na hakuna cha kumfanya
Mkuu Rais wa nchi hii hashindwi kitu. Mm nadhani rangi kamili itaonekana siku si nyingiSema ameshindwa kuzuia maandamano baada ya Mbowe kumzidi ujanja Kwa kushirikisha UN na mabalozi wa USA na Uingereza.
Ikiwa alikuwa na Nia njema kuruhusu maandamano, why wanajeshi hawakujitikeza yalipotokea mafuriko, waje kufanya usafi siku ya maandamano ya CHADEMA?
Huna HOJA.
Kama mtu anataka ukumbusho arudie maandamano Januari 27 Pemba. Ulikuwa utawala wa Mkapa.Piga picha ingekua kipindi cha magufuli au mkapa alafu ndo kuna haya maandamano nakuhakikishia sahivi ingekua damu imeshamwagika
KabisaKama mtu anataka ukumbusho arudie maandamano Januari 27 Pemba. Ulikuwa utawala wa Mkapa.
SureMkuu Rais wa nchi hii hashindwi kitu. Mm nadhani rangi kamili itaonekana siku si nyingi
He was a sadist.Rais Samia tayari ameingia katika Kitabu Cha KUMBUKUMBU, Marais wa kiume wote waliogopa maandamano, mama ameonyesha moyo wa mama mlezi. Aliyepita alisema uchaguzi ukiisha basi hakuna mikutano mpaka miaka 5 ipite, mama mlezi ameruhusu. Aliyepita alisema mwanafunzi anayezaa akiwa shule asirudi shuleni, Mama mlezi ameruhusu
Aliyepita alisema mkurugenzi ambaye eneo lake atachaguliwa mpinzani Hana kazi, hili Sasa mama mlezi aruhusu sanduku la kura lichague aliyechaguliwa na Wananchi. HONGERA sana mama mlezi umeingia katika Kitabu Cha KUMBUKUMBU.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kipindi cha Rais samia cha sasa kuna mambo mengi yamekua hayaendi sawa Kupanda kwa vitu bei ila kwenye suala la kuruhusu maandamano ameonyesha busara na hekima ya hali ya juu sana kitu ambacho marais waliotangulia walikosa
Kipindi cha magufuli kuna dada wa kitanzania mpare sahivi ni billionaire kwa habari za umbeya alitishia maandamano nguvu ambazo magufuli alizitumia zilikua ni kubwa sana mixer ndege za kivita zilikua zinapita kwenye makazi ya watu alionyesha kutokua mstaarabu, kukosa busara na hekima kwa kiwango cha juu sana
Maandamano ya 2002 kulikua na matumizi ya nguvu makubwa mpaka lipumba amavunjwa mkono na watu kadhaa kuuliwa baadae mkapa alisema lile tukio analijutia sana ila anasema alishauriwa vibaya
Mnyonge mnyongeni ila kwenye hili Rais samia anahitaji pongezi sana
Mkapa naye alisafiri akamuacha Dr Omar walipouliwa ndugu zakeView attachment 2881581
Huyo raisi mwenyewe hata ana habari
basi nini kinaendelea Tanzania, muda huu yupo zake Indonesia huko.
Piga picha ingekua kipindi cha magufuli au mkapa alafu ndo kuna haya maandamano nakuhakikishia sahivi ingekua damu imeshamwagika
Vijana hawa elimu ndo maana hata hili nalo watakataa.Tanzania rais yupo juu ya katiba kama ulikua hujui
Ndo maana anaweza akazuia maandamano na hakuna wa kumfanya chochote
Rais ana hiari aifuate katiba au asipoifuate sababu hata asipoifuata huna cha kumfanya katiba ya Tanzania inategemea sana busara za aliyeko madarakani
Ili sakata sijawahi lisikia inabidi uanzishe mada siku moja kutupa somo la historia.Mkapa naye alisafiri akamuacha Dr Omar walipouliwa ndugu zake
Mimi nadhani pongezi wangepewa Jeshi la polisi kwa kumhakikishia raisi na wasaidizi wake kwamba watayadhibiti maandamano...Mbowe na wenzake wanastahili pongezi kubwa sana.
..Pamoja na historia ya serikali za Ccm kumwaga damu kunapotokea maandamano wao walishikilia msimamo wao wa kudai HAKI ya kikatiba ya kuandamana.
Mbona ameshindwa kudhibiti wizi wa raslimali za nchi?Mkuu Rais wa nchi hii hashindwi kitu. Mm nadhani rangi kamili itaonekana siku si nyingi
Sisi chadema hatuna jemaIssue ya wanajeshi ni RC tu alikurupuka, unadhani SSH angeamua kukaza asingeweza ?
Wamekaa kishabiki sanaVijana hawa elimu ndo maana hata hili nalo watakataa.