Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan Mkoani Kigoma, leo Jumatatu Oktoba 17, 2022
Akizindua Umeme wa Gridi ya Taifa na Uzimaji wa Jenereta katika Mkoa wa Kigoma - Kasulu Mjini.
Rais Samia amesema lengo la kuleta umeme kigoma ni kuanza kuvutia wawekezaji kwenye mkoa huo ulio pembenzoni mwa nchi.
Amewataka wananchi wa Kigoma kutunza majenereta yaliyokuwa yanatumika zamani pamoja na miundombinu mipya ya kusafirisha umeme iliyojengwa ili nishati hiyo ichochee maendeleo ya watu.
Akizindua Umeme wa Gridi ya Taifa na Uzimaji wa Jenereta katika Mkoa wa Kigoma - Kasulu Mjini.
Rais Samia amesema lengo la kuleta umeme kigoma ni kuanza kuvutia wawekezaji kwenye mkoa huo ulio pembenzoni mwa nchi.
Amewataka wananchi wa Kigoma kutunza majenereta yaliyokuwa yanatumika zamani pamoja na miundombinu mipya ya kusafirisha umeme iliyojengwa ili nishati hiyo ichochee maendeleo ya watu.