Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,251
- 22,929
How.Tofauti na JPM, huyu mama anaonekana anaitumia vizuri elimu yake aliyoipata hata kama si kubwa kivile!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How.Tofauti na JPM, huyu mama anaonekana anaitumia vizuri elimu yake aliyoipata hata kama si kubwa kivile!
Kuna nchi ambayo waliacha kufa baada ya kuchanjwa? Mke wa Bill gate alidai mei 2020 alisema tungeokota maiti barabarani wao ndo imewashughulikia,na wewe kama unatamani ya India yaje Tanzania,itakushughulikia peke yako ufutike juu ya uso wa nchi.Mh Rais Samia haya yaliyowakuta wahindi India yanatokana na misemo hii hii ya wataalam wanaangalia,wanaangalia.Waziri mkuu alinukuliwa akisema miezi michache iloyopita kuwa nchi yake bado inaliangalia suala hilo.Sasa yamemkuta Mamia kwa Mamia ya wahindi wanateketea.Jamani Mh Rais ugonjwa huu haukupi taarifa.TUSIJE KUATHIRIKA KAMA WENZETU.DUNIA YA LEO KIJIJI.MH RAIS AMUA TU.
Kwani mask ni tatizo?recommendations za wizara yetu ya afya ni pamoja na kuvaa mask iwapo utaona eneo lina risk ya coronaHuyu mama hasomeki, anaaa mask na wasaidizi wake wa karibu alafu kwenye sala wamejazana bila mask...
Mh Rais Samia haya yaliyowakuta wahindi India yanatokana na misemo hii hii ya wataalam wanaangalia,wanaangalia.Waziri mkuu alinukuliwa akisema miezi michache iloyopita kuwa nchi yake bado inaliangalia suala hilo.Sasa yamemkuta Mamia kwa Mamia ya wahindi wanateketea.Jamani Mh Rais ugonjwa huu haukupi taarifa.TUSIJE KUATHIRIKA KAMA WENZETU.DUNIA YA LEO KIJIJI.MH RAIS AMUA TU.
Mkuu sijui kama umefanyia utafiti wa kutosha ulichokiandika.Nadhani umeamini mainstream media wanayosema kuhusu Corona.It is all fake news.Get uncompromized,hard science and independent information with regards to C-19 from here👇.Achana na udaku wa mtaani.Sawa Mkuu Tuzidi Kumuomba MUNGU
Nimeandika Meeengi nimefuta sababu Pressure ya Hili jambo ni Kubwa sana!toka Nje au ndani?Sijui?
Mwisho Nimemuweka Tuu MUNGU atusaidie mimi sijui chochote
Ila Tuanze na Viongozi itakuwa Vema sanaa Umri Kuanzia 50yrs kuendelea.Kama Nchi za Wenzetu wanavyofanya
This is the right decision.Hiyo yote ni kuogopa kufa? Masikini Mwanadamu Hana tumaini lingine zaidi ya Yesu pekee.
Anyway binafsi sichanji iwe kwa hiari au sio Hiari. Kama kutokwenda nje ya Nchi basi sitoenda maisha yangu yote ya duniani
Mkuu sijui kama umefanyia utafiti wa kutosha ulichokiandika.Nadhani umeamini mainstream media wanayosema kuhusu Corona.It is all fake news.Get uncompromized,hard science and independent information with regards to C-19 from here[emoji116].Achana na udaku wa mtaani.
Let me get this straight about the COVID-19 vaccine
COMMISSION TO EXPOSE EVIL So do not be afraid of them, for there is nothing concealed that will not be disclosed or hidden that will not be made known. What I tell you in the dark, speak in the daylight; what is whispered in your ear, proclaim from the roofs. Do not be afraid of those who kill...www.jamiiforums.com
It’s called the eye test!Unajuaje wakati hatuna takwimu? Na hata India walikuwa wanatamba juzi tu kuwa wameushinda.
Amandla...
Sasa Lissu anaingiaje hapa 🤣🤣🤣, hakyani yaan ukipinga jambo la MATAGA humu unaonekana CDM. Mimi nachapa kotekote nikiona upotoshaji, nakushughulikia hakuna cha CDM wala CCM.Mimi niko vizuri sana aje nani mimi nimwendo wakula bata tu mpaka Mungu anichukue. Usifikiri mimi ni kama hao kula kulala wenzako. Hata akija Rais wa Mashoga Lissu mimi nitakuwa nakula bata tu mkuu!!
Mbowe mchaga yule, anaweza kuwa ameshapata tenda ya kusuply tayari.Kauli hiyo ni pigo kwa mpiga debe wa chanjo Mbowe
Don't trust politicians so easily akiweka kitu kingine rather than hyo shot utajua?? chamuhimu Kama unaona inafaa use it not because president katumia otherwise don't try.Na kuamini iwe kama unafunguliwa mtihani wa NECTA. Tuonyeshwe seal zote ndo tutaamini kadungwa yenyewe.
Hivi kuchanja lazima na unamamlaka gani yakumwambia mtu ahame nchi kisa anamawazo tofauti na yako?Wee ni pro mwendazake hatushangai [emoji1787][emoji1787][emoji1787], na sio lazima unaweza hama hata nchi kama vp hamia Madagascar. OVER!!
You are mad[emoji23][emoji23]yaani ukiwa unamagonjwa sugu ndyo utumie chanjo ya korona kwamawazo haya kweli wewe Ni walking dead!!Wewe kama hutaki chanjo tulia ... wengine wanahitaji sababu either wanamagonjwa sugu ama ni wazeee....
Huu ugonjwa sio wa kubezwa especially kama una tatizo la kiafya ama una umri mkubwa .
Kaa kimya mzee
Zero brainTofauti na JPM, huyu mama anaonekana anaitumia vizuri elimu yake aliyoipata hata kama si kubwa kivile!
We genge gan mamanyie ni genge gani?
If that is the case kwenda nje tutabakia Tz ilimradi wasituharubie nchi yetu there is complete enough life in TzThis is the right decision.