Kuandika proposal siyo jambo dogo. Sijui kama naeleweka......kusema vitu kama hivi?
Ndio waseme yupo anapiga kazi?Acha akili za utotoni kwa umri huo mpaka umeingia JF.
Ulisikia au kuona wapi Rais wa nchi anafariki mf. 08:45hrs na 09:00hrs wanatangaza msiba?.
Hapa Maza kazingua kinoma 🤣🤣..Kukopa sio shida shida ni Kukopa kwa ajili ya kujenga stendi..Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"
_______________________________________________
Magufuli anabiringika kaburini...
Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri... na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi...
Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia...
Mpaka stendi tunaomba hela?
Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela ?
Nimesikitika kupita maelezo.... tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo...
Mkuu JPM ni hayati, hana uhai tena. Ni kama vile unafanya kufuru kumuongelea mtu ambaye hawezi kuongea wala kujitetea kwa lolote lile.Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "Kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"
____________________________________________
Magufuli anabiringika kaburini.
Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri, na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi.
Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia.
Mpaka stendi tunaomba hela?
Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela?
Nimesikitika kupita maelezo. Tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo.
Kama ingekuwa ni awamu ya 5 mwamba JPM angetoa mfukoni mwake bila shida.Lakini hivi kijenga sten yq billion 20 tunashindwa hadi tukqombe mkopo wakati makusanyo ni trillion 1.6 mwa mwezi
JPM aliharibu kabisa vichwa vya watanzania. Aliwajaza viburi visivyo na maana, yeye mwenyewe alitegemea misaada huku akiongea kama vile ni pesa imetoka mfukoni mwake mwenyewe!.Hapa Maza kazingua kinoma 🤣🤣..Kukopa sio shida shida ni Kukopa kwa ajili ya kujenga stendi..
Na bahati mbaya mastendi yoote huko mijini ni mamikopo ya WB sijawahi waelewa serikali kukopa.kujenga stendi na masoko
Kama ingekuwa ni awamu ya 5 mwamba JPM angetoa mfukoni mwake bila shida.Lakini hivi kijenga sten yq billion 20 tunashindwa hadi tukqombe mkopo wakati makusanyo ni trillion 1.6 mwa mwezi
Magufuli alipenda sana watu aina yako kwa sababu alijua akili zenu hazina akili.Magufuli anabiringika kaburini.
Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri, na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi.
Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia.
Mpaka stendi tunaomba hela?
Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela?
Nimesikitika kupita maelezo. Tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo.
Iko Fact ya Kisaikolojia kuwa Tunazaliwa Sote na Akili lakini Akili hizo ni Elastic in nature. Activeness yake inategemea imekuzwa Vipi. Kama unalelewa katika mazingira ya kuamini wewe huwezi mpaka wengine wakusaidie utabakia hivyo hivyo na hutaweza kweli. Kuna watu Elimu ya Kikoloni imewafikisha hapo walipo leo. Makovu ya kikoloni yapo mpaka kwenye MEDULA OBLANGATA. Kumbukumbu zao ni kwamba hawawezi.Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "Kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"
____________________________________________
Magufuli anabiringika kaburini.
Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri, na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi.
Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia.
Mpaka stendi tunaomba hela?
Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela?
Nimesikitika kupita maelezo. Tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo.
Kwa hiyo, kusema kuwa tunahitaji pesa za Mikopo ili tujenge stendi ndio kusema ukweli. Inaelekea hujui tofauti kati ya FACT and TRUTH. Kuhitaji Pesa ya msaada wa kujenga stendi Ni FACT lakini is not a necessary TRUTH kuwa Bila msaada huwezi kujenga Stendi. Elimu isipokusaidia kutafakari mambo na kuyaona katika muktadha Taandavu unakuwa unabakia kama Dodoki tu lilivyofyonza Maji na linakuwa haliwezi kufanya lolote.Magufuli alikuwa MWONGO na akasababisha hata wa chini yake kuwa waongo. Na hata alipokufa tuliendelea kuambiwa uwongo na Majaliwa kuwa yuko ofsini anapitia mafaili.
Rais SSH endelea kuwa mkweli, penye hatuna pesa ongeza tozo au kakope, period
Jinga kabisa nyie, hakuna siku mtajitegemea hata kidogo na bado mtaomba za kujenga vyoo.Magufuli alikuwa MWONGO na akasababisha hata wa chini yake kuwa waongo. Na hata alipokufa tuliendelea kuambiwa uwongo na Majaliwa kuwa yuko ofsini anapitia mafaili.
Rais SSH endelea kuwa mkweli, penye hatuna pesa ongeza tozo au kakope, period
Mbona unajadili kishamba? Kwa hiyo,akitawala mpaka 2040 ndio utapata uwezo wa kujenga Stendi bila kuomba?Na wewe ni yatima au mjane wa Sukuma gang?
Mama Samia ni yeye mpaka 2040 elewa hili kwanza ili usipate kisukari bure.
Tujitegemee hiyo quòte ni yangu kweli.Kuandika proposal siyo jambo dogo. Sijui kama naeleweka.
Yaani maana yake na mvimbe mpasuke, Samia Suluhu mbele kwa mbele mpaka 2040.Mbona unajadili kishamba? Kwa hiyo,akitawala mpaka 2040 ndio utapata uwezo wa kujenga Stendi bila kuomba?
Mbele ni wapi kwani?Yaani maana yake na mvimbe mpasuke, Samia Suluhu mbele kwa mbele mpaka 2040.
Una uhakika kuwa hakutembeza bakuli? Nini kiliongeza deni la taifa?Kama hoja yako ni sahihi, basi wa kulaumiwa ni Watanzania (wewe pia) na vyombo vya habari kukubali kulishwa matango pori na mtu mmoja tu. Kama ni hivyo, basi Magufuli alikuwa mwamba na "genious".
Lakini kwangu mimi na wenye mawazo kama yangu, Magufuli alikuwa mkweli, alijiamini na mwenye "utashi wa kisiasa" (uzalendo) wa hali ya juu, kiasi alifanikiwa kuwafanya WaTz kujiamini. Ushahidi ni maendeleo ya nchi, katika sekta zote (huduma za jamii na miradi ya kimkakati), kwa kipindi kifupi, bila kutoka nje ya nchi kutembeza bakuli la omba omba.