BRELA wamekuwa sababu ya wafanyabiashara wengi kushindwa kurasimisha biashara zao kwani ukitaka kufungua kampuni utapitia machungu na mwisho utaacha kabisa.
Brela wamekuwa wanafanya masahihisho ya maombi kwa mtindo wa kuchelewesha ili mwombaji atoe rushwa.
Brela wanasahihisha neno moja moja na kufanya zoezi kuwa refu na lisiloisha ili wapate mwanya wa rushwa. Tafadhali Rais Samia tusaidie kuondokana na watendaji hawa wabovu pale Brela.
Brela wamekuwa wanafanya masahihisho ya maombi kwa mtindo wa kuchelewesha ili mwombaji atoe rushwa.
Brela wanasahihisha neno moja moja na kufanya zoezi kuwa refu na lisiloisha ili wapate mwanya wa rushwa. Tafadhali Rais Samia tusaidie kuondokana na watendaji hawa wabovu pale Brela.