Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Matagaaa...Matagaaaa...Matagaaa...[emoji23].. Njooni kuna jambo lenyu hukuuu..njoooni fastaaaKupitia mahojiano maalumu na DW Rais Samia amesema kwamba Serikali imefuta kesi zote za Tundu lissu zilizokuwa mahakamani hivyo kama tatizo ni kesi arudi Tanzania...