Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wrong approach.
Inatakiwa umeme umsaidie mzawa kujikwamua kiuchumi na sio kumwezesha mgeni kuja kushika vyanzo vya uchumi vya Taifa hili.
Kuendelea kufikiria kuwa wageni ndio wataleta maendeleo yetu badala ya sisi wenyewe ni makosa yanayojirudia kila mara katika awamu hii.
Are sure that you are okay Mentally?Muache mama apige kazi. Mbona hata ziara za vichadema huwa malori na mabasi yanahusika
Wewe utakuwa mjinga Sana,unaweza kuchota watu wote wale kujaza uwanja?Mliokuwepo huko kwa Watani zangu Washamba ( Mambwiga ) Waha kutoka Mkoani Kigoma tafadhali GENTAMYCINE nawaombeni mnijuze zaidi ili nami niamini kuwa 'Mtu' nae anakubalika na Watanzania.
Wivu tuu unawasimbua na kuweweseka,angalia mikutano yote aliyofanya kuanzia akiwa Mbeya,Njombe Hadi Iringa..Kweli hata mimi nilijiuliza
Wanakigoma walijitokeza kwa wingi kushuhudia mambo ambayo yalishindikana katika awamu zote tano (5)Mliokuwepo huko kwa Watani zangu Washamba ( Mambwiga ) Waha kutoka Mkoani Kigoma tafadhali GENTAMYCINE nawaombeni mnijuze zaidi ili nami niamini kuwa 'Mtu' nae anakubalika na Watanzania.
Wanakigoma walijitokeza kwa wingi kushuhudia mambo ambayo yalishindikana katika awamu zote tano (5)
Kigoma ndio lango la magharibi la kiuchumi soon Kigoma itastaajabisha nani haki yake pia Ina kila potential za kuliletea taifa letu 1/4 ya mapato ya kiuchumi.
Elitwege na nduguze waliona Kuna korona kwenye mapapai hawa watu hawa tanuru lao la kuchemshia watu bado lipo pale muhimbili?
Nchi imepitia kipindi kigumu sana.... Maana tuliwahi kuokota mpaka vichwa vya treni visivyo na mwenyewe pale bandarini.... Wakati ubavuni vina Nembo ya TRLElitwege na nduguze waliona Kuna korona kwenye mapapai hawa watu hawa tanuru lao la kuchemshia watu bado lipo pale muhimbili?
Acha unafiki wako mimi nilikuwepo tulikwenda wenyewe kwa miguu yetu!Kilichotokea siku ile wanafunzi walirudi nyumbani saa nne asubuhi alafu wakatakiwa kurudi tena shule magari ya adventure na Saratoga yakafanya kazi ya kuwapeleka uwanjani, japo kuna wengi walienda kwa hiyali yao lakini mabasi yalifanya kazi ya kutosha
Nchi imepitia kipindi kigumu sana.... Maana tuliwahi kuokota mpaka vichwa vya treni visivyo na mwenyewe pale bandarini.... Wakati ubavuni vina Nembo ya TRL
Vip mkuu siku hizi hutetei tena legacy? Umekubali kweli Samia kujaza watu wengi kuliko mungu wenu Jiwe?Si uthibitishe wewe mwenye mashaka ZE POPOMA
Tufanye Basi moja libabeba watu 100, je umati ule hizo gari zitabeba watu mara ngapi kujaza uwanja ule?Kilichotokea siku ile wanafunzi walirudi nyumbani saa nne asubuhi alafu wakatakiwa kurudi tena shule magari ya adventure na Saratoga yakafanya kazi ya kuwapeleka uwanjani, japo kuna wengi walienda kwa hiyali yao lakini mabasi yalifanya kazi ya kutosha