Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
🙌
Tanzania haikujitangaza kuingia uchumi wa kati. World Bank kwa kutumia vigezo vyao walitutangaza. Sasa kama World Bank wanaona tumeboronga kiuchumi wakatuondoa kwenye hiyo hadhi ni pathetic.