Pre GE2025 Rais Samia Suluhu kwenye hili la kuruhusu maandamano anahitaji sana pongezi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)


Huyo raisi mwenyewe hata ana habari
basi nini kinaendelea Tanzania, muda huu yupo zake Indonesia huko.
 
Mkuu Rais wa nchi hii hashindwi kitu. Mm nadhani rangi kamili itaonekana siku si nyingi
 
He was a sadist.
 

..Nadhani pongezi ziende kwa walioandaa maandamano ambao hawakutishwa na yaliyowapata wenzao huko nyuma, na hawakusikiliza kejeli na vitisho ilivyokuwa vikitolewa na magenge yanayomuunga mkono Rais Samia.
 
Piga picha ingekua kipindi cha magufuli au mkapa alafu ndo kuna haya maandamano nakuhakikishia sahivi ingekua damu imeshamwagika

..Mbowe na wenzake wanastahili pongezi kubwa sana.

..Pamoja na historia ya serikali za Ccm kumwaga damu kunapotokea maandamano wao walishikilia msimamo wao wa kudai HAKI ya kikatiba ya kuandamana.
 
Vijana hawa elimu ndo maana hata hili nalo watakataa.
 
..Mbowe na wenzake wanastahili pongezi kubwa sana.

..Pamoja na historia ya serikali za Ccm kumwaga damu kunapotokea maandamano wao walishikilia msimamo wao wa kudai HAKI ya kikatiba ya kuandamana.
Mimi nadhani pongezi wangepewa Jeshi la polisi kwa kumhakikishia raisi na wasaidizi wake kwamba watayadhibiti maandamano.

Kamanda Murilo amesoma na safari hii ametumia elimu yake ipasavyo na si kuiweka kapuni.
 
Vipi kuhusu jua Kuchomoza tumpongeze nani ?

Badala ya kutumia muda wetu ku-criticize vitu ambavyo haviendi sawa kutokana na sera na utendaji mbovu (mgao wa giza, mfumuko wa bei, kukosekana ujira wa kutosha kwa watu n.k.) tunapoteza muda kupoteza vitu ambavyo hata wala hana Haki kuvizuia.., vitu ambavyo vipo kisheria..., Kwahio mtu apongezwe kwa kufuata Sheria ?!!! Kweli !!!!

Na wewe tukupongeze kwa kupongeza ?!!!!
 
Hivi nyie mnakili ndio maana hatuwezi kuendelea hivi raisi aruhusu maandamano kama Nani katiba ndio inaruhusu sio rais
 
Mkuu Rais wa nchi hii hashindwi kitu. Mm nadhani rangi kamili itaonekana siku si nyingi
Mbona ameshindwa kudhibiti wizi wa raslimali za nchi?

Mbona kushindwa kuhakikisha Bei ya sukari isizidi 2500 per kg?

Kushindwa ni kushindwa tu!!
 
Issue ya wanajeshi ni RC tu alikurupuka, unadhani SSH angeamua kukaza asingeweza ?
Sisi chadema hatuna jema
Tumemaliza maandamano ingawa hayakunoga kama tulivyotarajia sasa tumeacha tumegeukia kwanin mama karuhusu
Narudisha kadi mim ohoo shar lennu
 
Katika jambo lililomwinua mama samia ni hili la kuruhusu maandamano big up mama samia kiuhalisia amezidi maraisi wote waliopita namuona mama samia ni mwema tatizo ni wanaomzunguka huko ccm sio watu wema mama Leo umeonyesha Kwa jamii ya watanzania anaweza kuleta mabadiliko ukiacha doa la Dp world kura zingepigwa Leo ungeshinda uraisi umeonyesha Utu mama Mungu akulinde na azidi kukupigania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…