Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwanini umemtoa Maharagwe ya Mbeya? Kwanini Waziri Mkuu na Biteko walimfukuza Maharagwe kikaoni?View attachment 2762890
Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Wanatuona wajinga sana hawa viongozi. Ujinga mwingi sana wanaongea.Naunga mkono hoja [emoji106] hata yule jamaa wa kupaka dawa kichwani aliongea uwongo msikitini kuwa jiwe hajaondoka duniani kumbe alishasepa mda tu [emoji23][emoji23] viongozi wa kibongo ni matapeli na ni hovyo bin wachumia matumbo yao
Kuna watu wajinga sana ndani ya nchi hii. Kuichagua CCM ndio umasikini wenyewe.Ukifika uchaguzi mijitu bado itaipigia CCM halafu ni mitoto ya maskini ikipewa laki inajua imemaliza Kila kitu
Samia anaongea kama kuku aliyekatwa kichwa.Pathetic!View attachment 2762890
Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Una hakika Zanzibar umeme haukatiki au unakurupuka tuMashine zipi mbona kwao zenji umeme haukatiki hovyo huyo mama nchi imemshinda
ulipomtoa dr kailemani pale wizarani ukamweka MweziWaKwanza kwa mbwembewe na mikogo mingi sana alisema hivyo hivyo, kwamba miundombinu ya umeme ni mikuukuu na nichakavu na wanaanza kuihuisha.View attachment 2762890
Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Zenji twala bataMashine zipi mbona kwao zenji umeme haukatiki hovyo huyo mama nchi imemshinda
Hawana akiliWanatuona wajinga sana hawa viongozi. Ujinga mwingi sana wanaongea.
Uzembe wa hali ya juu kabisaView attachment 2762890
Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Kaaa kimya chawa wa mama hujui kituUna hakika Zanzibar umeme haukatiki au unakurupuka tu
This is insulting our intelligence kwahio mpaka kesho hatuna plan B na tutaendelea kuwa na mapungufu kila pale ambapo so called maintenance zinafanyika ?Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Mwaka jana si ndo walisema wanazima wafanyie matengenezoView attachment 2762890
Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
MIAKA 61 YA UHURU.View attachment 2762890
Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme