prospilla
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 1,144
- 1,709
Kwahiyo JPM ndiye alidanganya kuwa tumepanda uchumi wa kati?Ujunga huo ulio nao ndio Magufuli alikuwa anautegemea sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo JPM ndiye alidanganya kuwa tumepanda uchumi wa kati?Ujunga huo ulio nao ndio Magufuli alikuwa anautegemea sana.
Kwahiyo JPM ndiye alidanganya kuwa tumepanda uchumi wa kati?
Sasa tumerudishwaje kama hatukuwahi kufika?Kwani tuliwahi kufika huko? Kipato chako kilibadilika wakati yule kichaa anatangaza kuingia uchumi wa kati?
Kwani hizo rank alipanga yeye au mashirika ya kimataifa, bro usikimbilie tu kuandika mambo ambayo huyajui😄Kwani tuliwahi kufika huko? Kipato chako kilibadilika wakati yule kichaa anatangaza kuingia uchumi wa kati?
Kwa sasa hali ni mbaya zaidi sijui wale wenye uwezo...maisha ni magumu sana ..muhimu ni kujitahidi kutekeleza mipango ya serikali ili tupate nafuuKwani tuliwahi kufika huko? Kipato chako kilibadilika wakati yule kichaa anatangaza kuingia uchumi wa kati?
Kwa maana hiyo IMF ndio wajinga!Ngoja nijaribu kukuondolea ujinga. Mashirika ya kimataifa - WB, IMF, WHO, ILO, FAO, nk hutumia takwimu zinazopatikana katika nchi ili ku-grade nchi. Kama utatoa takwimu za uongo, grading yao pia itakuwa ya uongo. Magufuli aliambiwa na IMF kuwa uchumi unakuwa kwa 4.5%, akatakaa, kichaa kikampanda, akagombana na IMF huku akisema uchumi wetu unakuwa kwa 7%. Ingetumika 4.5% nani angesema uko uchumi wa kati? Jielimishe. Usiishie kuwa mpiga kura wa CCM tu. Usitumike.
Kwa maana hiyo IMF ndio wajinga!
Ngoja nijaribu kukuondolea ujinga. Mashirika ya kimataifa - WB, IMF, WHO, ILO, FAO, nk hutumia takwimu zinazopatikana katika nchi ili ku-grade nchi. Kama utatoa takwimu za uongo, grading yao pia itakuwa ya uongo. Magufuli aliambiwa na IMF kuwa uchumi unakuwa kwa 4.5%, akatakaa, kichaa kikampanda, akagombana na IMF huku akisema uchumi wetu unakuwa kwa 7%. Ingetumika 4.5% nani angesema uko uchumi wa kati? Jielimishe. Usiishie kuwa mpiga kura wa CCM tu. Usitumike.
Sasa tutakuwa na uhakika gani kama hivi sasa takwimu zilizotolewa na selikali ni za kweli?Ngoja nijaribu kukuondolea ujinga. Mashirika ya kimataifa - WB, IMF, WHO, ILO, FAO, nk hutumia takwimu zinazopatikana katika nchi ili ku-grade nchi. Kama utatoa takwimu za uongo, grading yao pia itakuwa ya uongo. Magufuli aliambiwa na IMF kuwa uchumi unakuwa kwa 4.5%, akatakaa, kichaa kikampanda, akagombana na IMF huku akisema uchumi wetu unakuwa kwa 7%. Ingetumika 4.5% nani angesema uko uchumi wa kati? Jielimishe. Usiishie kuwa mpiga kura wa CCM tu. Usitumike.
victor solomon - siyo vibaya na wewe ukijielimisha. Nimesoma ulichoandika.
Ilikuwa lini? Kabla au baada ya Simba wa *** kuondoka?Kumbe tukirudishwa inakuwa kimya kimya? Kwamba ndiyo uzalendo sasa?
Tuliwakanya watz awasikii.watawala wa kiafrica ukiwasifia unaharibuMaigizo tupu
Ukiwa mjinga kabisa wa masuala ya uchumi, utasema Magufuli alituingiza uchumi wa kati. Ukiwa na akili, japo kidogo sana, utafahamu wazi kuwa safari iliyoanzishwa na Mkapa ya kuufikia uchumi wa kati, Magufuli aliififisha.Mwenye uchumi wake mnamsimanga kila siku ,kaona isiwe tabu ngoja niondoke nao.
Haya sasa mama amekiri kuwa uchumi ule wa kati umeporomoka?
Je bado kuna shaka na uwezo wa utendaji wa JPM?
Sasa tutakuwa na uhakika gani kama hivi sasa takwimu zilizotolewa na selikali ni za kweli?
we jamaa wacha uonho😄
Minga tu wewe. Chuki zako zimezaa ujinga mbaya sana.Sasa tumerudishwaje kama hatukuwahi kufika?
Ilikuwa lini? Kabla au baada ya Simba wa *** kuondoka?
Wewe ni mbwiga.Wewe ndiye utakuwa mjinga. Umeshindwa kuelewa jambo rahisi hivi.