Rais Samia tafadhali sana…..

Maybe they laid a foundation for others...
 
Tuna safari ndefu sana ya kupata maendeleo. Yaani kwenye speech yote ameona uchambue hilo? Kwann hukuamua kutuhabarisha mazuri aliyoyasema? Hovyo sana. Negative minde can never succeed in life. Because you don't see potentials in any thing. Shame on you.
 
Ni kweli
 
Kwani katoa hotuba gani hapo? Naona hata video hujaiangalia wewe. Mvivu wa akili kama alivyo Samia.
 
Waliokaribu naye watalifanyia kazi hilo
 
Nasemaje kama hapo yupo makamba , tutegeme futuhi nyingine
 
Ni ulimi uliteleza tu Ila alimaanisha Indira Gandhi.
 
Alaumiwe Kijana wake Makamba anayemuandaa kwa siku za baadaye kwa kushindwa kutofautisha Mahatma Gandhi na Rajiv Gandhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…