Rais Samia: Tunaandaa mradi wa kuomba hela za kujenga stendi. Hayati Magufuli asingethubutu kusema kitu cha kujitweza utu wetu namna hiyo... never!

Rais Samia: Tunaandaa mradi wa kuomba hela za kujenga stendi. Hayati Magufuli asingethubutu kusema kitu cha kujitweza utu wetu namna hiyo... never!

Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"

_______________________________________________

Magufuli anabiringika kaburini...

Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri... na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi...

Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia...

Mpaka stendi tunaomba hela?

Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela ?

Nimesikitika kupita maelezo.... tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo...



Aibu tupu!Kujenga stand yunatembeza bakuli!Stand!Duh.Huyu mama anatudhalisha jamañi. Ni kweli tumerudi kwa Msoga.Halafuu,hivi haoni aibu kusema vitu kama hivi?
 
Aibu tupu!Kujenga stand yunatembeza bakuli!Stand!Duh.Huyu mama anatudhalisha jamañi. Ni kweli tumerudi kwa Msoga.Halafuu,hivi haoni aibu kusema vitu kama hivi?
Utamtambuaje kuwa yeye ni mwana ccm?
 
Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"

_______________________________________________

Magufuli anabiringika kaburini...

Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri... na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi...

Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia...

Mpaka stendi tunaomba hela?

Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela ?

Nimesikitika kupita maelezo.... tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo...



tulikuwa tunakopa sana ila hatusemi, tatizo la mama hapa ni kuwa mkweli
 
Jpm alikuwa haelewi chochote. Ndo mana alikuwa anakomba hazina yote inabaki empty mpaka anakosa hela za kupandisha mishahara yawatumisi, ajira hakuna mpaka anafikia hatua ya kujazamachnga barabarani kisa ameshaona ameharibu angalau ngoja liende tu hivyohivyo.

Alifikia hatua yeye mwenyewe hajuu ashuke lipi aache lipi. Anapuyanga tu huku maisha yakiendelea kuwa magumu.

Watu wenye akiri hukopa navkukiri kuwa we ni maskini pasipo kujimwambafy wakati unajua kabisa huna lolote ila unawaumiza tu wananchi

Nina wasi wasi atakuwa alijinyonga baada ya kuona ubabe wake hauna msaada jamii inazidi kulia na kusaga meno. Sema kama huna hela wakuidie katika famulia siyo unajigamba una hel wakati watoto wako wanakufa kwa kwashiokor na hunali ilimradi unaweka heshima bar
Na hii ni kwa sababu, alivuruga mfumo wote wa kibajeti. Yaani yeye ndiyo akawa mkusanya fedha, mgawaji na msimamizi jambo ambalo alikuwa haliwezi na liliishia kum frustrate... Hivi uliona wapi duniani rais anapita akigawa fedha barabarani, na akipita mikoani unasikia anasema wiki ijayo naleta 50 bilioni hapa huku anaelekeza hiki na kile. Yaani yeye amekuwa bunge sasa...
 
Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"

_______________________________________________

Magufuli anabiringika kaburini...

Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri... na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi...

Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia...

Mpaka stendi tunaomba hela?

Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela ?

Nimesikitika kupita maelezo.... tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo...



Wewe mjinga sana, kwani hujui kuwa fedha za Magufuli zilitikana na kodi zulumat.
Na kuna sehemu za nchi fedha za maendeleo hazikupelekwa kabisa.
Tuwe tunafikiri.
 
Na hii ni kwa sababu, alivuruga mfumo wote wa kibajeti. Yaani yeye ndiyo akawa mkusanya fedha, mgawaji na msimamizi jambo ambalo alikuwa haliwezi na liliishia kum frustrate... Hivi uliona wapi duniani rais anapita akigawa fedha barabarani, na akipita mikoani unasikia anasema wiki ijayo naleta 50 bilioni hapa huku anaelekeza hiki na kile. Yaani yeye amekuwa bunge sasa...
Yue jamaa alikuwa na faili Milemne.
Mwenyekiti wa CCM Mwanza ndg Diallo alithibitisha.
 
Hivi Tanzania ya sasa inaona sifa kuendelea kuwa ombaomba kama taifa?
Hivi Unajua mapato yetu kwa mwaka na matumizi yetu kwa mwaka? Wewe kama nyumbani kwako huna pesa ya kula huwa unaacha watoto wako wafe njaa au utaenda kukopa hata unga kwa Mangi upike uji?
 
... Na hata alipokufa tuliendelea kuambiwa uwongo na Majaliwa kuwa yuko ofsini anapitia mafaili.
Acha akili za utotoni kwa umri huo mpaka umeingia JF.

Ulisikia au kuona wapi Rais wa nchi anafariki mf. 08:45hrs na 09:00hrs wanatangaza msiba?.
 
Hivi Unajua mapato yetu kwa mwaka na matumizi yetu kwa mwaka? Wewe kama nyumbani kwako huna pesa ya kula huwa unaacha watoto wako wafe njaa au utaenda kukopa hata unga kwa Mangi upike uji?
Ndiyo maana tunahitaji katiba mpya itakayo mpunguzia mkuu wa nchi madaraka ya kufanya atakavyo.
 
Acha akili za utotoni kwa umri huo mpaka umeingia JF.

Ulisikia au kuona wapi Rais wa nchi anafariki mf. 08:45hrs na 09:00hrs wanatangaza msiba?.
Twambie basi wewe unaye yajua hayo mambo
 
Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"

_______________________________________________

Magufuli anabiringika kaburini...

Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri... na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi...

Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia...

Mpaka stendi tunaomba hela?

Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela ?

Nimesikitika kupita maelezo.... tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo...



Mama ana ile ngo yake ikitegemea ombaomba kwa wazungu. Ile mentality haijamtoka licha ya kua na magufuli na kuona uwezo wetu wenyewe kujenga stendi kwa hela na nguvu zetu. Sisi sio maskini bhana ila mabeberu wametupandikizia hisia ya kua sisi maskini.
 
Back
Top Bottom