Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

🙌
Tanzania haikujitangaza kuingia uchumi wa kati. World Bank kwa kutumia vigezo vyao walitutangaza. Sasa kama World Bank wanaona tumeboronga kiuchumi wakatuondoa kwenye hiyo hadhi ni pathetic.
 
Kila kitu awamu hii ni uongo uongo tu. Waandishia ndo mawakala wa kupika Data za serikali
 
anaua reli ya tazara anawakumbatia wenye malori kina msoga anategemea uchumi urudi ulikokuwa? huyu mama tatizo kawekws hapo hayo anayoongea hayana uhalisia wowote ni porojo tu.
 

Achana naye huyo anajifanya mjuzi kumbe hana kitu.
 


Mama kaipandisha imefika wapi?

Halafu tupe reference na sie tukapitie
 
Watu wanalalamika kuwa tumetoka na imekuwa siri. Na wengi ni hao hao waliokuwa wanasema sio kweli hatumo humo. Very funny 😀
Kupanda tulifanya sherehe na Duni nzima ikajua. Kushuka hatukuambiwa mpaka leo halafu hawa semi ni lini... Unataka bado tuendelee kuamini huu uhuni... Over my dead body. Waseme tu uongo wote walioufanya huko nyuma. Walipika data. Period.
 
Kwahiyo unadhani wewe na Mama nani ni mkweli sasa [emoji848]

Kitu gani ambacho Mama kashindwa kukieleza wazi kwa wananchi kilichokuwa sicho juu ya JPM hadi leo hii akubaliane na uchumi feki uliopangwa na JPM [emoji848]

Chuki hazijengi ndugu, umemchukia akiwa hai sababu ya kutumbuliwa jipu lako lenye harufu chafu, cheti feki na kuzibiwa mianya ya magendo na wala siyo suluhisho kimaisha kuendekeza chuki za kijinga kwa Marehemu asiyesikia, ongea wala kukujibu chochote zaidi ya kujitengenezea sonona tu [emoji57]
 
Mh.Rais SSH yuko sahihi....UCHUMI WA KATI TULIOKUWEKO umeporomoka kwa sababu ya JANGA LA UVIKO 19.........

Si serikali yenye kuweza kulaumiwa....

Wala si mh.Rais SSH mwenye kulaumika....

Corona
Corona
Corona

#Siempre JMT🙏


Wakati tunaingia uchumi wa kati July 2020 Uviko ulikuwepo , Uviko 19 ulikuja 2019 tuliingia uchumi wa kati July 2020..
 
🙌 Akili zenu ziko upande upande. Hata Kiswahili rahisi hiki inakuwa vigumu kueleweka!! Mama kasema kweli. Mwongo ni yule aliyepigwa na corona 17 March 2021.
 
Sasa tutakuwa na uhakika gani kama hivi sasa takwimu zilizotolewa na selikali ni za kweli?
we jamaa wacha uonho[emoji1]
Lipumbavu sana hilo Jamaa kisa tu chuki zinazomtesa, eti takwimu za IMF zikielezea uhalisia wa uchumi wa kati kwa uchanya juu ya TZ ni za uwongo, lakini hao hao IMF wakitoa taarifa kuwa TZ imetoka uchumi wa kati ni za ukweli [emoji1]
 
Retired na brazaj mlikuwa mnasema ati hayo yalikuwa ni ya Magufuli!!! Mungu wenu sasa kasisitiza, je mnaona mlivyo wapuuzi?
 
Wewe ni mbwiga.

Taasisi kama IMF haiwezi kuidanganya dunia ili kumfurahisha Magufuli.

Wawekezaji wa level ya dunia wanatumia data za IMF na WB.

Ututusa wako wapelekee Bavicha wenzio!
Shangaa hata wewe eti kisa kumfurahisha JPM, kwani walikuwa wanamuogopa sana au JPM aliwaahidi kipi hasa kizuri hadi waamue kuiweka TZ katika uchumi wa kati kwa taarifa feki [emoji848][emoji847]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…