Rais Samia: Tunaandaa mradi wa kuomba hela za kujenga stendi. Hayati Magufuli asingethubutu kusema kitu cha kujitweza utu wetu namna hiyo... never!

Rais Samia: Tunaandaa mradi wa kuomba hela za kujenga stendi. Hayati Magufuli asingethubutu kusema kitu cha kujitweza utu wetu namna hiyo... never!

Unaomba hela ya nini,si uuze ndege moja ujenge stand,stand inaingiza pesa nyingi Sana kwa siku kuliko ndege
 
Ccm itaendelea kutawala kwa kuwa ndiyo chama pekee kinachounganisha nchi kwa misingi ya visiwani na bara,dini..tofauti na vyama vingine ambavyo Aisha having uungwaji mkono pande mbili za muungano,na vinaungwa mkono kwa misingi ya dini na kabila
Bring back our 1.5 trillion za watanzania.
 
Ccm itaendelea kutawala kwa kuwa ndiyo chama pekee kinachounganisha nchi kwa misingi ya visiwani na bara,dini..tofauti na vyama vingine ambavyo Aisha having uungwaji mkono pande mbili za muungano,na vinaungwa mkono kwa misingi ya dini na kabila
Nchi sio chama,hata ikifa nchi itaendelea kuwepo
 
Magufuli alikuwa MWONGO na akasababisha hata wa chini yake kuwa waongo. Na hata alipokufa tuliendelea kuambiwa uwongo na Majaliwa kuwa yuko ofsini anapitia mafaili.

Rais SSH endelea kuwa mkweli, penye hatuna pesa ongeza tozo au kakope, period
JPM alikudanganya nini hebu fafanua kidogo.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
WanaCCM mmezoea unafiki na mnaona Mtu muwazi anawadhalilisha. Huyo u ayemsifia ndo kaua mashirika ya Umma Kwa mikopo kamdamizi, ndo kapaisha deni la Taifa kimyakimya Hadi nchi inanula madeni. Acheni unafiki.
Shirika gani la umma limekufa chini ya JPM fafanua tafadhali

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Achana na habari ya Magufuli, huyu 'Maza Mizinguo' ni mzinguaji kweli kweli!

Sasa anakwenda kuomba hela wapi?

Hata hivi vi-stendi tu navyo mpaka twende kupiga magoti? Miaka sitini baada ya kujitawala wenyewe? Sisi tunaweza kitu gani!
India/Pakistani kwa umri wa miaka chini ya 40, tayari walishakuwa na mabomu ya nuklia, sisi hata mashimo ya vyoo rais anakwenda kuomba hela!

Matokeo ya misimamo ya aina hii utaiona tu muda sio mrefu. Tumekuwa 'cheap' sana.

EeeeenHeeee, nakumbuka ile safari ya New York na jinsi tulivyoshushuliwa na wakubwa wa huko!

Waziri anakwenda kuweka kambi kabisa, lakini wapi, hakuambulia chochote. Sasa wanatutazama tu jinsi tunavyohangaika huku wakitupangia arobaini za kutuweka dole.

Hovyo kabisa!
Wewe msukule wa mbowe, mikopo unapinga na tozo unapinga.

Unataka nini ?

Atolewe makengeza jela aje kukupelekea moto ?
 
Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"

_______________________________________________

Magufuli anabiringika kaburini...

Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri... na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi...

Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia...

Mpaka stendi tunaomba hela?

Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela ?

Nimesikitika kupita maelezo.... tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo...



Tatizo lako ulishazoea kudanganywa na meko

Meko alikuwa anaomba pesa zote kimya kimya.

Samia anaongea ukweli na hafichi

Wewe tulia utaona mabadiliko mengi sana ndani ya kipindi kifupi kwa sababu mama sio mwizi tofauti na jambazi meko
 
Back
Top Bottom