Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

Mwenye uchumi wake mnamsimanga kila siku ,kaona isiwe tabu ngoja niondoke nao.
Haya sasa mama amekiri kuwa uchumi ule wa kati umeporomoka?
Je bado kuna shaka na uwezo wa utendaji wa JPM?
Utapeli tu, kila ukifika mwaka uchaguzi wanatutangazia kupanda daraja. They did this 2020. Uchaguzi iliisha tunatangaziwa kushuka daraja. Uhuni. 2024/2025 watatungazia tena.
 
Hautanielewa daima. Nakuacha uendelee kuwa mnyonge. Ikifika kwenye uchanguzi mnachapa makaratasi ya kura ya kujipigia majumbani. Kwenye kufanya kazi, manaanza kuitana wafungavilemba!! Kama kwamba serikali imebadilika. Kumbe ni wale wale walioiba uchaguzi ule ule.
Kuna vitu ni aibu kwako, huwezi peleka data za uongo. Wangepeleka data kwamba Tanzania ni sawa na Marekani kiuchumi wangekubali?
 
Ngoja nijaribu kukuondolea ujinga. Mashirika ya kimataifa - WB, IMF, WHO, ILO, FAO, nk hutumia takwimu zinazopatikana katika nchi ili ku-grade nchi. Kama utatoa takwimu za uongo, grading yao pia itakuwa ya uongo. Magufuli aliambiwa na IMF kuwa uchumi unakuwa kwa 4.5%, akatakaa, kichaa kikampanda, akagombana na IMF huku akisema uchumi wetu unakuwa kwa 7%. Ingetumika 4.5% nani angesema uko uchumi wa kati? Jielimishe. Usiishie kuwa mpiga kura wa CCM tu. Usitumike.

victor solomon - siyo vibaya na wewe ukijielimisha. Nimesoma ulichoandika.
IMF wanatumia data zao mkuu hawwchukui za serikali.
 
Umesema kweli hapo juu, Ila kuhusu kuondoka kwenye ndio mkuu hapo umekosea ndio kwanza mizizi inajikita.
Juzi tu Simba imeshinda waziri anasema ni jitihada za raisi
Memento:


Haha Asante saana. "Ndiyo, mkuu" umeona ilipotufikusha ?
 
%22Tanzania_tuliingia_uchumi_wa_kati_tukarudishwa%2C_siyo_kwa_mipango_ya_mtu%2C_ni_mipango_ya_...jpg


Hii si kauli yangu , Ni kauli madhubuti ya Rais wa nchi Mh Samia Suluhu akiongea kwenye Mkutano wa TCD , hata hivyo pamoja na kuporomoka huko Mh Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa ccm , chama kilichoshika hatamu ya uongozi kuanzia mwanzo hadi sasa , na ambacho kina mchango wa 100% ya Umasikini wa nchi hii , Ametangaza kwamba hadi kufikia 2025 atakuwa kishairudisha Nchi kwenye Uchumi wa Kati ilimokuwemo kabla .

Mungu ibariki Afrika

FB_IMG_1597733863117.jpg
 
Vijitu vingine bwana km kichwa cha panzi. Kwani aliyesema kipato cha kati ni nani? Kupandishwa au kushushwa hizo grade ni za world bank, na si Rais fulan anajisemea. It means kwamba tumeshuka kiuchumi ndio maana wao wenyewe walitupa sasa hivi wametushusha kulingana na vigezo walivyotumia wakati huo

Halafu world bank wanakuambia Tanzania bado ipo uchumi wa kati, sasa huyu rais ametoa wapi hii kauli yake?
IMG_1054.jpg
 
Utapeli tu, kila ukifika mwaka uchaguzi wanatutangazia kupanda daraja. They did this 2020. Uchaguzi iliisha tunatangaziwa kushuka daraja. Uhuni. 2024/2025 watatungazia tena.
IMF?
 
Uchumi wa kati, na usio na manufaa yoyote yale kwa Watanzania walio wengi, ni useless.
 
Uongo una mwisho wake. Yule mkuu wa waongo alipoondoka ghafla 17 March 2021, mambo yote yakawa hadharani. Ni vigumu kuongopa siku zote na usigundulike. Unaweza fanikiwa kwa kipindi kifupi tu. Na ndicho kilichotokea.
Jiongeze. Angalia kwenye data za WB. Hatujashushwa. Samia atueleze vizuri. Hatujamuelewa. Maelezo yake yanakwenda kinyume na taarifa za WB hadi leo.
 
Data ya mwaka gani hii?
Mkuu si unaingia tu kwenye web ya WB utaona kila kitu, ukisubiri kuambiwa unaweza kuingizwa chaka. Mm nimeona haatujaondolewa, Ila bado najiuliza uchumi gani wa Kati huu ambao hauna uhalisia?
 
Hii ina maana labda mama hakuelewa hii issue toka mwanzo. Jamani mama asaidiwe. Kauli ya leo inamshushia heshima kwa WB na watu wote wanaoelewa haya mambo.
 
Back
Top Bottom