Nilihangaika kusajili business name kwa ile takataka yao ya online mpaka nikachemsha na hela yangu walishakula...nimeamua kupuyanga kienyeji years later ntatafuta kishoka nimpe hela akafanye manually!BRELA wamekuwa sababu ya wafanyabiashara wengi kushindwa kurasimisha biashara zao kwani ukitaka kufungua kampuni utapitia machungu na mwisho utaacha kabisa.
Brela wamekuwa wanafanya masahihisho ya maombi kwa mtindo wa kuchelewesha ili mwombaji atoe rushwa.
Brela wanasahihisha neno moja moja na kufanya zoezi kuwa refu na lisiloisha ili wapate mwanya wa rushwa. Tafadhali Rais Samia tusaidie kuondokana na watendaji hawa wabovu pale Brela.
Takukuru Wana kazi gani? Waziri wa Viwanda na Biashara ana kazi gani?BRELA wamekuwa sababu ya wafanyabiashara wengi kushindwa kurasimisha biashara zao kwani ukitaka kufungua kampuni utapitia machungu na mwisho utaacha kabisa.
Brela wamekuwa wanafanya masahihisho ya maombi kwa mtindo wa kuchelewesha ili mwombaji atoe rushwa.
Brela wanasahihisha neno moja moja na kufanya zoezi kuwa refu na lisiloisha ili wapate mwanya wa rushwa. Tafadhali Rais Samia tusaidie kuondokana na watendaji hawa wabovu pale Brela.
Ukija hapa Dar ndiyo usiombe.Kuna vidada vipo reception ukifika pale vina dharau kama vile umeenda kuomba kaziTakukuru Wana kazi gani? Waziri wa Viwanda na Biashara ana kazi gani?
WamelalaTakukuru Wana kazi gani? Waziri wa Viwanda na Biashara ana kazi gani?
Tanzania takukuru,mpaka waagizweTakukuru Wana kazi gani? Waziri wa Viwanda na Biashara ana kazi gani?
Takukuru wenyewe wanakula rushwa. Bongo nyossoTanzania takukuru,mpaka waagizwe
Takukuru ngataaaaa
Ova
πππUkija hapa Dar ndiyo usiombe.Kuna vidada vipo reception ukifika pale vina dharau kama vile umeenda kuomba kazi
Hawapo Kila Mahali Zaidi Peleka Taarifa Leta Mrejesho Wako Hapa Hapa Tupate MwangaTanzania takukuru,mpaka waagizwe
Takukuru ngataaaaa
Ova
Wewe unafanyaje online na kukamilisha mkuu??Brela mbona hadithi zote huishia mtandaoni? Rushwa gani mnatoa?
Mkuu,Kuna tatizo Brela ila nafikiri Tatizo sio watendaji bali ni Brela yenyewe kutokuwa na Standard Operating Procedures matokeo yake unakuta kila mara kunakuwa na marekebisho ambayo yanategemea ni nani anapitia nyaraka zako kwa wakti huo.BRELA wamekuwa sababu ya wafanyabiashara wengi kushindwa kurasimisha biashara zao kwani ukitaka kufungua kampuni utapitia machungu na mwisho utaacha kabisa.
Brela wamekuwa wanafanya masahihisho ya maombi kwa mtindo wa kuchelewesha ili mwombaji atoe rushwa.
Brela wanasahihisha neno moja moja na kufanya zoezi kuwa refu na lisiloisha ili wapate mwanya wa rushwa. Tafadhali Rais Samia tusaidie kuondokana na watendaji hawa wabovu pale Brela.