Rais Samia this will haunt you for the rest of your life

Rais Samia this will haunt you for the rest of your life

Basi kama sis tulivumilia kwanini na wao wasivumilie wakati tunaleta maendelea ya kitaifa kama wao walivyosema enzi zao? Kikubwa kila mtu ashinde mechi zake
Tatizo ni nyinyi wenye 'magang' yenu mnaposahau kuwa kuna wengi wasiokubaliana na ma'gang' yenu juu ya mstakabali wa nchi hii.
 
So wale wa kimara ilikuwa ni maslai ya kitaifa na waliyaunga mkono hao walio vunjiwa nyumba?
Mkuu 'Allency', naona nitaishiwa na uvumilivu, kwa sababu katika mada hii hii nimekwishalielezea hili. Kimara na Ngorongoro usiyachanganye chungu kimoja, hata kama watu wa kimara ninakubali hawakutendewa haki.
 
Back
Top Bottom