Rais Samia: Tuna ‘crisis’ ya umeme, tunafanya ukarabati wa mashine

Makamba alisema hivyo hivyo tangu ateuliwe yeye anasema Leo tena

Maharage alisema ishu ni maji Leo Samia amasema mitambo

Hamna Rais hapo ni kilemba tu

USSR
Tulieni jamani Mama anarekebisha mitambo kidogo!
Tanzania imepatikana safari hii!!🤣🤣🤣🤣
 
Bado anaimba chorus ya Bwana mdogo wakati wenzie wamerukia kwenye uhaba wa maji!

Yaani kila akijitutumua,anatoa Boko!

Ndiyo unaelewa kwa nini washauri wa kufikirika wamekuwa wakilalamikiwa kila wakati.
 
«crisis» gani kila mwaka ikifika miezi fulani umeme unasuasua? Same ol’ shit year in, year out tokea awe rais. Enzi zs Magufuli hakukuwepo hii adha. Mara mitambo inatengenezwa mara hali ya hewa??!! Kwanini hakuna mipango madhubuti ya kutumia nishati mbadala kama gesi na ikiiwezekana hata mafuta kuzalisha umeme?
 
Kwanini na wewe ni msahaulifu kiasi hicho? Mwaka jana walisema Magufuli hakuwahi kufanyia maintenance hivyo wanazima ili wafanye jambo hilo
 
Kwanini na wewe ni msahaulifu kiasi hicho? Mwaka jana walisema Magufuli hakuwahi kufanyia maintenance hivyo wanazima ili wafanye jambo hilo
Rudia kusoma nilichosema....... Nimesema and I Qoute...
Ni pesa ngani tumeshatumia katika Maintenance alizosema Makamba kwamba zikiisha na Mgao utaisha ?
 
Haya yote yanafanyika kwasababu hatuna chama cha upinzani.

Lisdu anawlemewa wengine qote wapo kusaka tonge ndio maana wanatafuta mwafaka na ccm
 
Tuliambiwa muda mrefu Sana kuna ukarabati wa mashine je makamba na maharage walikuwa wanafanya nini muda wote huo kama bado ukarabati upo?

samia kapuyanga hapo habari za kusema mitambo haikufanyiwa service muda mrefu tumesikia tangu mwaka 2021 leo unarudia yale yale je hao vijana wako walikuwa wanaamka na kwenda kunywa chai ofisini kwa miaka miwili na nusu yote????????

Halafu leo unakuja kumtwika mzigo mhandisi wa watu na kumpa miezi 6

Ukiambiwa ukweli unasema unaziba masikio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…