ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kama mnajua Mungu ndio hupanga basi mjue pia kwamba Samia ni Mpango wa Mungu,Kwa hiyo makelele ya chuki zenu hayawezi wasaidia maana atakuwa akilala Mungu anamuonesha wa kuchomoa 😂😂Hata hayati Membe alipewa Wizara hiyo, kama Mungu hajakuandikia huwezi kuwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo alishatabgaza mapema sana. Kwa Rebuilding inayofanyika Tanesco, tutegemee hilo sehemu tofauti tofauti Tanzania. Kwa miaka minne ijayo.Kweli kabisa kafanya reforms nzuri na sasa tuna mgao wa umeme zaidi ya masaa 24.Kudos kwake
Watatu waliobaki walitokea wizara gami?Ungejua Marais 2 wa nchi hii walitokea Wizara ya Mambo ya Nje ungekaa kimya.
Nchi siyo mali binafsi ya baba ake, tutajua cha kufanya mbele ya safariCCM wakimpitisha na wakatumia ujanja wao wa miaka nenda miaka rudi wewe kama wewe utafanya nini? Utahamia Burundi ama?
Tena sio wawili tu. Mwinyi nae kafanya Foreign kama BaloziWatatu waliobaki walitokea wizara gami?
Kwani JK na Mkapa hawajawahi kufanyia kazi Wizara nyingine?Tena sio wawili tu. Mwinyi nae kafanya Foreign kama Balozi
Waliobaki wawili mmoja alikuwa Ujenzi na Mmoja Makamu wa Rais Muungano
Nnyooo!Kiko wapi kivipi. wakati ana andaliwa kuwa Rais kapewa wizara nyeti.. Ambayo ni njia ya kuelekea Magogoni
Magogoni my foot! Magufuri(R.I.P) alikuwa waziri wa wizara zipi kabla ya kuwa rais?Wizara nyeti my foot! hii wizara aliyopewa ata Shilole anaweza kui-run vizuri tu.Kiko wapi kivipi. wakati ana andaliwa kuwa Rais kapewa wizara nyeti.. Ambayo ni njia ya kuelekea Magogoni
Hii nchi ina cha legacy basi bloangu,ni connection tu na aliye juu inaweza kubashiri fate yakoTuonyeshe legacy yake aliyoacha Tanesco
Unyeti wake ni upi? Alafu hizo ngonjera za mfumo wa zamani zilishapitwa na wakati.Kiko wapi kivipi. wakati ana andaliwa kuwa Rais kapewa wizara nyeti.. Ambayo ni njia ya kuelekea Magogoni
January Makamba muislamu mwenzetuyaani umejifcha nyumbani kwako na Tecno unapost unasema tulikuonya rais wewe na nani labda na familia yako urais ni taasisi siyo mtu mmoja.
Tumekuwa na Marais 6 hadi sasaKwani JK na Mkapa hawajawahi kufanyia kazi Wizara nyingine?
Yeye aliomba trillion mojaRais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Hao wote wahuni tu haijalishi wametoka ofisi gani? Wahuni ni wahuni kama wahuni wengineKikwete na huyo makamba ndie aliekua muaandaji wa uandishi ktk hotuba zake.
Alimtoa kwenye ofice za UNHCR na kumleta kwenye ofice yake.