Rais Samia: Tuna ‘crisis’ ya umeme, tunafanya ukarabati wa mashine

Mkuu wangu anayepaswa kuondoka kwenye utumishi wa umma ni mkubwa wao yaani aliyewateua.

Kwani alikuwa hapati intel ya majibizano kati ya wataalam na wahuni walioteuliwa?

Kwa nini aliwaacha waendelee hadi utokee mgao?

Mnajuaje kama waliagizwa iwe hivyo na wao bila hofu wakatekeleza? Wanalindwa kwa sababu ni asset ya aliyewaweka pale
 
swala anayewinda naona kaanza kujaa kwenye kipimo chamlengaji, ngoja tuone mwisho wake
 
Kwani Uraisi kuna mtu analazimishwa! kama anajua hafit bora awaachie wanaoweza.
 
Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Makamba alipoiingia alikuja na Wimbo huo huo mwa kutokakukarobatowa mitambo ,mpaka leo hiyo mitambo inakarabatowa tu ,huu mtawala ni wa hovyo kweli
 
duh
 
Makamba alisema hivyo hivyo tangu ateuliwe yeye anasema Leo tena

Maharage alisema ishu ni maji Leo Samia amasema mitambo

Hamna Rais hapo ni kilemba tu

USSR
Mwanasesere wetu
 
Makamba alisema hivyo hivyo tangu ateuliwe yeye anasema Leo tena

Maharage alisema ishu ni maji Leo Samia amasema mitambo

Hamna Rais hapo ni kilemba tu

USSR
Waongo waongo waongo kabisa! Shame on you people!
 
Jamani mkumbuke wkt wa JPM hakutaka kusikia kuwa mitambo imeharibika au ina hitilafu so nadhani kwa miaka 7 haijafanyiwa ukarabati kabisa kwa kumuogopa mzee...tumpe muda madam Prezdaa
 
Hapa ndio utagundua kuna kamchezo wanatuchezea, kipara ngwidu alisema mitambo na miundombinu imechakaa ndio sababu ya umeme kukatika akapewa mabilioni kwa ajili ya ukarabati, maharage ya Mbeya na yeye akaja na stori yake ya tofauti alafu bibi yao na yeye anakuja kusema eti wanafanya ukarabati wa mashine,
sasa swali linakuja ni ukarabati gani waliufanya kipindi kile cha kipara ngwidu kwa mabilioni yote Yale, na ni ukarabati gani wanaufanya sasa 🤔🤔 na anasema eti mitambo haija karabatiwa kwa muda mrefu, swali pia umepita muda gani tangu kipara ngwidu afanye ukarabati hadi sasa 🤔🤔
Pia kipara ngwidu alisema kipindi cha bwana mjomba mitambo ilikua haifanyiwi ukarabati ndio maana alivyo pewa wizara madhara yakaanza kuonekana, swali kwa nini kipindi kile mitambo ilivyo kua haifanyiwi ukarabati umeme ulikua haukatiki lakini kipindi amefanya ukarabati umeme ukaanza kukatika bila mpangilio🤔🤔
Hivi hawa jamaa Wana ajenda gani hasa 🤔🤔 alafu mbona kwao chamba wima umeme haukatiki kama huku 🤔🤔
 
Umeme umekuwa kizungumkuti
 
Huyo nitegemeo kwenye wizi wa kura kimtandao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…