Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Ajifunze kupiga kavukavu za uso kama mtangulizi wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mlikuwa mnamchukulia poa!!!.Hakika Rais Mama Samia kaonesha kuheshimu Mamlaka.
Ombi la wana Chato kuomba kuwa Mkoa kalikabidhi kwa mamlaka husika.
"Mkikidhi vigezo tutaipa Chato kuwa Mkoa" Rais Mama Samia Suluhu
Vigezo vitoke wapi?Kajibu hivi...
Unajidanganya.Chato ndiyo mwisho wao kwisha sasa.
Wilaya za mkoa huo zitakuwa zipi ?Kwasisi tunaoona kwa kutumia jicho la tatu, chato ni mkoa tayari ni suala la muda tu
Wilaya zake ni zipi ?Uko sahihi...kwa mujibu wa Rais Chato itakuwa mkoa ....Kama vigezo havitoshelezi kwa Sasa wataelekezwa namna ya kufanya kukamilisha vigezo hivyo...na tayari vigezo vingi tayari...hospitali ya rufaa inakamilishwa, uwanja wa Ndege inakamilishwa ambao hata Boeing zitatua, vyuo, viwanda, miundo mbinu Yaani barabara tayari ni za lami, hoteli nyita tatu inajengwa...na kadhalika na kadhalika...miaka mitatu ijayo Chato itakuwa mkoa...
Watakidhishwa tuUkikidhi vigezo alisikika raisi. Shida ni vigezo si jambo lingine. Ukishakidhi vigezo kwann usiwe mkoa?
Chato magharibi, chato kusini, burigi nkWilaya za mkoa huo zitakuwa zipi ?
Wabongo bana. Utazani hawataki maendeleo.Kaondoka na uwanja wa ndege unaenda kuwa pori la kulishia mifugo,
ingekua ukubwa ni kigezo basi dar isingekua jijiUnaifahanu Chato? Ni Wilaya ndogo, ipo mkoa wa Geita, Geita nayo ilikuwa sehemu ya mkoa wa mwanza Kisha awamu ya Kikwete ndio ikagawanywa..
Sawa mkuuWabongo bana. Utazani hawataki maendeleo...
Sawa mkuuUnajidanganya.
Bora iwe mkoa, ilipotolewa Biharamulo na kupelekwa Geita sikufurahia kabisa, kwa wenyeji wanajua Biharamulo ni wasubi na Geita ni wasukuma, haikukaa poa.
Uwanja wa ndege ndiyo itakuwa standChato iwe mkoa ambayo haina hata stendi
Kumbe!Mikoa haigawanywi kwa kuzingatia makabila
Sikusema hivyo wala, unaijua Biharamulo ya awali?Mikoa haigawanywi kwa kuzingatia makabila
Ni ka senta tu kanazidiwa hata na mlandizi ndo ipewe hadhi ya mkoaUwanja wa ndege ndiyo itakuwa stand
Ndio sifa ya Hayati,alikua si mpenda kuchelewesha mambo,Chato lazima iwe mkoaAngekuepo mwenyewe angesema leo natangaza Chato kua mkoa na viongozi nitawateua.