Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

Wewe ni mbwiga.

Taasisi kama IMF haiwezi kuidanganya dunia ili kumfurahisha Magufuli.

Wawekezaji wa level ya dunia wanatumia data za IMF na WB.

Ututusa wako wapelekee Bavicha wenzio!
Wala hawakudanganya ila ukweli ni kwamba mwaka 2020 uchumi ulikuwa taabani na ndio sababu za kuchukua mkopo wa covid 19..

Ila nyie hamuwezi kujua kwa sababu sio wafuatiliaji ila wachumi wanafahamu kilichokuwa kinaendelea.
 
Wewe kwa akili yako kama kisoda JPM wako ndio aliifikisha Tzn kwenye uchumi wa Kati?

Mwendazake ndio aliharibu uchumi hadi Tzn ikaporomoshwa na kurejeshwa ilikokuwa..

Chini ya Mwendazake idadi ya maskini iliongezeka Sana na kilele cha kuanguka kwa uchumi ilikuwa 2020..

Sasa ndio unaona Kazi za kujenga upya zinaendelea na kujenga Uchumi sio swala jepesi kama kujitwisha tishu kichwani.
Mkuu najua ww ni mtu wa facts, naomba unisaidie Tz tuliwekwa lini uchumi wa Kati na tulishushwa lini
 
Uongo una mwisho wake. Yule mkuu wa waongo alipoondoka ghafla 17 March 2021, mambo yote yakawa hadharani. Ni vigumu kuongopa siku zote na usigundulike. Unaweza fanikiwa kwa kipindi kifupi tu. Na ndicho kilichotokea.
Tanzania haikujitangaza kuingia uchumi wa kati. World Bank kwa kutumia vigezo vyao walitutangaza. Sasa kama World Bank wanaona tumeboronga kiuchumi wakatuondoa kwenye hiyo hadhi ni pathetic.
 
Wala hawakudanganya ila ukweli ni kwamba mwaka 2020 uchumi ulikuwa taabani na ndio sababu za kuchukua mkopo wa covid 19..

Ila nyie hamuwezi kujua kwa sababu sio wafuatiliaji ila wachumi wanafahamu kilichokuwa kinaendelea.
Mkuu Kuna sehemu unachanganya sana, Tz iliingia uchumi wa Kati July 2020. Na pia naomba kueleweshwa ni lini tumeshushwa?
 
View attachment 2176513

“Tanzania yetu ilikwenda tukafika uchumi wa kati tukarudishwa, kwa uwezo wa Mungu wala si uwezo wa mtu, sasa hivi kazi yetu ni kupambana kurudi tulikokuwa tusije tukarudishwa tukaambiwa hamfai tena kukaa hapa, tupambane turudi kule.

“Na kwa mipango na jinsi ninavyoiendesha Serikali nina imani tutakapofika 2025 kama hatujafika tutakuwa tunakaribia, kwa sababu tunatarajia mwaka ujao tutakwenda kukua kwenye asilimia 5 na pointi, miaka miwili inayokuja tutakwenda kufika kwenye 6.8 tuliyokuwa kabla,” Rais Samia Suluhu Hassan.

Amesema hayo leo Aprili 5, Dodoma katika Mkutano wa Kitaifa wa Maridhiano, Haki na Amani ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) katika Ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma.
Afadhali angeminya,aibu tupu.
 
Eti tukarudishwa kwa uwezo wa Mungu hilo sio kweli bhana tulirud sababu ya uzembe wa serikali yako, kwaiyo unataka kusema kwamba Mungu anaupendeleo wengine awafikishe uchumi wa juu sisi Tz ndo atushushe, sio kweli kurudi chini sababu ya wewe pamoja na watendaji wako mmeshindwa kusimamia pesa za maendeleo afu unamsingizia Mungu acha zako
Asante maana amekubali tulikuwa uchumi wa Kati na Sasa tumeporomoka , mama bila kuwa mkali sahau Hilo utakuwa unasikia tu kwamba tulikuwa uchumi wa kati , jiulize wap wewe una kwama je Rai wako wanataka nn? Je ili nifike hapo natakiwa ni fanye nn Sasa endelea kubembeleza utaona , saiv watakusifia sana lkn ukitoka hapo utajionea mwenyewe ,mfano unao tena ujue Kuna kuulizwa je ulivokuwa kiongoz uliwasaidia vip ulio waongoza Asante mama.
 
Ukiwa mjinga kabisa wa masuala ya uchumi, utasema Magufuli alituingiza uchumi wa kati. Ukiwa na akili, japo kidogo sana, utafahamu wazi kuwa safari iliyoanzishwa na Mkapa ya kuufikia uchumi wa kati, Magufuli aliififisha.

Mkapa aliongeza Per Capita Income ya Mtanzania kwa dola 400 katika kipindi cha miaka 10. Kikwete dola 380. Magufuli dola 80.

Weeh labda wewe ndii ulirudi dolla 80 na ukoo wako
 
Ko aliwacommand bank ya Dunia au? Em punguza chuki ndugu au alijitangaza mwenywe
 
Imenigusa kama Baby kaniambia "Baby kuanzia leo mi na wewe Tusijuane tena"
 
Ila watu😂😂😂
Wewe kwa akili yako kama kisoda JPM wako ndio aliifikisha Tzn kwenye uchumi wa Kati?

Mwendazake ndio aliharibu uchumi hadi Tzn ikaporomoshwa na kurejeshwa ilikokuwa..

Chini ya Mwendazake idadi ya maskini iliongezeka Sana na kilele cha kuanguka kwa uchumi ilikuwa 2020..

Sasa ndio unaona Kazi za kujenga upya zinaendelea na kujenga Uchumi sio swala jepesi kama kujitwisha tishu kichwani.
Ko ye aliporomosha ndo tukawa uchumi wa kati au unamaanisha Nini vingine muwe mnakaa kimya haviwekeki chuki ko aliepiromosha ndo 2katangazwa kua uchumi wa kati basi tulikua matajiri sana
 
Ila watu😂😂😂

Ko ye aliporomosha ndo tukawa uchumi wa kati au unamaanisha Nini vingine muwe mnakaa kimya haviwekeki chuki ko aliepiromosha ndo 2katangazwa kua uchumi wa kati basi tulikua matajiri sana
Unless unajua kinachoitwa growth at decreasing rate,pili kilele cha kuanguka uchumi kilikuwa kuanzia 2020 hadi mwanzo wa 2021 ..

Sisi tulio jikoni ndio tunakueleza hutakai Bakia na unachokiamini..

By the way Mei ya mwaka Jana Rais alisema hili la uchumi kuanguka ila hamkuelewa leo karudia tuu.
 
Back
Top Bottom