Rais Samia Suluhu, Waganda wamekupigia 'Salute' kwa Kiingereza chako kizuri japo huna PhD yoyote

Rais Samia Suluhu, Waganda wamekupigia 'Salute' kwa Kiingereza chako kizuri japo huna PhD yoyote

Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.

Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.

Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?

Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.

Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
Hata angezungumza Kiswahili, bado angezungumza vizuri kuliko wengine. Presentation is an art, not jus a matter of uttering words
 
Unacho lazima ni kipi ndugu, kuzungumza kiingereza sio sifa wala sio lazima ni suala la maamuzi, tatizooo ni kutokwa povu kwenu kisa mtu kakataa kuongea kiingereza, nakuletea kwako huyu hapa PM wa India kiingereza anajua vizuri lakini kuongea HATAKI ata akutane na viongozi wa dunia, tatizooo mnaaminisha ujinga kuwa kiongozi wa nchi lazima aongee kiingereza
https://www.washingtonpost.com/news...of-world-leaders-who-refuse-to-speak-english/

Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.

Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.

Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?

Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.

Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
 
Kweli wakoloni wa kiingereza kansa yao iliingia kwa uhakika katika jamii yetu.Yaan ,ww ndugu unafurahia kuongea kiingereza cha wakoloni,badala ufurahie kiswahili chako.Rais was China alipokuja hapa Tanzania, aliongea kichina mwanzo mwisho na kunamtafasiri.Na wako juu kimaendeleo.Wewe unaeanzisha Uzi kwa ajili ya kushangilia kiingereza,cha wakoloni,badala ufikirie vipi lugha ya kiswahili itatoboa nje ya nchi.

Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.

Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.

Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?

Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.

Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
 
The issue is not actually english, but even when speaking Zaramo, speak it in an appealing manner. I think that is what she did it well, while others have failed

Ndio Maana kwenye kazi za kimataifa ukienda kwenye usaili atatoboa mkenya, mganda na mnyarwanda kwa sababu wanaweza kujieleza na kujibu vyema hoja mbali mbali kwa lugha husika
 
Kiingereza kina status Tatu kidunia 1. Ni Lugha Mama au Lugha Ya asili kwa nchi nyingi tu duniani ambapo hutofautiana namna ya matamshi tu kwa mfano American english na British English zaweza kutamkwa tofauti lakini maana ikawa moja tu
2. Ni lugha Rasmi kwenye maeneo mengi ya kidunia nazungumzia diplomasia, au kujifunzia Duniani kote Ina hadhi hiyo ya urasmi na ndio maana inakua na umuhimu wa kipekee
3. Ni Lugha yenye nguvu kibiashara duniani maana yake hata mchina mwenye duka China analazimika ajifunze kiingereza ili aweze kuwasiliana na wateja, mitambo mingi duniani iko setted na kiingereza, Gunduzi nyingi duniani zimekua na link ya kiingereza kwa sababu ni lugha muhimu sana
Unajua shida yako iko hapa, Ata Tanzania watu wanajifunza kiingereza mpaka michepuo ya lugha ipo, suala la kujifunza ata Tanzania tunafanya, HOJA hapa hakuna ulazimaa Rais wa nchi yetu kuongea kiingereza kama mwenyewe hataki ,maana sio kosa wala sio jambo la kushangaza, Ata Waziri Mkuu wa India aligoma kuongea kiingereza mbele ya viongozi wa dunia pamoja kwamba anajua kiingereza, mwenyewe anapenda kuongea Kihindu kipi uelewi hapa
 
Hawa wa sizitaki mbichi hizi wasitake kuhadaa watu. Kwenye E-commerce mitandaoni ni kiingereza ndicho kinachotumika.

Kwa hiyo hawa wanaokipinga humu ni wale walioshindwa kukimudu na kwa staili hiyo hiyo ndio maana hata Magufuli alishinikiza Kiswahili zaidi hadi hata mahakamani.

Kiingereza ndio lugha ya dunia na huwezi kuikwepa. Leo hii ingia mtandaoni Ali Baba ujaribu kutaka kuagiza bidhaa yoyote China uone lugha gani inatumika.

Nafurahi Kueleweka na Werevu ( Intelligent Members ) Wachache mnaopatikana hapa Jamvini JamiiForums. Heko sana Ndugu.
 
Communication Skills, Speech Delivering ni ngumu kwa watanzania wengi lazima tukubali Mama kajitahidi na katuondolea aibu iliyokua inatupata kwenye mikutano muhimu kama hiyo
 
Waziri Kalemani jana kanifurahisha sana nilicheka hasa.Alibadili mwelekeo mzima wa shughuli.Ilikuwa hivi shughuli nzima ilikuwa ikiendeshwa kiingereza akaja waziri Wa uganda aliyezungumza kabla kumkaribisha Dr kalemani alikuwa ni alitoa hotuba nzima kwa lugha ya kiganda tena bila ku
omba wakalimani watafsiri Dr Kalemani alipokaribishwa aongee akaongea kiingereza dakika chache kisha akasema Waziri mwenzangu wa Uganda kwa kuwa katumia lugha ya uganda na mimi mniruhusu nitumie lugha yangu ya taifa akatandika kiswahili toka mwanzo hadi mwisho.Baada ya kwenda kukaa naona waganda walienda kupeana onyo kuwa ile ni hadhira ya kimataifa marufuku kutumia kiganda.Kingereza kuanzia hapo ikawa lugha ya shughuli

Safi sana Dr.Kalemani
 
Sipendagi sana dharau, na siwezi kukujibu kwa dharau kama ulivyo fanya. Nikujibu tu hivi, kuna sehemu hata moja nimekidharau Kingereza? Au unakariri tu? Usiishi maisha kukariri na hili ni moja kati ya yale niliyasema hapo ju kuhusu kusoma na kuelewa ulichosomea, ume base kwenye personal attack kuliko nilicho kieleza. Jikite kwenye hoja, sio mtoa HOJA.
Usibishane naye huyo kwanza hajui hata kujenga hoja. Huja notice kwamba anafanya copy and paste kujibu kwenye kila comment inayosema tofauti na yeye?
 
Haya tufanye basi tuongee kiswahili, maana hata kiswahili wengine hawakijui sana tunaishia kupewa mifano ya ngono majukwaani sio vizuri
 
Hata angezungumza Kiswahili, bado angezungumza vizuri kuliko wengine. Presentation is an art, not jus a matter of uttering words

Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.

Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.

Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?

Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.

Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
 
Hatusemi lazima uwe competent kwenye maeneo yote lakini atleast uweze kuongea ueleweke ukosee structure lakini meaning ibakie ile ile,
 
Sina hakika kama kujua kingereza ndio kipimo cha kusoma; Magufuli na "mabaya" yake but kwenye issue ya Corona kawa outsmart hadi WHO na sasa hivi mataifa mengi makubwa (including UK ) wana copy from Magufuli, Magufuli kweli hakuakijua vizuri Kingereza but jamaa shule yake imeonekana kwenye mambo mengi ukiachilia mbali tabia za ubabe ambazo sidhani kama shule inaweza ku unlock.
Kingine, wazee wenzangu, tusijitoe ufahamu, wasomi wengi wa masomo ya sayansi wale wa zamani, na of course hata sasa hivi baadhi wapo, kingereza kwao kuongea ni shida sana, tena sana. Tafuta Engineer yeyote au msomi hata wa Hesabu kama mama Ndalichako, nuongee nae Kingereza kwa dakika 5 tu, atachemsha vibaya sana, why, Science ina deal zaidi na symbols, maneno kama therefore, etc, so nk yote yana alama, chemicals zote alama, sentensi inaweza kua ndefu, engineer atatumia alama tu na engineer mwenzie akaelewa jamaa anataka kusema nini; watu hao hao sasa, wapeni kazi ndio utajua kama alisoma au hakusoma.

Magufuli aliwa outsmart vipi WHO kwenye corona? UK wamecopy nini? Hebu acheni ujinga huu.
 
Unajua shida yako iko hapa, Ata Tanzania watu wanajifunza kiingereza mpaka michepuo ya lugha ipo, suala la kujifunza ata Tanzania tunafanya, HOJA hapa hakuna ulazimaa Rais wa nchi yetu kuongea kiingereza kama mwenyewe hataki ,maana sio kosa wala sio jambo la kushangaza, Ata Waziri Mkuu wa India aligoma kuongea kiingereza mbele ya viongozi wa dunia pamoja kwamba anajua kiingereza, mwenyewe anapenda kuongea Kihindu kipi uelewi hapa

Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.

Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.

Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?

Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.

Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
 
Back
Top Bottom