Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Angalau na wewe umeanza kuguswa na kero za nchi hii [emoji1787]Aisee nimeshangaa rais anaongea as if ni issue ndogo tu na alimuweka waziri hapo miaka zaidi ya miwili huu ni upumbavu.
Cha kushangaza huyo January amezawadiwa nafasi nyingineHuu upuuzi sasa. Huyo waziri makamba muda wote huu aliokuwa madarakani alikuwa anakarabati nini? Makamba akamatwe mara moja. Mama samia unaanza kuniudhi unajibu majibu mepesi kwenye maswali mazito.
Januari na maharage wanatakiwa kiwa ndani muda huuCha kushangaza huyo January amezawadiwa nafasi nyingine
Wakati ilitakiwa awekwe ndani.
Na amezawadiwa na Rais..
Huyu Rais utasemaje ni mzalendo wakati anawazawadia vyeo majizi?
Yeye tumuoneje kama amewakumbatia matapeli wa nchi,?
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mimi huwa kwenye upumbavu sikwepeshi .Angalau na wewe umeanza kuguswa na kero za nchi hii [emoji1787]
Safi sana.
Siyo kuimba mapambio muda wote.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Yeye yupo busy kuwwzawadia vyeo.Januari na maharage wanatakiwa kiwa ndani muda huu
Anakera aiseeeMimi huwa kwenye upumbavu sikwepeshi .
Vipi biblia inasemaje?Bora Tanganyika ingekuwa nchi ya Kiislamu.
Wamama wote wangeishia tu kupika jikoni.
Na ni mwiko kwenda Mbugani.
Sisi tunatulia huku mmama anaongea.
Hii haikubaliki hata kidogo.
Shehe Mazinge unalinaje hili?
Na Mujahidina FaizaFoxy,
Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Serkali ya watu wenye ubunifu mdogo huwa haina majibu!
Hii stori tu.Huyu Hangaya hana kauli yoyote....anasubiri remote itoe signal ndio afungue mdomo.
👇👇....c&p
Gangsters in Suit.
KIPARA na Maharage mwezi Machi 2023, waliagiza na kuamuru maji katika bwawa la Mtera (Catchment area; 68,000 km² (26,000 sq mi)) yafunguliwe na kumwagika nje.
Hoja yao; Maji yangelijaa sana na yangelipasua bwawa la Mtera. Wahandisi na wataalam kutoka katika bwawa la Mtera wakapinga jambo hilo kitaalam.
Wataalam na wahandisi kutoka Mtera wakawaleza hifadhi ya maji (reservoirs) kwenye Rock-fill dam hutumika kwa shughuli nyingi siyo Hydropower tu.
Hifadhi ya maji (reservoirs) kwenye Rock-fill dam (kama Mtera) hutumika hata katika irrigation, human consumption, industrial use, aquaculture, na navigability.
Lakini kwa mamlaka yao, KIPARA na Maharage wakaagiza kwa lazima maji yafunguliwe katika bwawa la Mtera. Maji yakafunguliwa.
Maji hayakujaa tena katika bwawa la Mtera, kwa sababu mvua zilipotea. Sasa nchi yetu inapitia mgao mkali wa umeme kwa sababu ya wahuni.
Septemba 2023 mgao umekuwa mkali na wanaohusika na umeme wanajitetea kwamba kuna upungufu wa uzalishaji umeme kwenye mabwawa kutokana na ukame.
Kuliko kuwahamisha kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine, hawa ‘wahuni’ walipaswa kupumzika utumishi wa umma. Hawatufai.
Tunataka kuamini kwamba ‘Rais ni taasisi’ na Rais anatakiwa kuwaondoa katika utumishi wa umma hawa wahuni. Haitakiwi kuwahamisha waharibifu kutoka ofisi moja kwenda nyingine.
Wakati hawa wahuni wakisubiri nje ya utumishi wa umma, Tunahitaji uchunguzi wa kamati maalum ya bunge katika jambo hili, haraka. Ingawa lenyewe ni dhaifu.
Haiwezekani wahuni wananufaika kuingiza na kuuza majenereta wakati wengine tunapata msoto wa mgao wa umeme. Wanatutia umaskini.
MMM, Mtikila.
Sawasawaanayetesa watu siyo makamba, hata yeye kaajiriwa tu na anamtumikia shetani pia …
Uongo na wanasiasa ni mapacha, tuliambiwa tatizo ni upungufu wa maji leo bitozo anasema ni ukarabati wa mitambo!Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Shida ni ukarabati wa mitambo au shida ni uzalishaji wa umeme.Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Unamshauri ajifunze primitivity?Vipi biblia inasemaje?
Uislam hakuna mahala umesema mwanamke ni mtu wa jikoni. Uislam unafundisha mwanamke kulishwa, kuvishwa, kuheshimiwa.
Nafahamu unaleta kejeli lakini tatizo lako kubwa huuelewi Uislam kuwa ndiyo mfumo wa maisha yako. Laiti ungeuelewa usingefanya kejeli.
Nakushauri usome Uislam kwa faida yako, ya familia yako na jamii kwa ujumla.
Samia amekuwa msemaji wa Tanesco tu hana lolote, mitambo inakarabatiwa pindi umeme unapokuwa hautoshi.Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme