Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
mimi sitachanja hata ikija. hata wazungu wengi tu huko kwao wamekataa kuchanjwa. sitaki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo fitina mkuu. Corona ipo nailifika ikulu. Balozi Kijazi alikufa corona na ilitangazwa kabisa.
Mama amegundua kuwa ni lazima science iheshimiwe, aachane na upuuzi.
Kenya tu hapo yamewakuta inaelezwa Kuna watu zaidi ya 200 hali sio nzuri baada ya chanjo, Mungu awape maono mema viongozi wetumimi sitachanja hata ikija. hata wazungu wengi tu huko kwao wamekataa kuchanjwa. sitaki.
Kwani unajua chanjo ni ninimimi sitachanja hata ikija. hata wazungu wengi tu huko kwao wamekataa kuchanjwa. sitaki.
AminaShalom "Bwana Mungu akasema nami juu ya ujio wa chanjo ya Corona kwa kasi sana barani Africa ikiwemo Tanzania ingawa baadhi ya nchi za Africa zinaendelea na udungaji wa chanjo hizo pia Bwana akanionyesha Contena saba ziko kwenye kama behewa kubwa ila ndani ya maji na ndani yake kuna sindano kama ndogo ndogo hivi nyingi na gloves nyingi na madwa mengi kisha Bwana akanionyesha watu wengi humo ndani ya behewa wazungu na watu weusi wengi lakini cha ajabu watu hawa walikuwa wakisheherekea hivi wengine wakisema tumeshinda na haya ni maono ya wazi wazi kisha Bwana akaniambia niwaambie watanzania wenzangu niwaambie watumishi wa Mungu wote tuombe sana juu ya taifa letu ila rehema na toba ya ndani kwa kanisa lote na taifa,Tuziombee familia zetu na tuwaombee bila kuchoka viongozi wa taifa letu la Tanzania maana Lucifer ameandaa uharibifu mkubwa kupitia wakala zake ambao ni baadhi ya watu katikati ya wanadamu Mungu atupe kutii amen.
Ndugu yangu omba Mungu atusaidie. Kama wewe ni mwajiriwa,hivi bosi akisema wafanyakazi wote wachanjwe utakataa?mimi sitachanja hata ikija. hata wazungu wengi tu huko kwao wamekataa kuchanjwa. sitaki.
Unajiita mlokole ila unaongea uongo. Thibitisha hili.Kenya tu hapo yamewakuta inaelezwa Kuna watu zaidi ya 200 hali sio nzuri baada ya chanjo, Mungu awape maono mema viongozi wetu
Mara marufuku kwa walio chini ya 30 mara kwa walio chini ya 60, zungukeni mrudi kwa Magu[emoji38][emoji38]Chanjo zitasaidia kupunguza vifo haswa kwa Wazee na wenye magonjwa sugu
Wao Waingereza wanasema hivyo kwa sababu wana Winter ambayo hata Flu huwa inawasumbua sisi hatuna Winter
Winter watu kukohoa kohoa na kupiga chafya sana
Sisi tukipata chanjo itatusaidia sana
Kweni chanjo ni hiyo ya Astra Zeneca pekeeMara marufuku kwa walio chini ya 30 mara kwa walio chini ya 60, zungukeni mrudi kwa Magu![]()
![]()
unataka watangaze ili iweje? kwasababu hajasikia haimaanish watu hawafi.Toka mwendazake atutoke hatujasikia vifo vya corona wala vinavyotokana na changamoto ya kupumua, je kwa nini sasa mnataka kuunda kamati na kwa maslahi ya nani?
Wtf... !!SSH anakurupuka ili kuwafurahisha wazungu, she’s so desperate kupata recognition ya wazungu badala ya watz wenzie.
Mbona hatusikii hata mtaani achilia mbali huko kutangazwa!! Yaani corona unaweza kuficha kishindo chale kweli mpaka iyo kamati ndo ije itupige sound?unataka watangaze ili iweje? kwasababu hajasikia haimaanish watu hawafi.
kamati itakayoundwa ni ku asses impact ya corona nchini ktk nyanja zote. then watatoa suggestion nn kifanyike