Rais Samia: Tumeleta umeme Kigoma ili kuvutia Uwekezaji

Rais Samia: Tumeleta umeme Kigoma ili kuvutia Uwekezaji

Je huko umeme utakuwa haukatiki hovyo kama huku?
 
Mataga umeerevuka, enzi za jiwe ulikuwa kama zombi au bendera fuata upepo tu.
Wrong approach.

Inatakiwa umeme umsaidie mzawa kujikwamua kiuchumi na sio kumwezesha mgeni kuja kushika vyanzo vya uchumi vya Taifa hili.

Kuendelea kufikiria kuwa wageni ndio wataleta maendeleo yetu badala ya sisi wenyewe ni makosa yanayojirudia kila mara katika awamu hii.
 
Mliokuwepo huko kwa Watani zangu Washamba ( Mambwiga ) Waha kutoka Mkoani Kigoma tafadhali GENTAMYCINE nawaombeni mnijuze zaidi ili nami niamini kuwa 'Mtu' nae anakubalika na Watanzania.
 
Mama yupo vizuri na ana dhamira ya dhati kabisa ya maendeleo ya Tanzania sema pana wahuni wachache ndio wanamharibia lengo lake bila ya yeye kujua...waharibifu huwa wanaibukia Bungeni na sheria zao za ajabu ajabu wapo kimya sasa hivi wanafikiria waje na mguu gani tena utawasikia...
 
Mliokuwepo huko kwa Watani zangu Washamba ( Mambwiga ) Waha kutoka Mkoani Kigoma tafadhali GENTAMYCINE nawaombeni mnijuze zaidi ili nami niamini kuwa 'Mtu' nae anakubalika na Watanzania.
Wewe utakuwa mjinga Sana,unaweza kuchota watu wote wale kujaza uwanja?

Wapo waliochotwa na malori ila sio wote..Pili mbona hata kule Runzewe kote huko Alipokelewa na watu wengi Sana?

Hivi kuna mtu anawaza kabisa kwamba 2025 Samia anaweza shindwa na mpinzani yeyote Tanzania hii? Nani huyo?
 
Mliokuwepo huko kwa Watani zangu Washamba ( Mambwiga ) Waha kutoka Mkoani Kigoma tafadhali GENTAMYCINE nawaombeni mnijuze zaidi ili nami niamini kuwa 'Mtu' nae anakubalika na Watanzania.
Wanakigoma walijitokeza kwa wingi kushuhudia mambo ambayo yalishindikana katika awamu zote tano (5)
Kigoma ndio lango la magharibi la kiuchumi soon Kigoma itastaajabisha nani haki yake pia Ina kila potential za kuliletea taifa letu 1/4 ya mapato ya kiuchumi.
HONGERA MAMA SAMIA TUNAKUPENDA SANA,UNAPIGA UTOSINI AU MLEMLE.
 
Wanakigoma walijitokeza kwa wingi kushuhudia mambo ambayo yalishindikana katika awamu zote tano (5)
Kigoma ndio lango la magharibi la kiuchumi soon Kigoma itastaajabisha nani haki yake pia Ina kila potential za kuliletea taifa letu 1/4 ya mapato ya kiuchumi.
IMG-20221013-WA0107.jpg
 
Kilichotokea siku ile wanafunzi walirudi nyumbani saa nne asubuhi alafu wakatakiwa kurudi tena shule magari ya adventure na Saratoga yakafanya kazi ya kuwapeleka uwanjani, japo kuna wengi walienda kwa hiyali yao lakini mabasi yalifanya kazi ya kutosha
 
Kilichotokea siku ile wanafunzi walirudi nyumbani saa nne asubuhi alafu wakatakiwa kurudi tena shule magari ya adventure na Saratoga yakafanya kazi ya kuwapeleka uwanjani, japo kuna wengi walienda kwa hiyali yao lakini mabasi yalifanya kazi ya kutosha
Acha unafiki wako mimi nilikuwepo tulikwenda wenyewe kwa miguu yetu!
 
Nchi imepitia kipindi kigumu sana.... Maana tuliwahi kuokota mpaka vichwa vya treni visivyo na mwenyewe pale bandarini.... Wakati ubavuni vina Nembo ya TRL

Kwanza viliokotwa vichwa vya treni, akaja kuokota magari ambulance, akapima mapapai yana corona, mzee wetu alikua na fix za hatari, kuna sehemu alikua anatudanganya hadi wenyewe tunastuka maana alikua anatupiga ndefu hatari
 
Samia ni bahati mbaya alikuta uchumi wa nchi umeshavurugika, mikopo yenye riba kubwa hivo anapambana na vitu vingi kulipa mikopo hatari aliyokopa mwamba, kurudisha ahueni kwenye mifuko ya jamii, kutafuta mikopo nafuu ya kufund miradi ya kimkakati ya Magufuli, aifungue nchi, avutie mitaji yaani anajitahidi kiasi chake basi tu ni vile watanzania nongwa sana
 
Kilichotokea siku ile wanafunzi walirudi nyumbani saa nne asubuhi alafu wakatakiwa kurudi tena shule magari ya adventure na Saratoga yakafanya kazi ya kuwapeleka uwanjani, japo kuna wengi walienda kwa hiyali yao lakini mabasi yalifanya kazi ya kutosha
Tufanye Basi moja libabeba watu 100, je umati ule hizo gari zitabeba watu mara ngapi kujaza uwanja ule?
 
Back
Top Bottom