Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nzee ya chattle nini ulalalama,familia Yako nayo imekutwamo,au mifugo wako wameondolewa kwenye malisho 🤔Kuwahamisha wamasai toka ardhi yao ya kurithi inaweza kuwa amri rahisi kabisa uliyowahi kuitoa ila jambo hili limeumiza wengi na litakuhusu kwa kipindi chako chote.
Napenda nikuambie kwamba hili hukufanya sawa.
Umekosea.
Kibaya zaidi ardhi hiyo anakwenda kupewa Mwarabu 🇴🇲 🇦🇪Kuwahamisha wamasai toka ardhi yao ya kurithi inaweza kuwa amri rahisi kabisa uliyowahi kuitoa ila jambo hili limeumiza wengi na litakuhusu kwa kipindi chako chote.
Napenda nikuambie kwamba hili hukufanya sawa.
Umekosea.
Tupe ushahidi wa huyo mwarabu anayepewAKibaya zaidi ardhi hiyo anakwenda kupewa Mwarabu 🇴🇲 🇦🇪
Additional, The grounds of review may be the discovery of new and important matter or evidence, some apparent mistake or error on the face of the record or any other sufficient reason.In other words, judicial reviews are a challenge to the way in which a decision has been made, rather than the rights and wrongs of the conclusion reached.
Wamasai waliopo Chalinze, Pwani, Mtwara, Lindi na Morogoro hawana ardhi ya mababu? Mbona wanaishi huko bila shida kabisaKuwahamisha wamasai toka ardhi yao ya kurithi inaweza kuwa amri rahisi kabisa uliyowahi kuitoa ila jambo hili limeumiza wengi na litakuhusu kwa kipindi chako chote.
Napenda nikuambie kwamba hili hukufanya sawa.
Umekosea.
huyu msukule wa marehemu wa ndugu zake Nyankurungu2020 Crimea Suzy Elias wana masonono sana na SamiaNzee ya chattle nini ulalalama,familia Yako nayo imekutwamo,au mifugo wako wameondolewa kwenye malisho 🤔
My friend you have a very low IQ,Wamasai waliopo Chalinze, Pwani, Mtwara, Lindi na Morogoro hawana ardhi ya mababu? Mbona wanaishi huko bila shida kabisa
Wewe kinakuuma nini mmasai kupewa nyumba, na ekari 3 na hati juu?
Au unachukia namna Samia anavyofanya mambo kiweledi?
Endelea kulia tu hapo kabulini Chato! Tunakujua na chuki zako dhidi ya Samia sukuma gang wewe
Tunakujua sukuma gang! HutusumbuiMy friend you have a very low IQ,
Can't argue with you.
Wakati nilikua nampigania Magufuli awe Rais nilifanya hivyo kwa Samia pia.
Wewe hukuwepo.
You are just a plastic fan.
So you better shut your mouth.
Si mlikuwa mnajiita wanaume mara Mwamba mara Jiwe lakini mukashindwa kulinda rasilimali za Nchi..Kuwahamisha wamasai toka ardhi yao ya kurithi inaweza kuwa amri rahisi kabisa uliyowahi kuitoa ila jambo hili limeumiza wengi na litakuhusu kwa kipindi chako chote.
Napenda nikuambie kwamba hili hukufanya sawa.
Umekosea.
Vipi kaburi linaendeleaje hapo Chato?Akistaafu atakuja na ngojera za kujutia na kuhisi alipotoshwa wakati ana nafasi ya kurekebisha sasa.
Vitabu vyetu viko very strict na suala la kuonea watu, aiseh namuona uyu Mama kafumba jicho moja kujifanya haoni lkn jicho jingine linamsuta.Vitabu vyao huwa vinajieleza.
Mtu ahame kutafuta riziki kwa hiari yake. Sio kwa nguvu ya wakora ili wapige madili yaoWamasai waliopo Chalinze, Pwani, Mtwara, Lindi na Morogoro hawana ardhi ya mababu? Mbona wanaishi huko bila shida kabisa
Wewe kinakuuma nini mmasai kupewa nyumba, na ekari 3 na hati juu?
Au unachukia namna Samia anavyofanya mambo kiweledi?
Endelea kulia tu hapo kabulini Chato! Tunakujua na chuki zako dhidi ya Samia sukuma gang wewe
Kwa sababu mlizoea kuishi kwa madili ya kutesa watu mnadhani mambo yanayofanywa kwa maslahi mapana ya Taifa yanafanana na ufedhuli wenuMtu ahame kutafuta riziki kwa hiari yake. Sio kwa nguvu ya wakora ili wapige madili yao
Fanyeni kazi nyie sukuma gang, siyo mnakaa kulia lia tu. Jiwe alibomoa nyumba za watu wa kimara na wala hatukuona mkilia lia humu sasa iweje sasa hivi mnalia lia sanaKuwahamisha wamasai toka ardhi yao ya kurithi inaweza kuwa amri rahisi kabisa uliyowahi kuitoa ila jambo hili limeumiza wengi na litakuhusu kwa kipindi chako chote.
Napenda nikuambie kwamba hili hukufanya sawa.
Umekosea.
NakupuuzaKwa sababu mlizoea kuishi kwa madili ya kutesa watu mnadhani mambo yanayofanywa kwa maslahi mapana ya Taifa yanafanana na ufedhuli wenu