Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

Omusolopagasi una akiri ndogo sana na hapa simaanishi za darasani, namaanisha una akiri ndogo za kuzaliwa.

Kama kweli wewe ni mtanzania wa maisha ya kati na kushuka chini utakuwa hujitambui kama hauwezi kuona tofauti ya kipato iliyopo leo mtaani kati ya JPM na huyu mfunga vilemba. Uswahilini sahivi kuna watu wanatamani hata kujinyonga kisa maisha kuwa magumu.

Hauwezi ukahujumu wazalishaji wa chini alafu ukauona uchumi wako ukikua, uchumi uliopo sahivi ni ule ule uliokuwepo enzi za JK wa kumilikiwa na watu wachache huku mass(common people) wakisota mtaani.

Magufuli alikuwa kichwa sana kuwahi kuongoza nchi, world bank wameleta shida na hawataki mama kuifungua nchi tena R.I.P JPM
Alipoingia magufuli raia walishindwa kulipa ada na hata wengine kusitisha mipango ya kuwapeleka shule za kulipia kwa sababu maisha yalikuwa magumu Hadi watu walikuwa wakitumia msemo VYUMA VIMEKAZA !
 
Uongo una mwisho wake. Yule mkuu wa waongo alipoondoka ghafla 17 March 2021, mambo yote yakawa hadharani. Ni vigumu kuongopa siku zote na usigundulike. Unaweza fanikiwa kwa kipindi kifupi tu. Na ndicho kilichotokea.
Hujielewi wewe kwani Tanzania kufika uchumi wa Kati alijisemea tu Rais au walisema World Bank jifunze kufuatia jambo kabla ya kuropoka .
 
Alipoingia magufuli raia walishindwa kulipa ada na hata wengine kusitisha mipango ya kuwapeleka shule za kulipia kwa sababu maisha yalikuwa magumu Hadi watu walikuwa wakitumia msemo VYUMA VIMEKAZA !
Raia wezi na wanyonyaji ndo waliumia kisa ngome zao ziliguswa
 
Unless unajua kinachoitwa growth at decreasing rate,pili kilele cha kuanguka uchumi kilikuwa kuanzia 2020 hadi mwanzo wa 2021 ..

Sisi tulio jikoni ndio tunakueleza hutakai Bakia na unachokiamini..

By the way Mei ya mwaka Jana Rais alisema hili la uchumi kuanguka ila hamkuelewa leo karudia tuu.
Mkuu Ila huo mwaka 2020 ndio tuliingia huo uchumi wa kati
 
Uongo una mwisho wake. Yule mkuu wa waongo alipoondoka ghafla 17 March 2021, mambo yote yakawa hadharani. Ni vigumu kuongopa siku zote na usigundulike. Unaweza fanikiwa kwa kipindi kifupi tu. Na ndicho kilichotokea.
acha chuki za kipumbavu wewe. kwani alietangaza tumeingia uchumi wa kati ni yeye? au mashirika ya fedha duniani? sasa uongo wake unatokea wapi? kwahiyo kama ni waongo basi itakua ni Benki ya Dunia waliotutangaza tumeingia uchumi wa kati. Chuki isikufanye kuwa mpumbavu
 
Ulidanganywa kuwa uchumi wako umekuwa na yule kichaa. Na wewe kwa akili yako, ukapiga makofi.. pwa, pwa, pwa... wakati ukweli ni kuwa kipato chako bado kiko pale pale.

Unafikiri World Bank wanatoa wapi takwimu zao. Wanatumia takwimu zinazotoka hapa hapa Tanzania. Takwimu hazitoki makao makuu ya World Bank Marekani.

Yule kichaa IMF walimwambia kuwa takwimu zake ni feki. Akakasirika na kuwazuia IMF kuchapisha takwimu zao zilzoonyesha kuwa uchumi unakuwa kwa kiwango kidogo.
Kwa hiyo Rais anawaambia World Bank sasa tumefika uchumi wa Kati na wao wanatangaza kwamba Sasa Tanzania imefika uchumi wa Kati na Kesho Rais akiamka na kuwaambia World Bank kwamba nahisi Tanzania tumeshuka uchumi na wao wanatangaza kwa hiyo Hao watafiti wa World Bank wanafanya kazi gani wewe unafikili World Bank ni wapumbafu kama wewe pua pua pua
 
Unless unajua kinachoitwa growth at decreasing rate,pili kilele cha kuanguka uchumi kilikuwa kuanzia 2020 hadi mwanzo wa 2021 ..

Sisi tulio jikoni ndio tunakueleza hutakai Bakia na unachokiamini..

By the way Mei ya mwaka Jana Rais alisema hili la uchumi kuanguka ila hamkuelewa leo karudia tuu.
Hujui lolote eti uko jikoni!! Yaani uko jikoni lakini ni mweupe kiasi hiki!! You are jokking you fck!!
 
Ujinga huo ulio nao ndio Magufuli alikuwa anautegemea sana kutawala aliowaita wanyonge. Hata haujui kuwa IMF walipotaka kutoa takwimu halisi za ukuaji wa uchumi wetu, Magufuli aligombana nao. Kama siyo ujinga huo ni nini??
Toa ushahidi hapa au na wewe ni member wa IMF
 
Kwa hiyo Rais anawaambia World Bank sasa tumefika uchumi wa Kati na wao wanatangaza kwamba Sasa Tanzania imefika uchumi wa Kati na Kesho Rais akiamka na kuwaambia World Bank kwamba nahisi Tanzania tumeshuka uchumi na wao wanatangaza kwa hiyo Hao watafiti wa World Bank wanafanya kazi gani wewe unafikili World Bank ni wapumbafu kama wewe pua pua pua
Mkuu achana ya huyo bwege anakupotezea muda wako bure tu!
 
Kurudi tena labda kama Putin atadhibitiwa mapema.

Vinginevyo tutapangia foleni hadi bidhaa muhimu!
Hamkosi kisingizio, sasa kisingizio chenu ni vita ya Putin na sio uzembe wa uongozi wenu! Kitu gani kinazuia kulima ngano ya kutosha nchini badala ya kuagiza toka Ukraine? Kama sio ubovu wa sera ni nini?

Kwa uongozi wa mjomba wa Msoga kufika uchumi wa kati tena ni ndoto za Ali Nacha!
 
Hamkosi kisingizio, sasa kisingizio chenu ni vita ya Putin na sio uzembe wa uongozi wenu! Kitu gani kinazuia kulima ngano ya kutosha nchini badala ya kuagiza toka Ukraine? Kama sio ubovu wa sera ni nini?
💯. Correct
 
Back
Top Bottom