Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maanisha niniWewe ndiye wakala wa mazuzu.
Huwezi kuitenga tanzania kutoingia kwenye ulimwengu wa mabadiliko ya kiuchumi maana tanzania siyo kisiwa cha burigi
Bring back our 1.5 trillion za watanzania.Ccm itaendelea kutawala kwa kuwa ndiyo chama pekee kinachounganisha nchi kwa misingi ya visiwani na bara,dini..tofauti na vyama vingine ambavyo Aisha having uungwaji mkono pande mbili za muungano,na vinaungwa mkono kwa misingi ya dini na kabila
Kanawe kwanza usoni utoe matongotongoUna maanisha nini
Nchi sio chama,hata ikifa nchi itaendelea kuwepoCcm itaendelea kutawala kwa kuwa ndiyo chama pekee kinachounganisha nchi kwa misingi ya visiwani na bara,dini..tofauti na vyama vingine ambavyo Aisha having uungwaji mkono pande mbili za muungano,na vinaungwa mkono kwa misingi ya dini na kabila
Marehemu alikua wa hovyoBring back our 1.5 trillion za watanzania.
JPM alikudanganya nini hebu fafanua kidogo.Magufuli alikuwa MWONGO na akasababisha hata wa chini yake kuwa waongo. Na hata alipokufa tuliendelea kuambiwa uwongo na Majaliwa kuwa yuko ofsini anapitia mafaili.
Rais SSH endelea kuwa mkweli, penye hatuna pesa ongeza tozo au kakope, period
Jibu zuri sana kwa huyo mchumia tumbo wa lumumbaNchi sio chama,hata ikifa nchi itaendelea kuwepo
Lkn kuna watu hawaoni huo mchezoMarehemu alikua wa hovyo
Nenda kaongee naye akuambie alivyokuwa anadanganya
Shirika gani la umma limekufa chini ya JPM fafanua tafadhaliWanaCCM mmezoea unafiki na mnaona Mtu muwazi anawadhalilisha. Huyo u ayemsifia ndo kaua mashirika ya Umma Kwa mikopo kamdamizi, ndo kapaisha deni la Taifa kimyakimya Hadi nchi inanula madeni. Acheni unafiki.
Kuna tofauti Kati ya nchi na taifa,nchi ni ardhi tu,inapokua na watu ndiyo taifa,watu hawaendi Bila muongozoNchi sio chama,hata ikifa nchi itaendelea kuwepo
Wewe msukule wa mbowe, mikopo unapinga na tozo unapinga.Achana na habari ya Magufuli, huyu 'Maza Mizinguo' ni mzinguaji kweli kweli!
Sasa anakwenda kuomba hela wapi?
Hata hivi vi-stendi tu navyo mpaka twende kupiga magoti? Miaka sitini baada ya kujitawala wenyewe? Sisi tunaweza kitu gani!
India/Pakistani kwa umri wa miaka chini ya 40, tayari walishakuwa na mabomu ya nuklia, sisi hata mashimo ya vyoo rais anakwenda kuomba hela!
Matokeo ya misimamo ya aina hii utaiona tu muda sio mrefu. Tumekuwa 'cheap' sana.
EeeeenHeeee, nakumbuka ile safari ya New York na jinsi tulivyoshushuliwa na wakubwa wa huko!
Waziri anakwenda kuweka kambi kabisa, lakini wapi, hakuambulia chochote. Sasa wanatutazama tu jinsi tunavyohangaika huku wakitupangia arobaini za kutuweka dole.
Hovyo kabisa!
Waelewa wanajua,wasiofuatilia Mambo no wengi,hawajuiLkn kuna watu hawaoni huo mchezo
[emoji848][emoji848] ama kweli Chadema kumejaa wavuta bangi tu, kazi kuropoka tu hakuna facts.Nenda kaongee naye akuambie alivyokuwa anadanganya
Ccm ndiyo chimbuko la kina Hamza gaidi[emoji848][emoji848] ama kweli Chadema kumejaa wavuta bangi tu, kazi kuropoka tu hakuna facts.
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Kina Hamza ndiyo wamejaa ndani ya ccmWaelewa wanajua,wasiofuatilia Mambo no wengi,hawajui
Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"
_______________________________________________
Magufuli anabiringika kaburini...
Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri... na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi...
Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia...
Mpaka stendi tunaomba hela?
Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela ?
Nimesikitika kupita maelezo.... tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo...
HahahaaKina Hamza ndiyo wamejaa ndani ya ccm
Amin amin nakwambia,bila CCM kuwekwa pembeni,hii inchi haitakaa itoke hapa ilipo.Basi tusimlaumu mtu mwingine bali walioiua kwa makusudi.