MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,843
- 5,476
Nayeye alikua na kesi ya ugaidi?Ishu moja na mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nayeye alikua na kesi ya ugaidi?Ishu moja na mbowe
Kwa katiba yetu hii ndugu yangu Rais wetu ana mamlaka ya hatari !! Wapi Jobo?Rais ana nguvu sana.
Ulitegemea before kwamba Rais Samia angekubali kukutana na Lissu?wewe unataka Rais aongee kila neno, anataka arudi hataki abaki ulaya tunazo taafira kwamba ashajiripua kwanza ana shavu dodo anapiga makuku na manyama muda wote
Yule jamaa mwenye kichwa kama Bedford la mwarabu!😂😂😂Nani huyo mkuu hahaaahhaaa
Kwahiyo kama wewe huna uvumilivu unaamini na wenzako ni hivyoKwani upinzani unatafsiri vp chama tawala? Ngoja Lissu arudi ndio tumpime mama kama ataweza kuvumilia.
Jamaa yeye ndo alikuwa gaidi haswaMama ni mwenye huruma sio lile jamaa lililotafsiri upinzani ni UHAINI
Sinilashakuonya usiwe unaposti comment humu huku unakunya? Yaani umeposti hii comment huku umekakamaaa.Itafika wakati Lissu ataweka shart atakama akirudi yeye na dereva wake wasiohojiwe na police kuhusu kushambuliwa kwake ila tu police wafanye uchunguzi kwa njia nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesema kutoka na maneno kama hayo! Mara ooohh bila dereva inamaana msingechunguza? Angekufa je? Mara oohh anatibiwa Nairobi anatibiwa Saikolojia mara nae huyo Bergium sasa mwisho wa siku nakuambia yatafikia hayoWapuuzi hata ikiwaje hambadiliki akili/mioyo !!.
Nimesema tungoje Lissu arudi ili tuone kama ataweza kuvumilia au ndio yatakuwa kama yale ya Ndugai.Kwahiyo kama wewe huna uvumilivu unaamini na wenzako ni hivyo
Dereva hakuna aliyemhitaji police. Alikuepo muda wote baada ya shambulizi kuanzia hospital, airport walipomsindikiza bosi wake na kesho yake. Hakuna cha polisi wala nani waliomhitaji kumhoji. Mnasubiri anatoka ndiyo kelele za kutaka kumuondoa zinaanza. Kisa kufuta ushahidi !!. Jinai haifiNimesema kutoka na maneno kama hayo! Mara ooohh bila dereva inamaana msingechunguza? Angekufa je? Mara oohh anatibiwa Nairobi anatibiwa Saikolojia mara nae huyo Bergium sasa mwisho wa siku nakuambia yatafikia hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Je, kutokuwepo kwa Lissu na dreva wake ndiyo kuliwafanya Polisi wasipeleleze kesi? Je, kesi Kama hiyo mtu akiuawa Polisi huwa wamaacha tu kwa kukosa pa kuanzia? Hauko serious...Itafika wakati Lissu ataweka shart atakama akirudi yeye na dereva wake wasiohojiwe na police kuhusu kushambuliwa kwake ila tu police wafanye uchunguzi kwa njia nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hapa mimi najiuliza. Lisu ni mkweli, hapindishi, na analugha fulani hivi za kukera, na kutia hasira. Akirudi hivi kweli mama atashindwa kumfungulia kesi nyingine, kama alivyomfanya Mbowe?Lissu sio mtu wa kukaa kimya
Umemaliza kila kituHata hapa mimi najiuliza. Lisu ni mkweli, hapindishi, na analugha fulani hivi za kukera, na kutia hasira. Akirudi hivi kweli mama atashindwa kumfungulia kesi nyingine, kama alivyomfanya Mbowe?
Make Mbowe kudai katiba na misimamo yake mama akamuogopa, akasema Mbowe awe na heshima na mengineyo. Kwa Lissu sasa itakuweje, make najua Lissu akirudi hana cha kukaa kimya.
Mama yeye mwenyewe alidai anakubali kukosolewa, akasema watu wawe huru, Mbowe alipolianzaisha tu kidogo, akawa Gaidi. Lissu ajiandae sijui kuwa nani kwa makosa ya jinai. Mama ni kigeugeu. Kama alichukizwa tu na Spika kumchallenge ktk mkopo? Itakuwaje kwa mzee wa MIGA... Ha ha ha!
Lissu awe makini, mama anafuata kila anachoshauriwa. Hivyo Lissu akirudi, akaanza mashambulizi yake kama ilivyokawaida. Mama atatamani kuingia uvunguni. Hapa ndo atapewa ushauri ambao utakuwa wa kumshughulikia Lissu. Na mama anavyopenda kulinda Urais wake hadi 2030, Lissu jiandae kwa kitu kizito hapo baadae.
Pengine uamue tu kutulia na kukubali kila jambo. Ufyate mkia. Kama umbwa koko.
Anaviamini hivi pale tu vinapokidhi matakwa yake binafsi na si vinginevyo!Lisu anaamini katika katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Yupo?Spika kumchallenge ktk mkopo
Kinachotakiwa ni kufuata katiba ya nchi inaelekeza Nini katika kila jambo. Kama katiba inasema vyama vya siasa vifanye siasa, kwa Nini uzuie? Kama katiba inaeleza mawakala wa vyama wawepo kwenye chaguzi, kwa nini uwazuie na kuruhusu wa kwako tu? Kama katiba inasema mbunge atatokana na Chama Cha siasa, kwa nini uruhusu wasio na Chama wawemo bungeni? Katiba ikifuatwa, hakuna mgogoro wowote utakaotokea, ugomvi hutokana na uvunjaji wa katiba, Sheria na kanuni.Kama Samia kaamua hivyo hakuna tatizo.
Ila lazma watakuja kugombana maana itikadi ni tofauti.
Lisu anaamini katika katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Samia anaonekana sio muumini wa hivyo vitu hapa Sasa ndipo ugumu unapokuja.
Lisu aamue kukaa kimya au aendeleze mapambano.
Je Samia atakubali.?
Tuombe uzima
Kinachotakiwa ni kufuata katiba ya nchi inaelekeza Nini katika kila jambo. Kama katiba inasema vyama vya siasa vifanye siasa, kwa Nini uzuie? Kama katiba inaeleza mawakala wa vyama wawepo kwenye chaguzi, kwa nini uwazuie na kuruhusu wa kwako tu? Kama katiba inasema mbunge atatokana na Chama Cha siasa, kwa nini uruhusu wasio na Chama wawemo bungeni? Katiba ikifuatwa, hakuna mgogoro wowote utakaotokea, ugomvi hutokana na uvunjaji wa katiba, Sheria na kanuni.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app