Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,187
- 1,914
huyu maza bwege sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndipo akili yako ilipoishia. Baki hapo hapo.Utahangaika sana na hiyo mimba ya Magufuli kenge wewe
Tanzania haijawahi kuwa middle income country toka dunia hii imeumbwa.View attachment 2176513
“Tanzania yetu ilikwenda tukafika uchumi wa kati tukarudishwa, kwa uwezo wa Mungu wala si uwezo wa mtu, sasa hivi kazi yetu ni kupambana kurudi tulikokuwa tusije tukarudishwa tukaambiwa hamfai tena kukaa hapa, tupambane turudi kule.
“Na kwa mipango na jinsi ninavyoiendesha Serikali nina imani tutakapofika 2025 kama hatujafika tutakuwa tunakaribia, kwa sababu tunatarajia mwaka ujao tutakwenda kukua kwenye asilimia 5 na pointi, miaka miwili inayokuja tutakwenda kufika kwenye 6.8 tuliyokuwa kabla,” Rais Samia Suluhu Hassan.
Amesema hayo leo Aprili 5, Dodoma katika Mkutano wa Kitaifa wa Maridhiano, Haki na Amani ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) katika Ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma.
Kwahiyo hata wanaopima kukua kwa uchumi aliwahonga au? Aise!Uongo una mwisho wake. Yule mkuu wa waongo alipoondoka ghafla 17 March 2021, mambo yote yakawa hadharani. Ni vigumu kuongopa siku zote na usigundulike. Unaweza fanikiwa kwa kipindi kifupi tu. Na ndicho kilichotokea.
Yaani wanatunga uwongo mpaka uwomgo wenyewe unawakataa...Kwahiyo JPM ndiye alidanganya kuwa tumepanda uchumi wa kati?
Na zile hotuba za UN za kumsifia ameifikisha nchi uchumi wa kati nao walikuwa wanasema uwongo kwakumwogopa JPM, basi alikuwa jiwe kweli kweli!Mkereketwa/chawa/kiroboto unajaribu kubishana na IMF. Kazi kweli kweli. Okay nakutakia kila la heri🤣
Na zile hotuba za UN za kumsifia ameifikisha nchi uchumi wa kati nao walikuwa wanasema uwongo kwakumwogopa JPM, basi alikuwa jiwe kweli kweli!
Wakati tunaingia kulikuwa hakuna UVIKO19? mkumbuke ni Tanzania tu wakati huo kutokana na sera za JPM uchumi wake uliendelea kukua kwa chanya kinyume na mataifa mengo ya dunia...Haki yake hamwezi kuipokonya...Vitabu vimekwisha andika JPM aliingiza nchi uchumi wa katiMh.Rais SSH yuko sahihi....UCHUMI WA KATI TULIOKUWEKO umeporomoka kwa sababu ya JANGA LA UVIKO 19.........
Si serikali yenye kuweza kulaumiwa....
Wala si mh.Rais SSH mwenye kulaumika....
Corona
Corona
Corona
#Siempre JMT🙏
Samia anadanganywa wazi wazi, mtanisamehe kama na mtukana... But effect ya kufeli kwake form 4 inaonekanaTanzania haijawahi kuwa middle income country toka dunia hii imeumbwa.
Taarifa zilizopo ni kwamba Tanzania ilipanda kutoka lower income country na kuwa lower middle income country wakati wa jiwe. Na haijawahi kushuka
Mama afahamishwe vizuri
Hiyo ya mtaa wa Lumumba ni ya kwako siyo? Pole wee legacy ya Mzee hoyee!UN ya wapi? Ya mtaa wa Lumumba maeneo ya Mnazimmoja?
Thibitisha taarifa yako kwa data na takwimuMh.Rais SSH yuko sahihi....UCHUMI WA KATI TULIOKUWEKO umeporomoka kwa sababu ya JANGA LA UVIKO 19.........
Si serikali yenye kuweza kulaumiwa....
Wala si mh.Rais SSH mwenye kulaumika....
Corona
Corona
Corona
#Siempre JMT🙏
Unataarifa ya Benki ya Dunia?Tumetolewa kwenye nuru, tumerudishwa gizani. Hii ni kwa mujibu wa benki ya dunia
Umesema kweli hapo juu, Ila kuhusu kuondoka kwenye ndio mkuu hapo umekosea ndio kwanza mizizi inajikita.Sula la JPM ni suala la muda tu kupendwa/kuchukia ni kitu cha kawaida kwa mwanadamu ila kuogopwa ni lazima kwa kiongozi.
Tutaelewana tu, tunakoenda ni kizuri tunachaana na "Ndiyo, mkuu" .
Ila kwa mujibu wa WB bado tupo, hatujatolewa ila haireflect uhalisia tulionao.Nimejisikia vibaya jana nilikua namtanabahisha rafiki yangu wa Madagascar kwa kujimwambafy kwamba tupo uchumi wa kati akawa ananibishia.
Ni kweli WB wametuondoa uchumi wa Kati? I doubtMh.Rais SSH yuko sahihi....UCHUMI WA KATI TULIOKUWEKO umeporomoka kwa sababu ya JANGA LA UVIKO 19.........
Si serikali yenye kuweza kulaumiwa....
Wala si mh.Rais SSH mwenye kulaumika....
Corona
Corona
Corona
#Siempre JMT[emoji120]
Reflection gani kama percapita income inasoma kwenye hiyo category?Ila kwa mujibu wa WB bado tupo, hatujatolewa ila haireflect uhalisia tulionao.
Mkuu Usishangae sababu unafiki ni sifa mojawapo ya utanzania.Watu wanalalamika kuwa tumetoka na imekuwa siri. Na wengi ni hao hao waliokuwa wanasema sio kweli hatumo humo. Very funny 😀