Rais Samia tulikuonya kuhusu January Makamba

Bavicha bwana.
Mwisho wenu mtageuka wachawi
 
Kiko wapi kivipi.?
huoni kuwa ana andaliwa kwa nafasi ya ukuunwa ile nyumba nyeupe.
Ndiyo maana kapewa wizara nyeti.. Ambayo MARA NYINGI ni njia ya kuelekea Magogoni
yule akiwa Rais nitathibitisha nchi hii wote ni wajinga
 
Chuki inakondesha!
 
Kikwete na huyo makamba ndie aliekua muaandaji wa uandishi ktk hotuba zake.
Alimtoa kwenye ofice za UNHCR na kumleta kwenye ofice yake.
Kwa kumbukumbu zangu umetudanganya mkuu..
 
jamani kinachoniuma ni wale waliokataliwa na rais Magufuli wamerudishwa na huyu mama. Sijui mama anakuwa na interest gani na hao watu?๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ
 
jamani kinachoniuma ni wale waliokataliwa na rais Magufuli wamerudishwa na huyu mama. Sijui mama anakuwa na interest gani na hao watu?[emoji50]โ€[emoji100][emoji50]โ€[emoji100][emoji50]โ€[emoji100]
Wafanye kazi sasa
 
jamani kinachoniuma ni wale waliokataliwa na rais Magufuli wamerudishwa na huyu mama. Sijui mama anakuwa na interest gani na hao watu?๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ
Ni kwasababu wote hao ni msoga gang.
 
Mkapa na Kikwete wote walikuwa Mawaziri wa Mambo ya Nje na wakaja kuwa Marais wa Tz
Sample size ya watu wawili haiwezi kutumika kutoa conclusion. Otherwise, it is called hasty generalisation, a type of logical fallacy.
 
Samplecsize

Sample size ya watu wawili haiwezi kutumika kutoa conclusion. Otherwise, it is called hasty generalisation, a type of logical fallacy.
Mpe elimu huyo mshamba
 
Ungejua Marais 2 wa nchi hii walitokea Wizara ya Mambo ya Nje ungekaa kimya.
Vipi maembe pamoja na kuhudumu kwake wizara hiyo naye kawa Rais???

Jifarijini tu [emoji23][emoji38][emoji23][emoji38][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ