Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

Na kibaya zaidi wameenda mbali na kumdanganya eti kama vipi aachane na miradi ya mwamba ili isionekane anambeba mwamba. Na ishu ya pili ni mizengwe ilimradi miradi ya JPM ichelewe kuisha wasijue kwamba kuendelea kuchelewa kuisha ni sawa na kukata tawi ulilolikalia. Ile miradi aliyoiacha yote ilitakiwa iwe imeisha hadi mwaka jana ukiondoa daraja la Busisi linalotakiwa kuisha 2024. Lakini Leo tunavyoongea reli bado haijaanza kutumika na imechelewa kama miezi 6 hivi, meli haijaisha ujenzi kule Mwanza na haijulikani iko wapi, umeme wa bwawa la Nyerere umechelewa kama miezi 3 hadi sahivi.

Hii miradi yote tayari inaanza kuleta loss hata kabla ya kuanza na suala hapa ni mda wa mikataba na return ya faida ya mradi kama ingekuwa imeanza, hizi hasara ndo shida na kama taifa tayari tunaenda kuanza kuitumia miradi hii tukiwa na net loss

Hongera mama kwa kuupiga mwingi
 
View attachment 2176513

“Tanzania yetu ilikwenda tukafika uchumi wa kati tukarudishwa, kwa uwezo wa Mungu wala si uwezo wa mtu, sasa hivi kazi yetu ni kupambana kurudi tulikokuwa tusije tukarudishwa tukaambiwa hamfai tena kukaa hapa, tupambane turudi kule.

“Na kwa mipango na jinsi ninavyoiendesha Serikali nina imani tutakapofika 2025 kama hatujafika tutakuwa tunakaribia, kwa sababu tunatarajia mwaka ujao tutakwenda kukua kwenye asilimia 5 na pointi, miaka miwili inayokuja tutakwenda kufika kwenye 6.8 tuliyokuwa kabla,” Rais Samia Suluhu Hassan.

Amesema hayo leo Aprili 5, Dodoma katika Mkutano wa Kitaifa wa Maridhiano, Haki na Amani ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) katika Ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma.
Huyu mama asimsingizie Mungu, yaani afanye uzembe yeye hlf amsingizie Mungu.
 
Rais Samia wakati akihutubi kwenye kongamano la vyama vya siasa TCD jijini Dodoma amesema Tanzania imeshaondolewa kwenye orodha ya nchi zenye hadhi ya uchumi wa kati na sasa anapambana ndani ya miaka miwili ijayo yani mpaka 2024 iwe imesharudishwa tena kwenye orodha ya nchi za uchumi wa kati.
Ikumbukwe mwaka 2019 bank ya dunia iliitangaza Tanzania kuwa imeingia kwenye orodha ya nchi zenye uchumi wa kati na uchumi wake ulikuwa unakuwa kwa kasi ya 7%




Mbona mpaka leo bado tuko kwenye lower middle. Angalia website ya World Bank hapa chini.

 
Na kibaya zaidi wameenda mbali na kumdanganya eti kama vipi aachane na miradi ya mwamba ili isionekane anambeba mwamba. Na ishu ya pili ni mizengwe ilimradi miradi ya JPM ichelewe kuisha wasijue kwamba kuendelea kuchelewa kuisha ni sawa na kukata tawi ulilolikalia. Ile miradi aliyoiacha yote ilitakiwa iwe imeisha hadi mwaka jana ukiondoa daraja la Busisi linalotakiwa kuisha 2024. Lakini Leo tunavyoongea reli bado haijaanza kutumika na imechelewa kama miezi 6 hivi, meli haijaisha ujenzi kule Mwanza na haijulikani iko wapi, umeme wa bwawa la Nyerere umechelewa kama miezi 3 hadi sahivi.

Hii miradi yote tayari inaanza kuleta loss hata kabla ya kuanza na suala hapa ni mda wa mikataba na return ya faida ya mradi kama ingekuwa imeanza, hizi hasara ndo shida na kama taifa tayari tunaenda kuanza kuitumia miradi hii tukiwa na net loss

Hongera mama kwa kuupiga mwingi
Nadhani hawamsaidii but they exploit her
 
Ulidanganywa kuwa uchumi wako umekuwa na yule kichaa. Na wewe kwa akili yako, ukapiga makofi.. pwa, pwa, pwa... wakati ukweli ni kuwa kipato chako bado kiko pale pale. Unafikiri World Bank wanatoa wapi takwimu zao. Wanatumia takwimu zinazotoka hapa hapa Tanzania. Takwimu hazitoki makao makuu ya World Bank Marekani. Yule kichaa IMF walimwambia kuwa takwimu zake ni feki. Akakasirika na kuwazuia IMF kuchapisha takwimu zao zilzoonyesha kuwa uchumi unakuwa kwa kiwango kidogo.
punguza chuki wakiume wewe kama ulikuwa na vyeti feki au mzeee wako ni haki kumchukia
 
Ujinga huo ulio nao ndio Magufuli alikuwa anautegemea sana kutawala aliowaita wanyonge. Hata haujui kuwa IMF walipotaka kutoa takwimu halisi za ukuaji wa uchumi wetu, Magufuli aligombana nao. Kama siyo ujinga huo ni nini??
Acha uongo kama hujui kaa kimya. Angalia website ya World Bank hapa chini.

 
Umesema kweli hapo juu, Ila kuhusu kuondoka kwenye ndio mkuu hapo umekosea ndio kwanza mizizi inajikita.
Juzi tu Simba imeshinda waziri anasema ni jitihada za raisi

Aha qmmkkkk hawa watu kila kitu rayis kila kitu raisiii maaahhhfuckaaasss hii nchi ishakua ya kingeselee sana. Kusifia sifia vitu vya kifarasi kabisaa
 
Mkuu mama Samia ana confuse, Tz bado haijaondolewa uchumi wa Kati wa chini. Yeye anachopaswa kufanya ni huo uchumi wa Kati wa chini ureflect uhalisia uliopo mtaani. Maana hakuna kabisa uhalisia
Angalia when was your source updated.

Raisi anaongelea current development kutoka WD, sometimes kuna delay ya mwezi mmoja mpaka mitatu.

So sio anajiongelea ndio kilichopo hizo ni hatua za awali kwenye kupunguziwa kasi ya kukopa, next move from donors ni SAP’s.

Ndio utakuwa mwisho wa hadithi zao TRA wameongeza makusanyo ya kodi.
 
Angalia when was your sources updated.

Raisi anaongelea current development kutoka WD, sometimes kuna delay ya mwezi mmoja mpaka mitatu.

So sio anajiongelea ndio kilichopo hizo ni hatua za awali kwenye kupunguziwa kasi ya kukopa, next move SAP’s.
 
View attachment 2176513

“Tanzania yetu ilikwenda tukafika uchumi wa kati tukarudishwa, kwa uwezo wa Mungu wala si uwezo wa mtu, sasa hivi kazi yetu ni kupambana kurudi tulikokuwa tusije tukarudishwa tukaambiwa hamfai tena kukaa hapa, tupambane turudi kule.

“Na kwa mipango na jinsi ninavyoiendesha Serikali nina imani tutakapofika 2025 kama hatujafika tutakuwa tunakaribia, kwa sababu tunatarajia mwaka ujao tutakwenda kukua kwenye asilimia 5 na pointi, miaka miwili inayokuja tutakwenda kufika kwenye 6.8 tuliyokuwa kabla,” Rais Samia Suluhu Hassan.

Amesema hayo leo Aprili 5, Dodoma katika Mkutano wa Kitaifa wa Maridhiano, Haki na Amani ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) katika Ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma.
OMBEN SANA MWANAMKE ASIWE MNAFIKI ALAFU AWE HANA AKILI.

Yaan Tulifika uchumi wa Kati Kwa uwezo wa Mungu.


Timeshushwa Kwa uwezo wa Mungu.


Hiii yote anajifanya hajui Mchango wa JPM?
 
View attachment 2176513

“Tanzania yetu ilikwenda tukafika uchumi wa kati tukarudishwa, kwa uwezo wa Mungu wala si uwezo wa mtu, sasa hivi kazi yetu ni kupambana kurudi tulikokuwa tusije tukarudishwa tukaambiwa hamfai tena kukaa hapa, tupambane turudi kule.

“Na kwa mipango na jinsi ninavyoiendesha Serikali nina imani tutakapofika 2025 kama hatujafika tutakuwa tunakaribia, kwa sababu tunatarajia mwaka ujao tutakwenda kukua kwenye asilimia 5 na pointi, miaka miwili inayokuja tutakwenda kufika kwenye 6.8 tuliyokuwa kabla,” Rais Samia Suluhu Hassan.

Amesema hayo leo Aprili 5, Dodoma katika Mkutano wa Kitaifa wa Maridhiano, Haki na Amani ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) katika Ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma.
Nikiwaambia Mwendazake aliua uchumi hamuelewi.

Ukweli ni kwamba hakuna kitu cha kuzalisha alifanya Mwendazake,miradi yote aliyoianzisha hakuna uliomalizika na uwekezaji na biashara ndio zilijifia kama hazina mwenyewe.
 
Angalia when was your source updated.

Raisi anaongelea current development kutoka WD, sometimes kuna delay ya mwezi mmoja mpaka mitatu.

So sio anajiongelea ndio kilichopo hizo ni hatua za awali kwenye kupunguziwa kasi ya kukopa, next move from donors ni SAP’s.

Ndio utakuwa mwisho wa hadithi zao TRA wameongeza makusanyo ya kodi.
Lakini kwa Sasa status inabaki hivyo, mpaka statement ya world bank itoke
 
Angalia when was your source updated.

Raisi anaongelea current development kutoka WD, sometimes kuna delay ya mwezi mmoja mpaka mitatu.

So sio anajiongelea ndio kilichopo hizo ni hatua za awali kwenye kupunguziwa kasi ya kukopa, next move from donors ni SAP’s.

Ndio utakuwa mwisho wa hadithi zao TRA wameongeza makusanyo ya kodi.
Mimi nauliza how much uchumi wetu uli contract
 
Back
Top Bottom