Rais Samia tafadhali sana…..

Rais Samia tafadhali sana…..

Anzia dakika ya 9:25 mpaka 9:40.


View: https://www.youtube.com/live/PEzgcxu_A50?si=AFWVhAKOGy8b_VG7

Akiwa kwenye ikulu ya Rashtrapati Bhavan huko New Delhi, India, baada ya kukagua gwaride la heshima lililoandaliwa kwa ajili yake kwenye ziara yake nchini humo, Rais Samia alipewa wasaa wa kusema machache.

Katika machache hayo aliyoyasema, Rais Samia kasema kuwa eti mahusiano katika ya Tanzania na India yaliasisiwa na Mahatma Gandhi na Julius Nyerere!

Sidhani kama hilo ni kweli.

Gandhi alikufa mwaka 1948. Mwaka huo huo Nyerere alikuwa bado ni mwalimu huko Tabora.

Sasa Gandhi na Nyerere walianzishaje hayo mahusiano baina ya hizi nchi mbili?

Huenda labda alimaanisha kusema Jawaharlal Nehru na Julius Nyerere? Kama alimaanisha hivyo, sawa.

Hii ni constructive criticism.

Awe anafanya ‘homework’ yake vizuri maana hii si mara ya kwanza yeye kusema vitu visivyo sahihi kwenye medani za kimataifa.

Kuna wakati aliwahi kusema kuwa Kamala Harris ndo mwanamke wa kwanza Marekani kugombea moja ya nafasi za juu kabisa nchini humo, kana kwamba hajui chochote kuhusu Geraldine Ferraro.

Aache uvivu. Awe anajiandaa vizuri kwa kusoma kabla hajafungua mdomo wake na kuanza kusema mambo yasiyo sahihi.

Kuna yule fala mwingine Mulugo alisema kuwa Tanzania ilipatikana baada ya Tanganyika kuungana na Zimbabwe!🤣🤣
 
Nakubaliana nawe jambo moja kwenye maelezo yako...AACHE UVIVU!.
Hivi jamani iyo mikataba 15 aliyosaini inahusu nini?maana Bibi Mchele Sina Imani naye kabisa kwenye mikataba!
 
Hivi kweli mlitegemea nini zaidi kutoka kwa Samia? Mtu unavuna ulichopanda. Huyu siyo mtu wa kufanya research na sidhani hata kama huwa ana tabia ya kujisomea mambo muhimu. Huyu ni wale watu wanakesha kusoma Mange kaposti nini au Diamond kalala na nani! Samahani sana lakini ndiyo ukweli wenyewe. Na mbaya zaidi siku hizi wasaidizi wa rais huchukuliwa wenye vilaza wa ndiyo yes ndiyo.... wanaogopa kuchukuwa watu wenye akili.
Wewe jamaa!🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sasa KATIBU WA RAIS ni Waziri Salum kutwa anathinda INSTAGRAM kupost picha unategemea anamuandalia Hotuba gani Rais, Urais ulianza kufanywa mwepesi na Magufuli sasa wngine wote wanaona wanaweza kuwa Marais.
Siyo Magufuli ni wakati wa JK na 2015 kila mtu alijiona anaweza kuwa Rais.
 
Huenda labda alimaanisha kusema Jawaharlal Nehru na Julius Nyerere? Kama alimaanisha hivyo, sawa.

Hii ni constructive criticism.

Awe anafanya ‘homework’ yake vizuri maana hii si mara ya kwanza yeye kusema vitu visivyo sahihi kwenye medani za kimataifa.
Hakukumbuka msemo wa kikwere wa "za kuambiwa changanya na zako", huenda amepotoshwa na aliyemuandalia hiyo speech
 
Anzia dakika ya 9:25 mpaka 9:40.


View: https://www.youtube.com/live/PEzgcxu_A50?si=AFWVhAKOGy8b_VG7

Akiwa kwenye ikulu ya Rashtrapati Bhavan huko New Delhi, India, baada ya kukagua gwaride la heshima lililoandaliwa kwa ajili yake kwenye ziara yake nchini humo, Rais Samia alipewa wasaa wa kusema machache.

Katika machache hayo aliyoyasema, Rais Samia kasema kuwa eti mahusiano katika ya Tanzania na India yaliasisiwa na Mahatma Gandhi na Julius Nyerere!

Sidhani kama hilo ni kweli.

Gandhi alikufa mwaka 1948. Mwaka huo huo Nyerere alikuwa bado ni mwalimu huko Tabora.

Sasa Gandhi na Nyerere walianzishaje hayo mahusiano baina ya hizi nchi mbili?

Huenda labda alimaanisha kusema Jawaharlal Nehru na Julius Nyerere? Kama alimaanisha hivyo, sawa.

Hii ni constructive criticism.

Awe anafanya ‘homework’ yake vizuri maana hii si mara ya kwanza yeye kusema vitu visivyo sahihi kwenye medani za kimataifa.

Kuna wakati aliwahi kusema kuwa Kamala Harris ndo mwanamke wa kwanza Marekani kugombea moja ya nafasi za juu kabisa nchini humo, kana kwamba hajui chochote kuhusu Geraldine Ferraro.

Aache uvivu. Awe anajiandaa vizuri kwa kusoma kabla hajafungua mdomo wake na kuanza kusema mambo yasiyo sahihi.

Usije ukaitwa kujieleza, shauri yako.
Nyerere ilikuwa ni kipindi cha Djawaral Nehru labda alikuwa ana maanisha Indira Ghandhi?
Nadhani angesema kuwa Tanganyika na India tuliunganishwa na mwingereza akiwa mtawala wetu na alichukuwa wataalamu toka India kufanya kazi Tanganyika, hii ni sahihi zaidi.
 
Anzia dakika ya 9:25 mpaka 9:40.


View: https://www.youtube.com/live/PEzgcxu_A50?si=AFWVhAKOGy8b_VG7

Akiwa kwenye ikulu ya Rashtrapati Bhavan huko New Delhi, India, baada ya kukagua gwaride la heshima lililoandaliwa kwa ajili yake kwenye ziara yake nchini humo, Rais Samia alipewa wasaa wa kusema machache.

Katika machache hayo aliyoyasema, Rais Samia kasema kuwa eti mahusiano katika ya Tanzania na India yaliasisiwa na Mahatma Gandhi na Julius Nyerere!

Sidhani kama hilo ni kweli.

Gandhi alikufa mwaka 1948. Mwaka huo huo Nyerere alikuwa bado ni mwalimu huko Tabora.

Sasa Gandhi na Nyerere walianzishaje hayo mahusiano baina ya hizi nchi mbili?

Huenda labda alimaanisha kusema Jawaharlal Nehru na Julius Nyerere? Kama alimaanisha hivyo, sawa.

Hii ni constructive criticism.

Awe anafanya ‘homework’ yake vizuri maana hii si mara ya kwanza yeye kusema vitu visivyo sahihi kwenye medani za kimataifa.

Kuna wakati aliwahi kusema kuwa Kamala Harris ndo mwanamke wa kwanza Marekani kugombea moja ya nafasi za juu kabisa nchini humo, kana kwamba hajui chochote kuhusu Geraldine Ferraro.

Aache uvivu. Awe anajiandaa vizuri kwa kusoma kabla hajafungua mdomo wake na kuanza kusema mambo yasiyo sahihi.

Kakosea, ni Indira Ghandhi.

Mambo ya kawaida hayo, hata nwendazake alisema saddam ni rais wa Kuwait.

Hapo ndiyo mneliona kosa hilo?

Watanzania kweli ni mapoyoyo.

Wanasiasa maarufu wa India, wenye j8na Ghandhi ni zaidi ya wawili, hakuna kosa hapo. kuna Mahatma, kuna Indira kuna Rajiv, kuna Sonia na wengine wengi tu.
 
Anzia dakika ya 9:25 mpaka 9:40.


View: https://www.youtube.com/live/PEzgcxu_A50?si=AFWVhAKOGy8b_VG7

Akiwa kwenye ikulu ya Rashtrapati Bhavan huko New Delhi, India, baada ya kukagua gwaride la heshima lililoandaliwa kwa ajili yake kwenye ziara yake nchini humo, Rais Samia alipewa wasaa wa kusema machache.

Katika machache hayo aliyoyasema, Rais Samia kasema kuwa eti mahusiano katika ya Tanzania na India yaliasisiwa na Mahatma Gandhi na Julius Nyerere!

Sidhani kama hilo ni kweli.

Gandhi alikufa mwaka 1948. Mwaka huo huo Nyerere alikuwa bado ni mwalimu huko Tabora.

Sasa Gandhi na Nyerere walianzishaje hayo mahusiano baina ya hizi nchi mbili?

Huenda labda alimaanisha kusema Jawaharlal Nehru na Julius Nyerere? Kama alimaanisha hivyo, sawa.

Hii ni constructive criticism.

Awe anafanya ‘homework’ yake vizuri maana hii si mara ya kwanza yeye kusema vitu visivyo sahihi kwenye medani za kimataifa.

Kuna wakati aliwahi kusema kuwa Kamala Harris ndo mwanamke wa kwanza Marekani kugombea moja ya nafasi za juu kabisa nchini humo, kana kwamba hajui chochote kuhusu Geraldine Ferraro.

Aache uvivu. Awe anajiandaa vizuri kwa kusoma kabla hajafungua mdomo wake na kuanza kusema mambo yasiyo sahihi.



Kausha, hivi Mama akikosea si una clear throat kama watu hawajashtuka, Wahindi wenye hawaelewi kingereza chake.
 
Kakosea, ni Indira Ghandhi.

Mambo ya kawaida hayo, hata nwendazake alisema saddam ni rais wa Kuwait.
Na waziri yule akiwa Afrika Kusini kwenye mkutano alisema Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe.
 
Public speaking siyo nyepesi.

Ni kawaida tu hiyo.
Kiongozi ushindwe kuongea mbele ya watu! Yaani Shehe au Mchungaji ashindwe kuhubiri sawasawa! Labda bwana yule aliyeteuliwa kwa lazima wakati elimu yake haikidhi, matokeo akashindwa kusoma kiapo.
 
Mwenye ile video ya entrepreneur atuwekee tafadhali tujikumbushe kitu,

Aahahaahhhha mwisho akamalizia "hivyo hivyo tu"
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kiongozi ushindwe kuongea mbele ya watu! Yaani Shehe au Mchungaji ashindwe kuhubiri sawasawa! Labda bwana yule aliyeteuliwa kwa lazima wakati elimu yake haikidhi, matokeo akashindwa kusoma kiapo.
Kwani viongozi hawaendi chooni?
 
Back
Top Bottom