Rais Samia: Tunaandaa mradi wa kuomba hela za kujenga stendi. Hayati Magufuli asingethubutu kusema kitu cha kujitweza utu wetu namna hiyo... never!

Rais Samia: Tunaandaa mradi wa kuomba hela za kujenga stendi. Hayati Magufuli asingethubutu kusema kitu cha kujitweza utu wetu namna hiyo... never!

Unajua hali ya kimaisha ya raia wa kawaida wa India na Pakistan? Hao jamaa wakipata hata nafasi ya kuja hapo TZ hawakubali tena kurudi kwao! Korea Kaskazini wana kila aina ya bomu, wanajenga na Nyuklia pia lakini asilimia kubwa ya wananchi wake wanashindia mlo mmoja! BTW hakuna nchi isiyokopa au kusaidiwa kwa namna moja ama nyingine! Kutawala ingekuwa ni majaribio natamani nyie watu mngepewa miaka 5 muongoze hii nchi tuone hizo "akili kubwa" zenu
Ninaijua vizuri sana, na usidhani nilipoandika hivyo sikuitambua hali hiyo; lakini husikii lugha anayotumia Samia ikitumiwa na Waziri Mkuu wa India. Huwezi hata mara moja akizungumza namna hiyo.
Hata hivyo, usisahau kuwa India imo kati ya nchi za G20, au hujui maana yake ni nini?

Unasubiri India wakakope kujenga vituo vya mabasi? Hivi unaelewa unachokiandika hapa wewe? Ni wapi nilipoandika kwamba nchi "hazikopi", lakini kukopa kwenda kujenga mashimo ya choo?

Wewe nilishakueleza toka mwanzo, hilo jina ulilojipajchika haliendani kamwe na akili yako.
 
Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "Kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"

____________________________________________

Magufuli anabiringika kaburini.

Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri, na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi.

Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia.

Mpaka stendi tunaomba hela?

Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela?

Nimesikitika kupita maelezo. Tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo.



kila mtu na mtindo wake wa uongozi jamani. Magufuli namna yake SAMIA NAMNA YAKE
 
Wewe msukule wa mbowe, mikopo unapinga na tozo unapinga.

Unataka nini ?

Atolewe makengeza jela aje kukupelekea moto ?
Ninakusikitikia sana wewe 'Mzee", kwa sababu nilidhani unayo akili ya kutosha kichwani, kumbe umebeba kopo lililojazwa kamasi juu ya shingo yako.
 
Lakini hivi kijenga sten yq billion 20 tunashindwa hadi tukqombe mkopo wakati makusanyo ni trillion 1.6 mwa mwezi
Kama siyo mchumi au Mhasibu huwezi kuelewa. Kuna kitu kinaitwa trade off kati ya borrowing and equity, opportunity cost ya investment etc
 
…..eti yupo ofisini anapitia mafaili…ahhaaaaaa!
Awamu ya 5 chini ya Mwendazake ilikuwa ni ya UWONGO kwa kila kitu. Takwimu za uchumi alikuwa anasema unakuwa kwa 7.8% wakati ni 4.2%. Wenzie COVID-19 wanaosema ipo, Magufuli anakataa pamoja na kwamba Watu wake wa karibu kama Mahiga, Ndasa, Kijazi walikufa kwa ugonjwa huo. Yale yalikuwa maisha ya UWONGO, Wizi, Kejeli, Hasira, Chuki, Mauaji na Matusi tu. Tumepitia kipindi kibaya
 
Hivi kuna raisi WA tz aliyekopa hela nyingi Kwa muda mfupi kama Rais Magufuli?

Pitia hotuba ya Dr mpango 2019 kuhusu deni la Taifa akituambia kuwa linavumilika Kwa sababu inawekezwa kwenye miradi ya maendeleo.

Mpaka sasa Magufuli anashikiria rekodi ya kukopa pesa nyingi kuliko raisi yoyote Tanzania katika kipindi kifupi.
Angalia mikopo serikali ya Magufuli iliyokopa world Bank.

All News

List of all news about the World Bank’s development work in Tanzania, including press releases, loans and credits, speeches, blog posts, and more.
www.worldbank.org

Standard gauge ela imekopwa Kwa mabeberu Sweden na Norway kupitia standard chartered Bank.
Tanzania signs $1.46 billion loan for standard gauge railway construction

Mpaka mwaka 2020 deni la Taifa lilifika Zaid ya shilling trilioni 70 Sawa na 54% ya uchumi wetu.
Tanzania's debt surging, but government says it’s still sustainable | The East African

Wakati mtangulizi wake alikuwa deni la Taifa mwaka 2005 ni Dola bilioni 7 ndani ya miaka 10 deni la Taifa likaongezeka mpaka dola bilioni 18,2015 yaani ongezeko la Dola bilioni 11.

Wakati raisi Magufuli deni la Taifa lilifika Dola bilioni 30.63, ongezeko la bilioni 12 ndani ya miaka mitano Tu.
countryeconomy.com

Tanzania National Debt 2015


countryeconomy.com

Tz ni nchi masikini sana na tupo ndani ya nchi 33 masikini zaidi duniani Kwa kuzingatia GNI per capita, kutembeza bakuli hakuepukiki. Karibu miradi yote ya Magufuli imejengwa Kwa pesa za mkopo.
Kikubwa tuliona zikifanya kazi na hatukusikia masharti ya ajabu.
 
Magufuli alikuwa MWONGO na akasababisha hata wa chini yake kuwa waongo. Na hata alipokufa tuliendelea kuambiwa uwongo na Majaliwa kuwa yuko ofsini anapitia mafaili.

Rais SSH endelea kuwa mkweli, penye hatuna pesa ongeza tozo au kakope, period

What happened to our self reliance philosophy? Nchi omba omba haiwezi kuheshimiwa; we should do away with the mkwere dependency syndrome!!!
 
Magu alikuwa mkweli na makwepa kodi mengi yaliminywa yakatoa kodi akaendeleza miradi acha kubwabwaja ujinga.......
Ulishawahi ona Magu kapanda ndege kwenda kuomba pesa kwa mzungu!!???
Ila kwa jitu lenye fikra fupi na jizi huwa yanapenda kumponda Magu....
Angeoandaje Ndege wakati alikuwa anaishi kwa ka betri ya kumsaidia kuongeza kasi ya moyo?

Angeongea lugha gani wakati wenzie wanapiga English? Ile broken ndiyo ulitaka akatudhalilishe majuu? Yule alikuwa wa hapahapa tu
 
Katika miaka kumi ya utawala wa awamu ya nne, kwa taarifa hiyo, deni liliongezeka kwa $ 11 bilioni. Swali la kujiuliza "hilo deni lilitumika kufanya nini?" Vivyo hivyo tujiulize deni, katika utawala wa awamu ya tano, liliongezeka maradufu ($12 bilioni), ndani ya miaka 5, limetumikaje? Je, awamu ya sita tunakopa kwa ajili ya nini?
Wasukuma mnajidhalilisha sana, sidhan kama kuna mtu timamu kwa kizazi kijacho atao sukuma gang member.
 
JPM alikudanganya nini hebu fafanua kidogo.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Alisema atauza korosho kupitia TPDF Kilo moja kwa Tsh 3,000 na akaaamuru wakulima wasiuze kwa Kangomba na makampuni ya Wahindi.

Amekufa kuna watu mpaka leo hawajalipwa kuanzia mwaka 2018. Badala ya kupeleka sampuli za damu kwenye PCR machine, yeye alipeleka mapapai na oili chafu. Sasa alitegemea anamdanganya nani? Ndiyo maana Nan COVID 19 ikamswaga na wapambe wake kina Kijazi
 
Omba omba katika ubora wetu,

Nchi ina madini lakini inaomba fedha za kujenga stendi.
 
Achana na habari ya Magufuli, huyu 'Maza Mizinguo' ni mzinguaji kweli kweli!

Sasa anakwenda kuomba hela wapi?

Hata hivi vi-stendi tu navyo mpaka twende kupiga magoti? Miaka sitini baada ya kujitawala wenyewe? Sisi tunaweza kitu gani!
India/Pakistani kwa umri wa miaka chini ya 40, tayari walishakuwa na mabomu ya nuklia, sisi hata mashimo ya vyoo rais anakwenda kuomba hela!

Matokeo ya misimamo ya aina hii utaiona tu muda sio mrefu. Tumekuwa 'cheap' sana.

EeeeenHeeee, nakumbuka ile safari ya New York na jinsi tulivyoshushuliwa na wakubwa wa huko!

Waziri anakwenda kuweka kambi kabisa, lakini wapi, hakuambulia chochote. Sasa wanatutazama tu jinsi tunavyohangaika huku wakitupangia arobaini za kutuweka dole.

Hovyo kabisa!
Kama tuliweza kula na kunywa chini ya shetani sidhan kama kuna gumu lolote litatuweza. Hata wamweke kobe kuongoza hatuna shida. If you managed to survive under Jiwe then nothing else can defeat you.
 
Acha akili za utotoni kwa umri huo mpaka umeingia JF.

Ulisikia au kuona wapi Rais wa nchi anafariki mf. 08:45hrs na 09:00hrs wanatangaza msiba?.
TODAYS angalia kama unazo akili au kichwa chako kina kamasi. Magufuli alikufa tarehe 9/ 03/ 21 ila alitangazwa amekufa tarehe 17/ 03/ 21.

Mnabisha ujinga tu
 
Kwa hiyo, kusema kuwa tunahitaji pesa za Mikopo ili tujenge stendi ndio kusema ukweli. Inaelekea hujui tofauti kati ya FACT and TRUTH. Kuhitaji Pesa ya msaada wa kujenga stendi Ni FACT lakini is not a necessary TRUTH kuwa Bila msaada huwezi kujenga Stendi. Elimu isipokusaidia kutafakari mambo na kuyaona katika muktadha Taandavu unakuwa unabakia kama Dodoki tu lilivyofyonza Maji na linakuwa haliwezi kufanya lolote.
Wewe mwenye facts inajuwa nini kuhusu treasury ya Tanzania ambayo Waziri wa Fedha ameshindwa kutenga fedha kwa ajili ya project hiyo? Wewe inajuwa priority ya Nchi inakwwnda wapi kwa sasa? Au unaandika tu ili ufurahishe baraza

Kama rate of return ni favourable ni bora uchukue mkopo leo kuliko kuwasubirisha wananchi wako hadi bajeti ya miaka 2 mbele.
 
Kama hoja yako ni sahihi, basi wa kulaumiwa ni Watanzania (wewe pia) na vyombo vya habari kukubali kulishwa matango pori na mtu mmoja tu. Kama ni hivyo, basi Magufuli alikuwa mwamba na "genious".

Lakini kwangu mimi na wenye mawazo kama yangu, Magufuli alikuwa mkweli, alijiamini na mwenye "utashi wa kisiasa" (uzalendo) wa hali ya juu, kiasi alifanikiwa kuwafanya WaTz kujiamini. Ushahidi ni maendeleo ya nchi, katika sekta zote (huduma za jamii na miradi ya kimkakati), kwa kipindi kifupi, bila kutoka nje ya nchi kutembeza bakuli la omba omba.
Wewe kweli chizi, hivi Mama akisema kuanzia leo siajiri watumishi wapya wala kulipa mafao, na ukiwa na pesa nyingi bank nakupora, hakuna mtu yeyote kupanda daraja unadhani anashindwa kufanya hayo ya mwendakuzimu? Let your head do/perform its duties and not the other part.
 
Jinga kabisa nyie, hakuna siku mtajitegemea hata kidogo na bado mtaomba za kujenga vyoo.
Mbona za vyoo tayari zilikwisha ombwa muda mrefu? Au hujawahi kuona vyoo vilivyojengwa kwa msaada wa USAID?
 
Ninaijua vizuri sana, na usidhani nilipoandika hivyo sikuitambua hali hiyo; lakini husikii lugha anayotumia Samia ikitumiwa na Waziri Mkuu wa India. Huwezi hata mara moja akizungumza namna hiyo.
Hata hivyo, usisahau kuwa India imo kati ya nchi za G20, au hujui maana yake ni nini?

Unasubiri India wakakope kujenga vituo vya mabasi? Hivi unaelewa unachokiandika hapa wewe? Ni wapi nilipoandika kwamba nchi "hazikopi", lakini kukopa kwenda kujenga mashimo ya choo?

Wewe nilishakueleza toka mwanzo, hilo jina ulilojipajchika haliendani kamwe na akili yako.
Wahenga walisema kupanga ni kuchagua:
Tulipotakiwa kukopa(wakati tunanunua madege)sisi tulinunua kwa " cash" sasa acha tukope kujenga mashimo ya CHOO
na stendi zetu.
 
Back
Top Bottom