Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,588
- 956
Binafsi na kwa Umri wangu huu sijawahi kuona Rais mnyenyekevu na mpole kama huyu (She is so simple ever).
Kwa unyenyekevu mkubwa nawaomba na kuwasihi watanzania wote wanaopenda amani, utulivu na ustawi wa mtu mmoja mmoja tumuungeni mkono Rais wetu kwani ni hakika anatupenda sana kama Taifa.
<<<Msikilize hadi Mwisho >>>
===
Mimi ni dada tu kwa Tundu Lissu kwa hiyo kama anakuja kwangu mimi anakuja kwa dada yake, kwa hiyo kama ana shida kama ana nini atakuja kusema kwa dada yake. hakuna tension ya kisiasa kati yangu mimi na Tundu Lissu haipo kwa hiyo anakuja kumuona dada yake, Rais wake katoka Tanzania kaja kwa hiyo anakuja kumuona.
Tunapokuja kwenye swala la ubinadamu Tundu Lissu mimi ni mdogo wangu tu kwa atakuja tutazungumza, hivyo mimi siwezi kusema sijui anakuja na nini anakuja kuna hili au kuna lile siwezi kusema mpaka nimsikilize kwa hiyo anakuja kumuona dada yake, lakini anakuja kwenye jambo la kirafiki kabisa, kama unakumbuka Tundu Lissu alilazwa Nairobi na mimi nilikwenda kumuona katika hali ya kirafiki kabisa maana Tundu Lissu ni mdogo wangu.
Tunapokuja kwenye swala la kisiasa, huku sasa ni upande wa kazi, yeye atasema ya kwake na mimi nitasimama kwenye chama changu.
Kwa unyenyekevu mkubwa nawaomba na kuwasihi watanzania wote wanaopenda amani, utulivu na ustawi wa mtu mmoja mmoja tumuungeni mkono Rais wetu kwani ni hakika anatupenda sana kama Taifa.
<<<Msikilize hadi Mwisho >>>
===
Mimi ni dada tu kwa Tundu Lissu kwa hiyo kama anakuja kwangu mimi anakuja kwa dada yake, kwa hiyo kama ana shida kama ana nini atakuja kusema kwa dada yake. hakuna tension ya kisiasa kati yangu mimi na Tundu Lissu haipo kwa hiyo anakuja kumuona dada yake, Rais wake katoka Tanzania kaja kwa hiyo anakuja kumuona.
Tunapokuja kwenye swala la ubinadamu Tundu Lissu mimi ni mdogo wangu tu kwa atakuja tutazungumza, hivyo mimi siwezi kusema sijui anakuja na nini anakuja kuna hili au kuna lile siwezi kusema mpaka nimsikilize kwa hiyo anakuja kumuona dada yake, lakini anakuja kwenye jambo la kirafiki kabisa, kama unakumbuka Tundu Lissu alilazwa Nairobi na mimi nilikwenda kumuona katika hali ya kirafiki kabisa maana Tundu Lissu ni mdogo wangu.
Tunapokuja kwenye swala la kisiasa, huku sasa ni upande wa kazi, yeye atasema ya kwake na mimi nitasimama kwenye chama changu.