LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 866
- 1,109
Tanzania tuna wasomi mbumbumbu ...unaweza kuangalia tofauti tu ya bajeti ya serikali katika vipindi tofauti utajua pia kwanini kiwango cha kukopa kimeongezeka..nafikiri tunatakiwa kupima ufanisi wa mikopo hasa kwenye utekelezaji wa bajeti ili kuona kama mkopo ulifanya kazi kulingana na malengo yake