evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Maza hatulii ofisini hadi wanamchomekea marehemu kwenye teuzi zake ili adhalilike tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ni hatari sana inachekesha na kuhuzunisha at the same time.Nafikiri onyo nililotoa sasa ni dhahiri.
Mama anatembea duniani kama kaachiwa toka gerezani. Watu hawafanyi kazi sasa hadi ofisi za Ikulu zinajikanganya na kuteua marehemu.
So she remotely decided to apoint a dead person. I think if she were around that couldnt happenedOoh and you think she has to in Chamwino kuwa effective?
Na yote uliyosema can’t be done akiwa remote?
Wa wapi wewe?
Sizani kama huyu maza anafanya hayo hata akiwa ofisiniNa tunajua kila ngazi ya malipo ina kiwango,tunategemea kuna miradi mikubwa anatakiwa aidhinishe malipo hivyo ni lazima akae ofisini asome kuanzia mwanzo wa tender,washindani wa hiyo tyenda hadi kazi zilizokamilika na malipo yadayodaiwa.
With the digital world…. Kambi popoteIkulu unakaa kama unapenda kuumiza kichwa kufikiria changamoto mbalimbali na namna ya kuzitatua, kama kichwa chako chepesi bora utafute vijisafari ukatembee, huku ukiwaacha "watoto wa mjini" wafikirie utatuzi wa changamoto hizo.
Matokeo yake ndio tuko hapa, mafuta yanazidi kupanda bei kila siku, wakiulizwa, jibu lao ni lile lile vita ya Urusi na Ukraine, wafanyabiashara wakizidi kuneemeka at the expense of poor citizens of this country, huku Rais na Waziri husika nao kila siku wanakuja na majibu tofauti.
Matokeo ya uswahili kuendekezwa.Mkuu ni hatari sana inachekesha na kuhuzunisha at the same time.
Nchi inaonekana kama haina uongozi
Akili ya ajabu kabisa.. hivi kila mtu akiiba tutaishia wapi?Sasa kila mtu akiwa anaijbia serikali, si nchi itaanguka? Pia kumbuka ww unaweza kutumia loophole kupiga, vipi wale wasiokua na hiyo loophole na ndio majority ya watanzania.
Serikali ifnaye kazi yake kuletea Maendeleo wananchi na sio kusema watu wapige kwenye loophole
Kazi gani ? Swali la kwanza.Hili ni suala nimekuwa nikijiuliza kitambo sasa.
Mama is on the move daily.
Sisi tunaomtakia heri tunaona kuna kasoro.
Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule.
Kweli ni mambo ya Kitaifa lakini turudi nyuma kidogo,hata Mwalimu aliwahi kusema, kazi ya Urais na ofisi ya Ikulu ni mzigo.
Kutokana na madaraka makubwa ya Rais yanayohitaji maamuzi almost daily, basi Rais asipokuwepo ofisini ni lazima kuna mtu anafanya hiyo kazi kwa niaba.
Tunajua Urais ni taasisi lakini thinking through, kuoanisha na kusimamia sera na maamuzi hapo panahitaji concentration.
Tulia kidogo mama.
Ficha upumbavu wako. Kazi za Rais siyo kufanya tours na watu.Akae ikulu kwani yeye Tausi? hizi ndio shughuli za Rais kama ulikua hujui, maswala ya uendeshaji wa shughuli za kila siku zinafanywa na serikali ambayo ina mawaziri. Magufuli alikua hasafiri kwaajili aliogopa kupanda ndege akihofia ile pace maker yake kwenye moyo lasivyo kila siku angekua kwenye ndege.
Yaani kazi za Rais?Kazi gani ? Swali la kwanza.
ni mpaka azifahamu sasa. usidhani kila mtu anajua kuwa akiwa Rais anakuwa na kazi. mwingine anajua kazi yake ni kutembelea nchi tu.Yaani kazi za Rais?
Nyanda za juu kusini hatugawi kura Kwa kina Fulani, labda waibe.Naunga mkono hoja. Ni wakati sasa Rais Samia atembelee mikoa ya Nyanda za Juu yaani Iringa, Njombe, Ruvuma, Mbeya, Songwe na Rukwa.
Kudanganyika kuwa kura za urais zinaamuliwa na Kanda ya Ziwa ambako ametembelea zaidi ya mara 7 toka aapishwe kuwa Rais kutampotezea kura mikoa hii muhimu kwenye uchumi wa Tanzania
Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule.
Kweli ni mambo ya Kitaifa lakini turudi nyuma kidogo,hata Mwalimu aliwahi kusema, kazi ya Urais na ofisi ya Ikulu ni mzigo.
Tulia kidogo mama.
Kwa mlolongo wa mada hii nikiri sijakuelewa bado!ani mpaka azifahamu sasa. usidhani kila mtu anajua kuwa akiwa Rais anakuwa na kazi. mwingine anajua kazi yake ni kutembelea nchi tu.
Inatafakarisha sana sana!!!Ikulu unakaa kama unapenda kuumiza kichwa kufikiria changamoto mbalimbali na namna ya kuzitatua, kama kichwa chako chepesi bora utafute vijisafari ukatembee, huku ukiwaacha "watoto wa mjini" wafikirie utatuzi wa changamoto hizo.
Matokeo yake ndio tuko hapa, mafuta yanazidi kupanda bei kila siku, wakiulizwa, jibu lao ni lile lile vita ya Urusi na Ukraine, wafanyabiashara wakizidi kuneemeka at the expense of poor citizens of this country, huku Rais na Waziri husika nao kila siku wanakuja na majibu tofauti.
Na hivi weshamjua anachopenda, Watamuandalia PHD katika majimbo sita Ili atuuze na sisi!!Kama Marekani alikaa Siku 14 huku Uingereza atakaa Siku 28 na akienda China anakosubiriwa kwa Hamu kutokana na Urafiki mkubwa na wa Kihistoria wa hizi nchi Mbili kuna uwezekano akakaa huko hata Miezi Mitatu mpaka Sita.