Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

Mwenye uchumi wake mnamsimanga kila siku ,kaona isiwe tabu ngoja niondoke nao.
Haya sasa mama amekiri kuwa uchumi ule wa kati umeporomoka?
Je bado kuna shaka na uwezo wa utendaji wa JPM?
Magu alitudanganya. Tz haijawahi kuingia uchumi wa kati.
 
Ulidanganywa kuwa uchumi wako umekuwa na yule kichaa. Na wewe kwa akili yako, ukapiga makofi.. pwa, pwa, pwa... wakati ukweli ni kuwa kipato chako bado kiko pale pale.

Unafikiri World Bank wanatoa wapi takwimu zao. Wanatumia takwimu zinazotoka hapa hapa Tanzania. Takwimu hazitoki makao makuu ya World Bank Marekani.

Yule kichaa IMF walimwambia kuwa takwimu zake ni feki. Akakasirika na kuwazuia IMF kuchapisha takwimu zao zilzoonyesha kuwa uchumi unakuwa kwa kiwango kidogo.
Pumbavu wewe!!


What an embicile!!
 
Ila mkuu Mara nyingi mnatuwekea post kuwa mama anaduwaza wachumi kwa jinsi uchumi unavyokua, lakini kumbe Hali ni tofauti
Hali ni tofauti kiaje? Do you have a proper functioning mind?

Ilichukua miaka 59 kufika uchumi wa Kati wa chini , Mwendazake akaharibu then unataka mwaka 1 irudi ilikokuwa,una akili sawasawa lakini?

Kubomoa ni simple kujenga je?
 
Hali ni tofauti kiaje? Do you have a proper functioning mind?

Ilichukua miaka 59 kufika uchumi wa Kati wa chini , Mwendazake akaharibu then unataka mwaka 1 irudi ilikokuwa,una akili sawasawa lakini?

Kubomoa ni simple kujenga je?
Mm nimekujibu in a polite language wewe umekuja kunishambulia, sio poa.
Mm nachosema nyie hapa kila Mara mmesema Sasa hivi kiuchumi tupo vizuri na mama anaduwaza wachumi. Sasa hivi unasema tena haiwezi kuchukua muda mfupi kurudisha uchumi sawa. Sasa tushike lipi? Uchumi upo vizuri au bado?
 
Mwenye uchumi wake mnamsimanga kila siku ,kaona isiwe tabu ngoja niondoke nao.
Haya sasa mama amekiri kuwa uchumi ule wa kati umeporomoka?
Je bado kuna shaka na uwezo wa utendaji wa JPM?
Wewe kwa akili yako kama kisoda JPM wako ndio aliifikisha Tzn kwenye uchumi wa Kati?

Mwendazake ndio aliharibu uchumi hadi Tzn ikaporomoshwa na kurejeshwa ilikokuwa..

Chini ya Mwendazake idadi ya maskini iliongezeka Sana na kilele cha kuanguka kwa uchumi ilikuwa 2020..

Sasa ndio unaona Kazi za kujenga upya zinaendelea na kujenga Uchumi sio swala jepesi kama kujitwisha tishu kichwani.
 
View attachment 2176513

“Tanzania yetu ilikwenda tukafika uchumi wa kati tukarudishwa, kwa uwezo wa Mungu wala si uwezo wa mtu, sasa hivi kazi yetu ni kupambana kurudi tulikokuwa tusije tukarudishwa tukaambiwa hamfai tena kukaa hapa, tupambane turudi kule.

“Na kwa mipango na jinsi ninavyoiendesha Serikali nina imani tutakapofika 2025 kama hatujafika tutakuwa tunakaribia, kwa sababu tunatarajia mwaka ujao tutakwenda kukua kwenye asilimia 5 na pointi, miaka miwili inayokuja tutakwenda kufika kwenye 6.8 tuliyokuwa kabla,” Rais Samia Suluhu Hassan.

Amesema hayo leo Aprili 5, Dodoma katika Mkutano wa Kitaifa wa Maridhiano, Haki na Amani ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) katika Ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma.
Hapo ndio sielewi.
Tulifika fikaje huko uchumi wa kati.
Makodi mengi
Akaunti zinazuiwa na TRA
Wawekezaji wanasepa
Maduka yanafungwa na kuna viwanda vikasitisha biashara.

JK alipokuwa anaondoka madarakani 2015, ukuaji wa uchumi ulikuwa 7.1%
Sasa 2020 ulishuka hadi around 4.8%.
Ni hiyo miaka mitano ndiyo tuliyokuwa uchumi wa kati?
 
Mm nimekujibu in a polite language wewe umekuja kunishambulia, sio poa.
Mm nachosema nyie hapa kila Mara mmesema Sasa hivi kiuchumi tupo vizuri na mama anaduwaza wachumi. Sasa hivi unasema tena haiwezi kuchukua muda mfupi kurudisha uchumi sawa. Sasa tushike lipi? Uchumi upo vizuri au bado?
Technically tuko vizuri kuliko ilivyokuwa miaka 6 iliyopita..

Muulize yeye to kuanzia mfanyabiashara,fundi kujenga hadi mtu wa ofisini utapata majibu..

Kudhihirisha hilo Bunge hili la bajeti salary zinaenda kuleee ☝️☝️☝️
 
Technically tuko vizuri kuliko ilivyokuwa miaka 6 iliyopita..

Muulize yeye to kuanzia mfanyabiashara,fundi kujenga hadi mtu wa ofisini utapata majibu..

Kudhihirisha hilo Bunge hili la bajeti salary zinaenda kuleee [emoji3516][emoji3516][emoji3516]
Mkuu kwa hiyo sasa hivi kiuchumi tupo vizuri?
 
Back
Top Bottom